Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Yahya Jammeh apinga matokeo ya uchaguzi wa Rais Gambia

    Yahya Jammeh apinga matokeo ya uchaguzi wa Rais Gambia

    Dec 10, 2016 09:22

    Rais Yahya Jammeh wa Gambia ametangaza kuwa hatambui rasmi matokeo ya uchaguzi wa Rais uliofanyika nchini humo Disemba Mosi, ikiwa imepita karibu wiki moja tangu uchaguzi huo ufanyike na mgombea wa muungano wa upinzani kuibuka mshindi.

  • Kiongozi wa upinzani ashinda uchaguzi wa rais Ghana, Mahama akubali matokeo

    Kiongozi wa upinzani ashinda uchaguzi wa rais Ghana, Mahama akubali matokeo

    Dec 10, 2016 04:04

    Kiongozi mkongwe wa upinzani nchini Ghana, Nana Akufo-Addo, ameibuka mshindi katika uchaguzi wa rais uliofanyika Jumatano iliyopita na kumshinda Rais wa sasa John Dramani Mahama.

  • Uchaguzi wa Rais Somalia kufanyika Disemba 28

    Uchaguzi wa Rais Somalia kufanyika Disemba 28

    Dec 09, 2016 10:35

    Viongozi wa kisiasa nchini Somalia wametangaza tarehe mpya ya kufanyika uchaguzi wa rais nchini humo baada ya kuuakhirisha mara tatu sasa.

  • Zoezi la kuhesabu kura Ghana linaendelea; Rais Mahama anaongoza kwa tofauti ndogo

    Zoezi la kuhesabu kura Ghana linaendelea; Rais Mahama anaongoza kwa tofauti ndogo

    Dec 09, 2016 00:48

    Zoezi la kuhesabu kura nchini Ghana linaendelea huku taarifa za awali zikionyesha kuwa, mataokeo yasiyo rasmi yanaonyesha kwamba, Rais John Dramani Mahama anaongoza akifuatiwa kwa karibu na kiongozi wa upinzani Nana Akufo-Addo.

  • Wito wa kufanyika mkutano kati ya chama tawala na kambi ya upinzani Congo DR

    Wito wa kufanyika mkutano kati ya chama tawala na kambi ya upinzani Congo DR

    Dec 07, 2016 23:37

    Jumuiya za kiraia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimetoa wito wa kufanyika mkutano baina ya chama tawala na vyama na makundi ya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Wananchi wa Ghana wapiga  kura kumchagua Rais na Wabunge

    Wananchi wa Ghana wapiga kura kumchagua Rais na Wabunge

    Dec 07, 2016 10:48

    Wananchi wa Ghana leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kumchagua Rais Mpya na wawakilishi wa bunge.

  • Rais wa Ghana: Upinzani unawashawishi wafuasi wake wasikubali matokeo ya uchaguzi

    Rais wa Ghana: Upinzani unawashawishi wafuasi wake wasikubali matokeo ya uchaguzi

    Dec 07, 2016 00:28

    Rais John Dramani Mahama wa Ghana amemtuhumu kiongozi mkuu wa upinzani nchini humo kuwa anawashawishi wafuasi wa chama chake wasikubali matokeo ya uchaguzi wa Rais na Bunge unaofanyika leo nchini humo.

  • Wanaharakati wa Ghana: Uchaguzi unapasa kufanyika katika mazingira ya amani

    Wanaharakati wa Ghana: Uchaguzi unapasa kufanyika katika mazingira ya amani

    Dec 05, 2016 11:35

    Wanaharakati wa kisiasa nchini Ghana wamesisitiza juu ya ulazima wa kufanyika uchaguzi mkuu katika mazingira ya amani.

  • Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon waakhirishwa

    Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon waakhirishwa

    Dec 03, 2016 23:46

    Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon uliokuwa umepangwa kufanyika mwezi huu wa Desemba umeakhirishwa kutokana na kutokuweko bajeti ya kutosha ya kuendesha zoezi la uchaguzi huo.

  • Mgombea wa upinzani ashinda kiti cha Urais Gambia

    Mgombea wa upinzani ashinda kiti cha Urais Gambia

    Dec 03, 2016 23:41

    Adama Barrow, mgombea wa muungano wa upinzani nchini Gambia amembwaga Rais wa nchi hiyo Yahya Jammeh katika uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ambao matokeo yake hayakutarajiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS