Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Rais wa Ghana: Upinzani unawashawishi wafuasi wake wasikubali matokeo ya uchaguzi

    Rais wa Ghana: Upinzani unawashawishi wafuasi wake wasikubali matokeo ya uchaguzi

    Dec 07, 2016 00:28

    Rais John Dramani Mahama wa Ghana amemtuhumu kiongozi mkuu wa upinzani nchini humo kuwa anawashawishi wafuasi wa chama chake wasikubali matokeo ya uchaguzi wa Rais na Bunge unaofanyika leo nchini humo.

  • Wanaharakati wa Ghana: Uchaguzi unapasa kufanyika katika mazingira ya amani

    Wanaharakati wa Ghana: Uchaguzi unapasa kufanyika katika mazingira ya amani

    Dec 05, 2016 11:35

    Wanaharakati wa kisiasa nchini Ghana wamesisitiza juu ya ulazima wa kufanyika uchaguzi mkuu katika mazingira ya amani.

  • Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon waakhirishwa

    Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon waakhirishwa

    Dec 03, 2016 23:46

    Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon uliokuwa umepangwa kufanyika mwezi huu wa Desemba umeakhirishwa kutokana na kutokuweko bajeti ya kutosha ya kuendesha zoezi la uchaguzi huo.

  • Mgombea wa upinzani ashinda kiti cha Urais Gambia

    Mgombea wa upinzani ashinda kiti cha Urais Gambia

    Dec 03, 2016 23:41

    Adama Barrow, mgombea wa muungano wa upinzani nchini Gambia amembwaga Rais wa nchi hiyo Yahya Jammeh katika uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ambao matokeo yake hayakutarajiwa.

  • MDC: Tsvangirai atawania urais 2018 licha ya hali yake ya afya

    MDC: Tsvangirai atawania urais 2018 licha ya hali yake ya afya

    Dec 02, 2016 03:42

    Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe MDC kimesema kiko imara licha ya kuugua kiongozi wake Morgan Tsvangirai.

  • Kwa mara nyingine uchaguzi wa rais Somalia waahirishwa, tarehe haijulikani

    Kwa mara nyingine uchaguzi wa rais Somalia waahirishwa, tarehe haijulikani

    Nov 29, 2016 10:05

    Uchaguzi wa rais nchini Somalia uliokuwa umepangwa kufanyika tarehe 30 ya mwezi huu, umeahirishwa kwa mara ya tatu.

  • Mkulima wa ndizi ashinda uchaguzi wa rais nchini Haiti

    Mkulima wa ndizi ashinda uchaguzi wa rais nchini Haiti

    Nov 29, 2016 09:46

    Jovenel Moise, mkulima wa ndizi na mfanyabiashara mashuhuri ameibuka mshindi katika uchaguzi wa rais nchini Haiti.

  • Somalia kabla ya uchaguzi mkuu wa Novemba 30

    Somalia kabla ya uchaguzi mkuu wa Novemba 30

    Nov 28, 2016 10:31

    Uchaguzi mkuu wa Somalia umepangwa kufanyika tarehe 30 mwezi huu wa Novemba baada ya kuahirishwa mara kadhaa. Wagombea 18 wanatazamiwa kuchuana kwa ajili ya kiti cha rais mpya wa Somalia.

  • Raia, askari 6 wauawa nchini Mali katika ghasia za uchaguzi

    Raia, askari 6 wauawa nchini Mali katika ghasia za uchaguzi

    Nov 22, 2016 04:24

    Askari watano wa jeshi la Mali na raia mmoja wameuawa na genge la watu waliobeba silaha, wakati walipokuwa wakisafirisha masanduku ya kupigia kura katika mji wa Dilli.

  • Gambia yaizuia timu ya waangalizi wa uchaguzi wa EU nchini humo

    Gambia yaizuia timu ya waangalizi wa uchaguzi wa EU nchini humo

    Nov 19, 2016 04:21

    Serikali ya Gambia imekataa kuruhusu timu ya waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Ulaya EU kuingia nchini humo kwa ajili ya kufuatilia uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mapema mwezi ujao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS