-
Rais wa Ghana: Upinzani unawashawishi wafuasi wake wasikubali matokeo ya uchaguzi
Dec 07, 2016 00:28Rais John Dramani Mahama wa Ghana amemtuhumu kiongozi mkuu wa upinzani nchini humo kuwa anawashawishi wafuasi wa chama chake wasikubali matokeo ya uchaguzi wa Rais na Bunge unaofanyika leo nchini humo.
-
Wanaharakati wa Ghana: Uchaguzi unapasa kufanyika katika mazingira ya amani
Dec 05, 2016 11:35Wanaharakati wa kisiasa nchini Ghana wamesisitiza juu ya ulazima wa kufanyika uchaguzi mkuu katika mazingira ya amani.
-
Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon waakhirishwa
Dec 03, 2016 23:46Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon uliokuwa umepangwa kufanyika mwezi huu wa Desemba umeakhirishwa kutokana na kutokuweko bajeti ya kutosha ya kuendesha zoezi la uchaguzi huo.
-
Mgombea wa upinzani ashinda kiti cha Urais Gambia
Dec 03, 2016 23:41Adama Barrow, mgombea wa muungano wa upinzani nchini Gambia amembwaga Rais wa nchi hiyo Yahya Jammeh katika uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ambao matokeo yake hayakutarajiwa.
-
MDC: Tsvangirai atawania urais 2018 licha ya hali yake ya afya
Dec 02, 2016 03:42Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe MDC kimesema kiko imara licha ya kuugua kiongozi wake Morgan Tsvangirai.
-
Kwa mara nyingine uchaguzi wa rais Somalia waahirishwa, tarehe haijulikani
Nov 29, 2016 10:05Uchaguzi wa rais nchini Somalia uliokuwa umepangwa kufanyika tarehe 30 ya mwezi huu, umeahirishwa kwa mara ya tatu.
-
Mkulima wa ndizi ashinda uchaguzi wa rais nchini Haiti
Nov 29, 2016 09:46Jovenel Moise, mkulima wa ndizi na mfanyabiashara mashuhuri ameibuka mshindi katika uchaguzi wa rais nchini Haiti.
-
Somalia kabla ya uchaguzi mkuu wa Novemba 30
Nov 28, 2016 10:31Uchaguzi mkuu wa Somalia umepangwa kufanyika tarehe 30 mwezi huu wa Novemba baada ya kuahirishwa mara kadhaa. Wagombea 18 wanatazamiwa kuchuana kwa ajili ya kiti cha rais mpya wa Somalia.
-
Raia, askari 6 wauawa nchini Mali katika ghasia za uchaguzi
Nov 22, 2016 04:24Askari watano wa jeshi la Mali na raia mmoja wameuawa na genge la watu waliobeba silaha, wakati walipokuwa wakisafirisha masanduku ya kupigia kura katika mji wa Dilli.
-
Gambia yaizuia timu ya waangalizi wa uchaguzi wa EU nchini humo
Nov 19, 2016 04:21Serikali ya Gambia imekataa kuruhusu timu ya waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Ulaya EU kuingia nchini humo kwa ajili ya kufuatilia uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mapema mwezi ujao.