Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • MDC: Tsvangirai atawania urais 2018 licha ya hali yake ya afya

    MDC: Tsvangirai atawania urais 2018 licha ya hali yake ya afya

    Dec 02, 2016 03:42

    Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe MDC kimesema kiko imara licha ya kuugua kiongozi wake Morgan Tsvangirai.

  • Kwa mara nyingine uchaguzi wa rais Somalia waahirishwa, tarehe haijulikani

    Kwa mara nyingine uchaguzi wa rais Somalia waahirishwa, tarehe haijulikani

    Nov 29, 2016 10:05

    Uchaguzi wa rais nchini Somalia uliokuwa umepangwa kufanyika tarehe 30 ya mwezi huu, umeahirishwa kwa mara ya tatu.

  • Mkulima wa ndizi ashinda uchaguzi wa rais nchini Haiti

    Mkulima wa ndizi ashinda uchaguzi wa rais nchini Haiti

    Nov 29, 2016 09:46

    Jovenel Moise, mkulima wa ndizi na mfanyabiashara mashuhuri ameibuka mshindi katika uchaguzi wa rais nchini Haiti.

  • Somalia kabla ya uchaguzi mkuu wa Novemba 30

    Somalia kabla ya uchaguzi mkuu wa Novemba 30

    Nov 28, 2016 10:31

    Uchaguzi mkuu wa Somalia umepangwa kufanyika tarehe 30 mwezi huu wa Novemba baada ya kuahirishwa mara kadhaa. Wagombea 18 wanatazamiwa kuchuana kwa ajili ya kiti cha rais mpya wa Somalia.

  • Raia, askari 6 wauawa nchini Mali katika ghasia za uchaguzi

    Raia, askari 6 wauawa nchini Mali katika ghasia za uchaguzi

    Nov 22, 2016 04:24

    Askari watano wa jeshi la Mali na raia mmoja wameuawa na genge la watu waliobeba silaha, wakati walipokuwa wakisafirisha masanduku ya kupigia kura katika mji wa Dilli.

  • Gambia yaizuia timu ya waangalizi wa uchaguzi wa EU nchini humo

    Gambia yaizuia timu ya waangalizi wa uchaguzi wa EU nchini humo

    Nov 19, 2016 04:21

    Serikali ya Gambia imekataa kuruhusu timu ya waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Ulaya EU kuingia nchini humo kwa ajili ya kufuatilia uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mapema mwezi ujao.

  • Wademocrat wakosoa sheria ya uchaguzi US baada ya ushindi wa Trump

    Wademocrat wakosoa sheria ya uchaguzi US baada ya ushindi wa Trump

    Nov 16, 2016 11:08

    Seneta mmoja wa chama cha Democrat nchini Marekani ameandaa muswada wa kuifanyia marekebisho Sheria ya Uchaguzi ya nchi hiyo kufuatia ushindi wa Donald Trump wa chama cha Republican katika uchaguzi wa wiki iliyopita.

  • Jeshi la Somalia lakomboa eneo jengine kutoka kwa ash Shabab

    Jeshi la Somalia lakomboa eneo jengine kutoka kwa ash Shabab

    Nov 16, 2016 04:22

    Jeshi la Somalia limefanikiwa kukomboa eneo jengine katikati mwa nchi hiyo kutoka mikononi mwa kundi la wakufurishaji la ash Shabab.

  • Trump ashinda uchaguzi wa rais Marekani, masoko ya hisa yaporomoka

    Trump ashinda uchaguzi wa rais Marekani, masoko ya hisa yaporomoka

    Nov 09, 2016 04:46

    Masoko ya hisa ya dunia na hususan ya Marekani yameporomoka kwa kiasi kikubwa muda mfupi baada ya Donald Trump wa chama cha Republican kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais nchini humo.

  • Ghasia za uchaguzi Marekani, kadhaa wajeruhiwa California

    Ghasia za uchaguzi Marekani, kadhaa wajeruhiwa California

    Nov 09, 2016 01:18

    Huku matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais nchini Marekani yakisubiriwa kwa hamu na shauku, mtu mmoja ameuawa na wengine wanne kujeruhiwa katika tukio la ufyatuaji risasi lililojiri katika jimbo la California.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS