-
Wademocrat wakosoa sheria ya uchaguzi US baada ya ushindi wa Trump
Nov 16, 2016 11:08Seneta mmoja wa chama cha Democrat nchini Marekani ameandaa muswada wa kuifanyia marekebisho Sheria ya Uchaguzi ya nchi hiyo kufuatia ushindi wa Donald Trump wa chama cha Republican katika uchaguzi wa wiki iliyopita.
-
Jeshi la Somalia lakomboa eneo jengine kutoka kwa ash Shabab
Nov 16, 2016 04:22Jeshi la Somalia limefanikiwa kukomboa eneo jengine katikati mwa nchi hiyo kutoka mikononi mwa kundi la wakufurishaji la ash Shabab.
-
Trump ashinda uchaguzi wa rais Marekani, masoko ya hisa yaporomoka
Nov 09, 2016 04:46Masoko ya hisa ya dunia na hususan ya Marekani yameporomoka kwa kiasi kikubwa muda mfupi baada ya Donald Trump wa chama cha Republican kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais nchini humo.
-
Ghasia za uchaguzi Marekani, kadhaa wajeruhiwa California
Nov 09, 2016 01:18Huku matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais nchini Marekani yakisubiriwa kwa hamu na shauku, mtu mmoja ameuawa na wengine wanne kujeruhiwa katika tukio la ufyatuaji risasi lililojiri katika jimbo la California.
-
Wamarekani wahofia kutokea mashambulizi ya kigaidi wakati wa uchaguzi
Nov 05, 2016 11:38Viongozi wa serikali ya Marekani wameonya juu ya uwezekano wa kutokea mashambulizi ya kigaidi siku ya uchaguzi wa rais na kuwataka wananchi wajiandae kwa hilo.
-
Kenya yatahadharisha madola ya kigeni kuhusu kufadhili vyama vya upinzani
Oct 23, 2016 11:25Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya Justin Muturi ametahadharisha kuhusu mpango wa baadhi ya madola ya kigeni kufadhili kampeni za vyama vya upinzani kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2017.
-
Viongozi wa Kikristo DRC hawataki kuakhirishwa uchaguzi
Oct 22, 2016 00:59Maaskofu wa Kanisa Katoliki katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametofautiana na uamuzi wa hivi karibuni uliofikiwa na chama tawala pamoja na vyama kadhaa vya upinzani, wa kuakhihirisha uchaguzi mkuu kutoka mwezi ujao hadi Aprili mwaka 2018.
-
Mdahalo wa mwisho wa Trump na Clinton, mbio za uchaguzi wa rais Marekani
Oct 20, 2016 23:02Mdahalo wa tatu na wa mwisho wa televisheni wa wagombea uchaguzi wa rais Marekani kwa mara nyingine tena umegubikwa na utata huku mada kuu zikiwa ni kufichuliwa nyaraka za WikiLeaks zinazomhusu mgombea wa chama cha Democrat Hillary Clinton, wahamiaji, sera za kigeni na kashfa za kimaadli za Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican.
-
Kiongozi: Ni marufuku kwa Serikali, Bunge, Mahakama, vikosi vya ulinzi, kuingilia uchaguzi Iran
Oct 15, 2016 12:28Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametumia haki yake aliyopewa na kifungu nambari 110 cha Katiba, kuwasilisha siasa kuu za uchaguzi baada ya kushauriana na Halmashauri ya Kuainisha Maslahi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Rais Kabila: Uchaguzi utafanyika mwaka 2018
Oct 06, 2016 01:11Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesisitiza kuwa uchaguzi nchini humo utafanyika mwaka 2018.