Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Odinga 'kujiapisha' Disemba 12, kupinga ushindi wa Kenyatta UN

    Odinga 'kujiapisha' Disemba 12, kupinga ushindi wa Kenyatta UN

    Nov 29, 2017 04:52

    Kinara wa muungano wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amesema ataapishwa kuwa rais 'halali' wa Kenya Disemba 12, wakati nchi hiyo itakuwa inaadhimisha Siku ya Jamhuri.

  • Ushindi wa Chama cha Harakati ya Ukombozi wa Taifa katika uchaguzi wa mabaraza ya miji na mabunge ya majimbo nchini Algeria

    Ushindi wa Chama cha Harakati ya Ukombozi wa Taifa katika uchaguzi wa mabaraza ya miji na mabunge ya majimbo nchini Algeria

    Nov 25, 2017 10:49

    Chama cha Harakati ya Ukombozi wa Taifa cha Algeria kimeshinda katika kuchaguzi wa mabaraza ya miji na mabunge ya majimbo uliofanyika karibuni nchini humo.

  • Mahakama ya Kilele Kenya yaidhinisha ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta

    Mahakama ya Kilele Kenya yaidhinisha ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta

    Nov 20, 2017 11:11

    Mahakama ya Kilele nchini Kenya imetupilia mbali kesi mbili zilizokuwa zimewasilishwa kupinga uchaguzi wa rais wa marudio wa Oktoba 26 na hivyo kuidhinisha ushindi wa Uhuru Kenyatta.

  • Wananchi wa Somaliland washiriki uchaguzi wa rais, matokeo Ijumaa

    Wananchi wa Somaliland washiriki uchaguzi wa rais, matokeo Ijumaa

    Nov 14, 2017 03:53

    Mamia ya maelfu ya wananchi wa eneo lenye mamlaka ya ndani la Somaliland nchini Somalia wamejitokeza katika uchaguzi wa kumchagua rais wa tano wa eneo hilo, ambao unashuhudia ushindani mkali kati ya serikali na kambi ya upinzani.

  • Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyeuzuliwa akimbia nchi

    Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyeuzuliwa akimbia nchi

    Nov 09, 2017 04:28

    Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyefutwa kazi na kutimuliwa ndani ya chama tawala Zanu-PF hivi karibuni amekimbilia uhamishoni akidai kuwa maisha yake yamo hatarini.

  • Rais Al-Sisi wa Misri: Ninaheshimu katiba, sitagombea uchaguzi wa mwakani

    Rais Al-Sisi wa Misri: Ninaheshimu katiba, sitagombea uchaguzi wa mwakani

    Nov 07, 2017 23:25

    Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri amesema kuwa, hatojiandikisha kwa jili ya kugombea tena ushaguzi wa rais ujao kwa muhula wa tatu.

  • Upinzani Kongo DR wapinga tarehe ya uchaguzi iliyotangazwa na CENI

    Upinzani Kongo DR wapinga tarehe ya uchaguzi iliyotangazwa na CENI

    Nov 06, 2017 23:14

    Vyama vya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimepinga tarehe ya uchaguzi iliyopendekezwa na Tume ya Uchaguzi CENI hivi karibuni.

  • Mahakama ya Juu ya Liberia yasimamisha duru ya pili ya uchaguzi wa rais

    Mahakama ya Juu ya Liberia yasimamisha duru ya pili ya uchaguzi wa rais

    Nov 06, 2017 10:16

    Kwa mara nyingine tena Mahakama ya Juu ya Liberia imesimamisha kwa muda usiojulikana kufanyika duru ya pili ya uchaguzi wa rais iliyotazamiwa kufanyika kesho Jumanne.

  • Mahakama Kuu ya Liberia yasimamisha duru ya pili ya uchaguzi wa rais

    Mahakama Kuu ya Liberia yasimamisha duru ya pili ya uchaguzi wa rais

    Nov 02, 2017 04:06

    Mahakama ya Juu nchini Liberia imesimamisha duru ya pili ya uchaguzi wa rais iliyotazamiwa kufanyika mapema wiki ijayo, kutokana na madai ya uchakachuaji na dosari chungu nzima katika uchaguzi wa Oktoba 10.

  • 'Polisi Kenya wameshaua watu 36 katika machafuko ya uchaguzi'

    'Polisi Kenya wameshaua watu 36 katika machafuko ya uchaguzi'

    Nov 01, 2017 12:47

    Shirika moja la haki za binadamu la Kenya limetoa ripoti na kusema kuwa, zaidi ya watu 36 wameshauliwa na polisi tangu tarehe 11 Agosti siku yalipotangazwa matokeo ya uchaguzi wa kwanza wa rais nchini Kenya hadi hivi sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS