Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Mahakama Kuu ya Liberia yasimamisha duru ya pili ya uchaguzi wa rais

    Mahakama Kuu ya Liberia yasimamisha duru ya pili ya uchaguzi wa rais

    Nov 02, 2017 04:06

    Mahakama ya Juu nchini Liberia imesimamisha duru ya pili ya uchaguzi wa rais iliyotazamiwa kufanyika mapema wiki ijayo, kutokana na madai ya uchakachuaji na dosari chungu nzima katika uchaguzi wa Oktoba 10.

  • 'Polisi Kenya wameshaua watu 36 katika machafuko ya uchaguzi'

    'Polisi Kenya wameshaua watu 36 katika machafuko ya uchaguzi'

    Nov 01, 2017 12:47

    Shirika moja la haki za binadamu la Kenya limetoa ripoti na kusema kuwa, zaidi ya watu 36 wameshauliwa na polisi tangu tarehe 11 Agosti siku yalipotangazwa matokeo ya uchaguzi wa kwanza wa rais nchini Kenya hadi hivi sasa.

  • Ruto: Uchaguzi mwingine Kenya utafanyika 2022, wala sio ndani ya siku 90

    Ruto: Uchaguzi mwingine Kenya utafanyika 2022, wala sio ndani ya siku 90

    Oct 30, 2017 04:34

    Naibu wa Rais wa Kenya amesema uchaguzi mwingine wa rais utafanyika mwaka 2022 kwa mujibu ya miongozo ya Katiba na Sheria za Uchaguzi na wala sio ndani ya siku 90 kama anavyoshinikiza kinara wa upinzani nchini humo Raila Odinga.

  • Wakenya wanasubiri matokeo rasmi ya uchaguzi, Kenyatta atazamiwa kushinda

    Wakenya wanasubiri matokeo rasmi ya uchaguzi, Kenyatta atazamiwa kushinda

    Oct 28, 2017 13:44

    Wakenya wangali wanasuburi matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais wa marudio uliofanyika Alhamisi huku Uhuru Kenyatta akiwa bado anaongoza na akitazamiwa kutangazwa mshindi baada ya kinara wa upinzani Raila Odinga kususia uchaguzi huo.

  • Uhuru Kenyatta aongoza kwa 96%, Odinga ataka uchaguzi mpya ndani ya siku 90

    Uhuru Kenyatta aongoza kwa 96%, Odinga ataka uchaguzi mpya ndani ya siku 90

    Oct 28, 2017 06:14

    Rais Uhuru Kenyatta anaongoza kwa asilimia 96 katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa marudio wa urais uliofanyika Alkhamisi iliyopita nchini Kenya.

  • DRC: Tarehe ya uchaguzi inapangwa na tume, sio Marekani

    DRC: Tarehe ya uchaguzi inapangwa na tume, sio Marekani

    Oct 28, 2017 04:33

    Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini humo CENI yenye mamlaka na uwezo wa kupanga tarehe ya uchaguzi nchini na wala sio Marekani.

  • Uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya uliogubikwa na wingu la ususiaji wa wapinzani

    Uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya uliogubikwa na wingu la ususiaji wa wapinzani

    Oct 27, 2017 11:39

    Uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya ulifanyika hapo jana huku ukiwa umesusiwa na wapinzani wa serikali sambamba na kushuhudiwa mivutano ya kisiasa na hali ya wasiwasi nchini humo.

  • Uchaguzi wa marudio wa urais Kenya katika kaunti nne waakhirishwa hadi kesho

    Uchaguzi wa marudio wa urais Kenya katika kaunti nne waakhirishwa hadi kesho

    Oct 27, 2017 04:32

    Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) imetangaza kuwa zoezi la upigaji kura lilikwamishwa jana katika baadhi ya maeneo kutokana na changamoto za kiusalama na kwamba zoezi hilo litafanyika kesho Oktoba 28.

  • Wakenya washiriki uchaguzi wa rais wa marudio uliosusiwa na upinzani

    Wakenya washiriki uchaguzi wa rais wa marudio uliosusiwa na upinzani

    Oct 26, 2017 04:41

    Wananchi wa Kenya waliotimiza masharti ya kupiga kura wameelekea katika masanduku ya kupigia kura kushiriki uchaguzi wa marudio wa urais, ambao umesusiwa na viongozi na wafuasi wa upinzani.

  • Rais wa Kenya ataka uchaguzi ufanyike kwa amani kesho, kiongozi wa upinzani Raila Odinga aususia rasmi

    Rais wa Kenya ataka uchaguzi ufanyike kwa amani kesho, kiongozi wa upinzani Raila Odinga aususia rasmi

    Oct 25, 2017 13:07

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amelihutubia taifa jioni hii na kutoa mwito kwa Wakenya kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa marudio wa Rais na kuhakikisha usalama na amani inadumishwa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS