-
Uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya uliogubikwa na wingu la ususiaji wa wapinzani
Oct 27, 2017 11:39Uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya ulifanyika hapo jana huku ukiwa umesusiwa na wapinzani wa serikali sambamba na kushuhudiwa mivutano ya kisiasa na hali ya wasiwasi nchini humo.
-
Uchaguzi wa marudio wa urais Kenya katika kaunti nne waakhirishwa hadi kesho
Oct 27, 2017 04:32Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) imetangaza kuwa zoezi la upigaji kura lilikwamishwa jana katika baadhi ya maeneo kutokana na changamoto za kiusalama na kwamba zoezi hilo litafanyika kesho Oktoba 28.
-
Wakenya washiriki uchaguzi wa rais wa marudio uliosusiwa na upinzani
Oct 26, 2017 04:41Wananchi wa Kenya waliotimiza masharti ya kupiga kura wameelekea katika masanduku ya kupigia kura kushiriki uchaguzi wa marudio wa urais, ambao umesusiwa na viongozi na wafuasi wa upinzani.
-
Rais wa Kenya ataka uchaguzi ufanyike kwa amani kesho, kiongozi wa upinzani Raila Odinga aususia rasmi
Oct 25, 2017 13:07Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amelihutubia taifa jioni hii na kutoa mwito kwa Wakenya kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa marudio wa Rais na kuhakikisha usalama na amani inadumishwa nchini humo.
-
Odinga: Wafuasi wetu wasiandamane siku ya uchaguzi wa marudio
Oct 24, 2017 11:35Kinara wa muungano wa upinzani NASA nchini Kenya amewataka wafuasi wa mrengo huo kutofanya maandamano wakati wa uchaguzi wa marudio wa urais unaotazamiwa kufanyika Alkhamisi wiki hii.
-
NEC: Weah kuchuana na Boakai katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais Liberia
Oct 16, 2017 04:29Tume ya Uchaguzi nchini Liberia NEC imetangaza kuwa mchezaji soka nyota wa zamani wa kimataifa Seneta George Weah na Makamu wa Rais Joseph Boakai watachuana katika duru ya pili ya uchaguzi rais utakaofanyika Novemba 7 mwaka huu.
-
Ukosoaji mkali wa Venezuela dhidi ya Ulaya
Oct 15, 2017 07:45Viongozi wa serikali ya Venezuela wamekosoa vikali juhudi za Umoja wa Ulaya na Marekani za kutaka kuufanya uchaguzi wa kieneo nchini humo kutokuwa na itibari.
-
Waliberia wasubiri kwa shauku kuu matokeo ya urais
Oct 12, 2017 10:43Tume ya Uchaguzi nchini Liberia imewataka wananchi kuvuta subiri na kutoeneza habari za urongo zinazohusiana na matokeo ya uchaguzi wa rais.
-
Al Sarraj asisitizia udharura wa kufanyika uchaguzi wa rais na bunge nchini Libya
Oct 11, 2017 23:17Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya amesema kuwa, anaunga mkono kuitishwa uchaguzi wa rais na bunge nchini humo.
-
Mwangwi wa hatua ya kinara wa chama kikuu cha upinzani Kenya kujiondoa katika uchaguzi wa Rais
Oct 11, 2017 07:24Kiongozi wa muungano wa upinzani wa National Super Alliance (NASA) nchini Kenya ametangaza kuwa, hatagombea katika uchaguzi wa marudio wa rais ambao umepangwa kufanyika tarehe 26 Oktoba akisema kwamba uchaguzi huo hautakuwa huru na wa haki.