Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Ukosoaji mkali wa Venezuela dhidi ya Ulaya

    Ukosoaji mkali wa Venezuela dhidi ya Ulaya

    Oct 15, 2017 07:45

    Viongozi wa serikali ya Venezuela wamekosoa vikali juhudi za Umoja wa Ulaya na Marekani za kutaka kuufanya uchaguzi wa kieneo nchini humo kutokuwa na itibari.

  • Waliberia wasubiri kwa shauku kuu matokeo ya urais

    Waliberia wasubiri kwa shauku kuu matokeo ya urais

    Oct 12, 2017 10:43

    Tume ya Uchaguzi nchini Liberia imewataka wananchi kuvuta subiri na kutoeneza habari za urongo zinazohusiana na matokeo ya uchaguzi wa rais.

  • Al Sarraj asisitizia udharura wa kufanyika uchaguzi wa rais na bunge nchini Libya

    Al Sarraj asisitizia udharura wa kufanyika uchaguzi wa rais na bunge nchini Libya

    Oct 11, 2017 23:17

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya amesema kuwa, anaunga mkono kuitishwa uchaguzi wa rais na bunge nchini humo.

  • Mwangwi wa hatua ya kinara wa chama kikuu cha upinzani Kenya kujiondoa katika uchaguzi wa Rais

    Mwangwi wa hatua ya kinara wa chama kikuu cha upinzani Kenya kujiondoa katika uchaguzi wa Rais

    Oct 11, 2017 07:24

    Kiongozi wa muungano wa upinzani wa National Super Alliance (NASA) nchini Kenya ametangaza kuwa, hatagombea katika uchaguzi wa marudio wa rais ambao umepangwa kufanyika tarehe 26 Oktoba akisema kwamba uchaguzi huo hautakuwa huru na wa haki.

  • Polisi ya Kenya yatumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya wafuasi wa NASA

    Polisi ya Kenya yatumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya wafuasi wa NASA

    Oct 06, 2017 11:39

    Polisi nchini Kenya wamelazimika kutumia mabomu ya gesi ya kutoa machozi kuwatawanya wafuasi wa muungano wa upinzani NASA walioandamana katika miji ya Nairobi na Kisumu kushinikiza mabadiliko katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC.

  • UN yajitosa katika uchaguzi wa marudio Kenya, wapinzani kuandamana dhidi ya IEBC

    UN yajitosa katika uchaguzi wa marudio Kenya, wapinzani kuandamana dhidi ya IEBC

    Sep 26, 2017 04:20

    Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limesaini mkataba na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) kuhusu zabuni ya karatasi za kupigia kura kwa ajili ya uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26.

  • DPP wa Kenya aagiza uchunguzi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa IEBC

    DPP wa Kenya aagiza uchunguzi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa IEBC

    Sep 24, 2017 11:03

    Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya Umma nchini Kenya (DPP), Keriako Tobiko ameagiza polisi na Kamisheni ya Maadili ya Kupambana na Ufisadi EACC kuanzisha uchunguzi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Tume ya Uchaguzi nchini humo, kutokana na kasoro zilizojitokeza katika uchaguzi wa mwezi uliopita.

  • Tarehe ya uchaguzi wa marudio Kenya yasogezwa mbele

    Tarehe ya uchaguzi wa marudio Kenya yasogezwa mbele

    Sep 22, 2017 04:22

    Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) imebadilisha tarehe ya kufanyika uchaguzi wa marudio wa urais hadi Oktoba 26 mwaka huu na wala sio Oktoba 17 kama ilivyotangaza hapo awali.

  • Mahakama ya Juu Kenya yatoa ufafanuzi wa kubatilisha uchaguzi wa urais

    Mahakama ya Juu Kenya yatoa ufafanuzi wa kubatilisha uchaguzi wa urais

    Sep 20, 2017 09:47

    Mahakama ya Juu nchini Kenya imesema haijuti kuchukua uamuzi wa kubatilisha ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi mkuu uliofanyika Agosti 8 mwaka huu, huku ikiilaumu Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC kwa kuendesha zoezi hilo kinyume cha sheria.

  • Ikwani: Hatutatambua rasmi chaguzi zote za Misri

    Ikwani: Hatutatambua rasmi chaguzi zote za Misri

    Sep 19, 2017 23:23

    Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri imetangaza kuwa haitatambua rasmi uchaguzi wowote ule utakaofanyika nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS