-
Mahakama ya Juu Kenya yatoa ufafanuzi wa kubatilisha uchaguzi wa urais
Sep 20, 2017 09:47Mahakama ya Juu nchini Kenya imesema haijuti kuchukua uamuzi wa kubatilisha ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi mkuu uliofanyika Agosti 8 mwaka huu, huku ikiilaumu Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC kwa kuendesha zoezi hilo kinyume cha sheria.
-
Ikwani: Hatutatambua rasmi chaguzi zote za Misri
Sep 19, 2017 23:23Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri imetangaza kuwa haitatambua rasmi uchaguzi wowote ule utakaofanyika nchini humo.
-
Vyama vya upinzani Angola vyaenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi
Sep 09, 2017 03:27Vyama vitatu vya upinzani nchini Angola vimewasilisha malalamiko mahakamani dhidi ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo hivi karibuni, ambapo chama tawala cha MPLA kilitangazwa kuibuka mshindi.
-
Odinga: Nitashiriki uchaguzi wa marudio Kenya kwa masharti
Sep 05, 2017 09:29Kinara wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga amesema muungano wa upinzani wa NASA hautashiriki uchaguzi wa marudio uliopangwa kufanyika Oktoba 17 iwapo masharti waliyoyatoa hayatatekelezwa.
-
AU yapongeza uamuzi wa mahakama ya juu Kenya kubatilisha uchaguzi wa rais
Sep 04, 2017 22:07Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika AU amekaribisha uamuzi wa mahakama ya juu nchini Kenya wa kufuta matokeo ya uchaguzi wa rais nchini humo.
-
Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Kenya na ishara za kukomaa demokrasia
Sep 02, 2017 05:24Mahakama ya Juu ya Kenya imetengua matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika mwezi uliopita nchini humo na kumpa ushindi Rais wa sasa wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta.
-
Tume ya Uchaguzi DRC kutangaza ratiba ya uchaguzi
Sep 01, 2017 10:54Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Corneille Nangaa amesema ratiba ya Uchaguzi mkuu itatangazwa hivi karibuni.
-
Mahakama ya Juu Kenya yatengua matokeo ya uchaguzi wa Rais
Sep 01, 2017 05:00Mahakama ya Juu ya Kenya imetengua matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi uliopita nchini humo na kumpa ushindi Rais wa sasa wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta.
-
Upinzani Angola waitaka tume ya uchaguzi kufafanua matokeo yake
Aug 27, 2017 03:09Kinara wa chama kikuu cha upinzani nchini Angola ameitaka tume ya uchaguzi nchini humo kutoa ufafanuzi na maelezo ya kina kuhusu namna ilivyokipa ushindi wa kishindo chama tawala nchini humo.
-
Upinzani Kenya wawasilisha mashtaka mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu
Aug 19, 2017 11:27Muungano wa upinzani nchini Kenya wa National Super Alliance (NASA) umewasilisha kesi ya kupinga ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 8 Agosti na kufuatiwa na malalamiko na machafuko.