Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Mahakama ya Juu Kenya yatoa ufafanuzi wa kubatilisha uchaguzi wa urais

    Mahakama ya Juu Kenya yatoa ufafanuzi wa kubatilisha uchaguzi wa urais

    Sep 20, 2017 09:47

    Mahakama ya Juu nchini Kenya imesema haijuti kuchukua uamuzi wa kubatilisha ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi mkuu uliofanyika Agosti 8 mwaka huu, huku ikiilaumu Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC kwa kuendesha zoezi hilo kinyume cha sheria.

  • Ikwani: Hatutatambua rasmi chaguzi zote za Misri

    Ikwani: Hatutatambua rasmi chaguzi zote za Misri

    Sep 19, 2017 23:23

    Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri imetangaza kuwa haitatambua rasmi uchaguzi wowote ule utakaofanyika nchini humo.

  • Vyama vya upinzani Angola vyaenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi

    Vyama vya upinzani Angola vyaenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi

    Sep 09, 2017 03:27

    Vyama vitatu vya upinzani nchini Angola vimewasilisha malalamiko mahakamani dhidi ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo hivi karibuni, ambapo chama tawala cha MPLA kilitangazwa kuibuka mshindi.

  • Odinga: Nitashiriki uchaguzi wa marudio Kenya kwa masharti

    Odinga: Nitashiriki uchaguzi wa marudio Kenya kwa masharti

    Sep 05, 2017 09:29

    Kinara wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga amesema muungano wa upinzani wa NASA hautashiriki uchaguzi wa marudio uliopangwa kufanyika Oktoba 17 iwapo masharti waliyoyatoa hayatatekelezwa.

  • AU yapongeza uamuzi wa mahakama ya juu Kenya kubatilisha uchaguzi wa rais

    AU yapongeza uamuzi wa mahakama ya juu Kenya kubatilisha uchaguzi wa rais

    Sep 04, 2017 22:07

    Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika AU amekaribisha uamuzi wa mahakama ya juu nchini Kenya wa kufuta matokeo ya uchaguzi wa rais nchini humo.

  • Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Kenya na ishara za kukomaa demokrasia

    Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Kenya na ishara za kukomaa demokrasia

    Sep 02, 2017 05:24

    Mahakama ya Juu ya Kenya imetengua matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika mwezi uliopita nchini humo na kumpa ushindi Rais wa sasa wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta.

  • Tume ya Uchaguzi DRC kutangaza ratiba ya uchaguzi

    Tume ya Uchaguzi DRC kutangaza ratiba ya uchaguzi

    Sep 01, 2017 10:54

    Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Corneille Nangaa amesema ratiba ya Uchaguzi mkuu itatangazwa hivi karibuni.

  • Mahakama ya Juu Kenya yatengua matokeo ya uchaguzi wa Rais

    Mahakama ya Juu Kenya yatengua matokeo ya uchaguzi wa Rais

    Sep 01, 2017 05:00

    Mahakama ya Juu ya Kenya imetengua matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi uliopita nchini humo na kumpa ushindi Rais wa sasa wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta.

  • Upinzani Angola waitaka tume ya uchaguzi kufafanua matokeo yake

    Upinzani Angola waitaka tume ya uchaguzi kufafanua matokeo yake

    Aug 27, 2017 03:09

    Kinara wa chama kikuu cha upinzani nchini Angola ameitaka tume ya uchaguzi nchini humo kutoa ufafanuzi na maelezo ya kina kuhusu namna ilivyokipa ushindi wa kishindo chama tawala nchini humo.

  • Upinzani Kenya wawasilisha mashtaka mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu

    Upinzani Kenya wawasilisha mashtaka mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu

    Aug 19, 2017 11:27

    Muungano wa upinzani nchini Kenya wa National Super Alliance (NASA) umewasilisha kesi ya kupinga ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 8 Agosti na kufuatiwa na malalamiko na machafuko.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS