-
Waziri wa Ulinzi wa Marekani akataa kutoa maelezo kuhusu ndege iliyotunguliwa Afghanistan
Jan 28, 2020 02:06Waziri wa Ulinzi wa Marekani amekataa kutoa maelezo kuhusiana na ndege ya nchi hiyo iliyotunguliwa nchini Afghanistan.
-
Msimamo wa Imran Khan kuhusu njia mjarabu ya kufikiwa usalama nchini Afghanistan
Jan 27, 2020 04:37Imran Khan, Waziri Mkuu wa Pakistan sambamba na kusisitiza kutokuwepo njia ya utatuzi wa kijeshi kwa mzozo wa Afghanistan, amesema kuwa amani ya nchi hiyo itafikiwa pale tu kundi la Taleban litakapofanya mazungumzo na serikali ya nchi hiyo.
-
Kuvunjika mazungumzo kati ya kundi la Taliban na Marekani
Jan 19, 2020 23:48Msemaji wa ikulu ya Afghanistan ametangaza habari ya kutofikiwa mapatano katika mazungumzo kati ya kundi la Taliban na Marekani nchini Qatar.
-
2019; mwaka wa vifo vingi vya wanajeshi vamizi wa Marekani huko Afghanistan
Dec 25, 2019 21:41Mwaka 2019 umetajwa kuwa mwaka wa mauti zaidi kwa wanajeshi vamizi wa Marekani nchini Afghanistan tangu kumalizika rasmi oparesheni za kivita nchini humo.
-
Iran na Russia zaonya kuhusu kuhamishiwa magaidi wa Daesh Afghanistan
Dec 18, 2019 23:02Maafisa wa ngazi za juu wa usalama wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wameonya kuhusu njama za makusudi za kuwahamishia wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh nchini Afghanistan.
-
Uwepo wa askari wa Kimarekani Afghanistan, chanzo cha ukosefu wa ajira
Dec 04, 2019 21:51Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni nchini Afghanistan umeonyesha kwamba, uwepo wa askari vamizi wa Kimarekani ndio sababu ya kuongezeka kiwango cha ukosefu wa ajira kwa raia wa nchi hiyo.
-
Bunge la Afghanistan lamtaka Rais Ashraf Ghani awaombe radhi wananchi kwa kukutana na Trump
Dec 01, 2019 23:06Bunge la Afghanistan sambamba na kumkosoa vikali Rais Ashraf Ghani wa nchi hiyo kutokana na hatua yake ya kukutana na Rais Donald Trump wa Marekani katika kambi ya kijeshi ya Bagram, limemtaka rais huyo awaombe radhi watu wa nchi hiyo.
-
Bunge la Afghanistan lamtaka Rais Ashraf Ghani awaombe radhi wananchi kwa kukutana na Trump
Nov 30, 2019 23:34Bunge la Afghanistan limekosoa mkutano uliofanywa na rais wa nchi hiyo Ashraf Ghani na mwenzake wa Marekani Donald Trump katika kituo cha anga cha Bagram na kumtaka Ashraf Ghani awaombe radhi wananchi wa Afghanistan kwa kitendo hicho.
-
Kiongozi Muadhamu akosoa safari ya kinyemela ya Trump nchini Afghanistan
Nov 30, 2019 01:00Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekosoa vikali safari za kushtukiza na za kificho zinazofanywa na watawala wa Marekani katika nchi za eneo hili la Asia Magharibi kinyume cha sheria.
-
Trump akutana na Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan
Nov 29, 2019 07:44Katika safari yake ya ghafla nchini Afghanistan, Rais Donald Trump wa Marekani amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Ashraf Ghani wa nchi hiyo.