-
Sisitizo la Rais wa Algeria la kuiunga mkono Russia licha ya mashinikizo ya Magharibi
Jun 17, 2023 23:17Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria siku ya Alkhamisi alisema baada ya kuonana na rais mwenzake wa Russia mjini Moscow kwamba, Algiers iko chini ya mashinikizo makubwa ya madola ya Magharibi yanayoitaka isishirikiane na Moscow kivyovyote vile.
-
Rais Sassou Nguesso: Afrika haiwezi kukaa kimya mkabala wa vita vya Russia na Ukraine
Jun 13, 2023 07:53Rais Denis Sassou Nguesso wa Jamhuri ya Kongo amesema anaamini kuwa Afrika haiwezi kubakia kimya mkabala wa vita vinavyoendelea huko Ukraine. Rais Sassou Nguesso ameeeleza hayo akiwa safani nchini Ivory Coast katika ziara yenye lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya nchi mbili hizo.
-
AU yaonya kuhusu matokeo mabaya ya kuendelea mapigano Sudan
Jun 12, 2023 08:26Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) ameonya juu ya matokeo mabaya ya kuendelea vita na mapigano nchini Sudan. Mapigano hayo ni baina ya jeshi la Sudan linaloongozwa na Abdel Fattah al Burhan, na vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) chini ya uongozi wa Muhammad Hamdan Daghalo Kamanda.
-
Sheikh Ali Saeed: Urithi wa Imam Khomeini unaendelea kuwatia moyo Waislamu + Video
May 31, 2023 05:32Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Ja'fari mjini Nairobi, mji mkuu wa Kenya amesema: Fikra za Imam Ruhullah Khomeini zinatia matumaini mema na ni nguzo ya kuwawezesha na kuwapa nguvu Waislamu duniani.
-
Iran yaipongeza Afrika kwa maadhimisho ya miaka 60 ya AU
May 26, 2023 06:47Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameyapongeza mataifa ya Afrika kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka 60 ya kuundwa Umoja wa Afrika.
-
AU yaonya: Afrika isigeuzwa uwanja wa kutunishiana misuli madola makubwa
May 26, 2023 06:24Viongozi wa Umoja wa Afrika (AU) wameyaonya madola makubwa duniani hasa ya Magharibi dhidi ya kuligeuza bara la Afrika kuwa medani ya malumbano na kutununishiana misuli, wakati huu ambapo baadhi ya nchi za bara hilo zinakabiliwa na changamoto za kiusalama.
-
Ripoti: Ulaya inatupa barani Afrika na Asia asilimia 90 ya nguo za mitumba
May 24, 2023 21:56Ripoti ya karibuni inaonyesha kuwa asilimia 90 ya nguo zilizotumika na taka za nguo kutoka nchi za Ulaya zimekuwa zikipelekwa Afrika na Asia kupitia mauzo ya nje.
-
UN: Eneo la Sahel Afrika linahitaji msaada wa kimataifa ili kupambana na wanamgambo wenye silaha
May 17, 2023 21:37Eneo la Sahel barani Afrika limekuwa kitovu cha jinai na vitendo vya uchupaji mipaka, hata hivyo kikosi maalumu cha wanajeshi kilichoundwa mwaka 2014 kutokomeza makundi ya waasi yenye mfungamano na makundi ya kigaidi ya Daesh (ISIS), al Qaida na mengineyo, kimeshindwa kuzuia hujuma na mashambulizi ya makundi hayo.
-
Ujerumani: Tunaunga mkono Afrika iwe mwanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la UN
May 06, 2023 08:42Kansela Olaf Scholz wa Ujerumani amesema nchi yake inaunga mkono mpango wa bara la Afrika kuwa na uwakilishi wa kudumu kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
NGO's: Mtu mmoja hufariki dunia kwa njaa kila baada ya sekunde 36 kuanzia Sahel hadi Pembe ya Afrika
Apr 28, 2023 07:57Umoja wa Mataifa na mashirika yasiyo ya kiserikali yametangaza kwamba mtu mmoja hufariki dunia kwa njaa kila baada ya sekunde 36 katika nchi za Ethiopia, Kenya na Somalia, huku watu milioni 18.6 wakikabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula katika eneo la Sahel barani Afrika.