Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Afrika Kusini na msako dhidi ya magenge ya magendo ya makaa ya mawe

    Afrika Kusini na msako dhidi ya magenge ya magendo ya makaa ya mawe

    Oct 13, 2023 07:49

    Mamlaka husika za Afrika Kusini zimesema kuwa zimefanya msako na mashambulizi ya kushtukiza katika majimbo matano nchini humo jana Alhamisi ili kusambaratisha genge la magendo ya makaa ya mawe linalolaumiwa kuiba zaidi ya dola milioni 26 za mauzo ya makaa ya mawe.

  • Spika: Uanachama wa Iran katika BRICS una manufaa ya kisiasa na kiuchumi

    Spika: Uanachama wa Iran katika BRICS una manufaa ya kisiasa na kiuchumi

    Sep 26, 2023 10:22

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kupewa uanachama Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kundi la BRICS kuna umuhimu mkubwa wa kisiasa, kiuchumi na hata kijiografia.

  • Ebrahim Raisi: BRICS ina umuhimu mkubwa katika uchumi na biashara duniani

    Ebrahim Raisi: BRICS ina umuhimu mkubwa katika uchumi na biashara duniani

    Aug 25, 2023 23:28

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, muungano wa kimataifa wa BRICS una nafasi na machango muhimu katika ushirikiano wa kiuchumi na kibiadhara duniani.

  • Wanachama wa BRICS wakubaliana kuhusu utaratibu wa kupanua kundi hilo

    Wanachama wa BRICS wakubaliana kuhusu utaratibu wa kupanua kundi hilo

    Aug 24, 2023 22:54

    Dr. Naledi Pandor, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afrika Kusini, ametangaza kuwa nchi wanachama wa BRICS zimeafikiana kuhusu misingi muhimu ya kupanuliwa kundi hilo. Wanachama wa sasa wa BRICS ni Russia, China, Brazil, India na Afrika Kusini.

  • Raisi: BRICS inayaleta pamoja mataifa huru yanayopinga ubeberu

    Raisi: BRICS inayaleta pamoja mataifa huru yanayopinga ubeberu

    Aug 23, 2023 23:30

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Jumuiya ya BRICS ni nguvu mpya inayoinukia kwa kasi duniani, na ambayo imefanikiwa kuyaleta pamoja mataifa huru yanayotaka kuwa na ushirikiano wa kiuchumi na kukabiliana na ubeberu.

  • Mkutano wa kilele wa BRICS nchini Afrika Kusini

    Mkutano wa kilele wa BRICS nchini Afrika Kusini

    Aug 23, 2023 11:42

    Mkutano wa siku tatu wa wakuu wa nchi tano za BRICS na uwepo wa makumi ya wakuu wengine wa nchi ulianza huko Johannesburg, Afrika Kusini mnamo Jumanne, Agosti 22, 2023.

  • Iran na Afrika Kusini katika mkondo wa kuhuisha kikamilifu mahusiano

    Iran na Afrika Kusini katika mkondo wa kuhuisha kikamilifu mahusiano

    Aug 11, 2023 07:34

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wiki hii aliekea Pretoria Afrika Kusini kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa 15 wa Kamisheni ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Afrika Kusini na kukutana na viongozi mbalimbali wa taifa hilo.

  • Abdollahian: Iran na Afrika Kusini zina fursa nyingi za kupanua ushirikiano

    Abdollahian: Iran na Afrika Kusini zina fursa nyingi za kupanua ushirikiano

    Aug 10, 2023 10:27

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema, licha ya vikwazo vya upande mmoja na haramu vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika fremu ya sheria za kimataifa, daima kuna fursa mbalimbali kwa Iran na Afrika Kusini za kupanua uhusiano.

  • Afrika Kusini: Tutaendelea kutumia teknolojia ya China licha ya mashinikizo ya US

    Afrika Kusini: Tutaendelea kutumia teknolojia ya China licha ya mashinikizo ya US

    Aug 08, 2023 04:05

    Afrika Kusini imesema itaendelea kustafidi na teknolojia ya shirika la China la Huawei licha ya kushinikizwa na Marekani iachane na kampuni hiyo.

  • Makamanda wa majeshi ya majini ya Afrika Kusini na Venezuela wasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran

    Makamanda wa majeshi ya majini ya Afrika Kusini na Venezuela wasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran

    Jul 31, 2023 07:36

    Makamanda wa vikosi vya wanamaji vya majeshi ya Afrika Kusini na Venezuela wamesisitiza udharura wa kuimarishwa uhusiano wa kiulinzi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao chao na Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS