Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Afrika Kusini: Baraza la Usalama la UN limeifelisha dunia

    Afrika Kusini: Baraza la Usalama la UN limeifelisha dunia

    Jul 27, 2023 06:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesisitizia udharura wa kufanyiwa mabadiliko muundo wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa akisisitiza kuwa, chombo hicho kimeifelisha dunia kwa kutofanya kazi inavyotakiwa.

  • Putin: Afrika ni miongoni mwa nguzo muhimu za ulimwengu wa kambi kadhaa

    Putin: Afrika ni miongoni mwa nguzo muhimu za ulimwengu wa kambi kadhaa

    Jul 26, 2023 22:59

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametilia mkazo umuhimu wa bala la Afrika kama moja ya nguzo za ulimwengu wa pande kadhaa.

  • Russia: Dunia haiwezi tena kuvumilia sera za kutii amri za Marekani

    Russia: Dunia haiwezi tena kuvumilia sera za kutii amri za Marekani

    Jul 25, 2023 03:38

    Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema dunia ya sasa haivumilii tena sera za kufuata amri za Marekani na inaelekea kwenye mfumo wa kambi kadhaa, mchakato ambao haukubaliwi na nchi za Magharibi.

  • Afisa mwandamizi wa usalama wa Iran ahudhuria mkutano wa BRICS Afrika Kusini

    Afisa mwandamizi wa usalama wa Iran ahudhuria mkutano wa BRICS Afrika Kusini

    Jul 24, 2023 08:02

    Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Iran yuko nchini Afrika Kusini kushiriki mkutano wa ngazi ya juu wa usalama wa nchi kundi la BRICS.

  • Waislamu Afrika Kusini wataka jibu la haraka kwa kuvunjiwa heshima Qurani

    Waislamu Afrika Kusini wataka jibu la haraka kwa kuvunjiwa heshima Qurani

    Jul 24, 2023 07:57

    Waislamu nchini Afrika Kusini wameitaka serikali ya nchi hiyo itoe taarifa ya kulaani vitendo vya mara kwa mara vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu barani Ulaya.

  • Wakuu wa Ufaransa, Marekani na Uingereza wapuuzwa, hawakualikwa mkutano wa BRICS

    Wakuu wa Ufaransa, Marekani na Uingereza wapuuzwa, hawakualikwa mkutano wa BRICS

    Jul 24, 2023 07:35

    Marais wa Ufaransa na Marekani na Waziri Mkuu wa Uingereza hawakualikwa kwenye mkutano ujao wa kundi la BRICS uliopangwa kufanyika barani Afrika.

  • Iran yataka kutokomezwa mfumo wa apartheid Palestina

    Iran yataka kutokomezwa mfumo wa apartheid Palestina

    Jul 19, 2023 09:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kusambaratisha mfumo wa ubaguzi wa rangi (apartheid) kote duniani na hususan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Watu wasiopungua 16 wapoteza maisha katika mkasa wa kuvuja gesi Afrika Kusini

    Watu wasiopungua 16 wapoteza maisha katika mkasa wa kuvuja gesi Afrika Kusini

    Jul 06, 2023 04:10

    Watu wasiopungua 16 wakiwemo watoto wameaga dunia baada ya kuvuja gesi katika eneo la mabanda karibu na mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini.

  • Rais wa Iran aalikwa kuhudhuria mkutano wa BRICS Afrika Kusini

    Rais wa Iran aalikwa kuhudhuria mkutano wa BRICS Afrika Kusini

    Jul 04, 2023 03:54

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amealikwa rasmi kuhudhuria mkutano ujao wa kundi la BRICS utakaofanyika nchini Afrika Kusini.

  • Mafuriko yauwa watu 7 Afrika Kusini; watu wengine kadhaa hawajulikani walipo

    Mafuriko yauwa watu 7 Afrika Kusini; watu wengine kadhaa hawajulikani walipo

    Jun 30, 2023 10:29

    Mamlaka ya serikali za mitaa nchini Afrika Kusini Ijumaa hii zimetangaza kuwa watu saba wameaga duunia na wengine saba hawajulikani walipo baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko ndani na nje ya mji wa Durban.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS