Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Afrika Kusini yataka amani ya kudumu na endelevu Palestina

    Afrika Kusini yataka amani ya kudumu na endelevu Palestina

    Nov 23, 2023 04:05

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini sanjari na kupongeza usitishaji vita wa muda kwa misingi ya ubinadamu huko Gaza, ametoa mwito wa kufanyika jitihada zaidi za kutafuta amani ya kudumu na endelevu katika mgogoro wa miongo kadhaa baina ya Palestina na utawala haramu wa Israel.

  • Malema aitaka ICC imtie mbaroni Netanyahu kwa mauaji ya Gaza

    Malema aitaka ICC imtie mbaroni Netanyahu kwa mauaji ya Gaza

    Nov 09, 2023 23:23

    Kiongozi wa chama cha upinzani nchini Afrika Kusini ametoa mwito kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kumtia mbaroni Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na mashambulizi ya kinyama yanayoandelea kufanywa na utawala huo pandikizi katika Ukanda wa Gaza.

  • Afrika Kusini yasonga mbele na miradi ya kuzalisha gesi ili kusaidia tatizo la umeme

    Afrika Kusini yasonga mbele na miradi ya kuzalisha gesi ili kusaidia tatizo la umeme

    Nov 05, 2023 10:13

    Kgosientsho Ramakgopa Waziri wa Umeme wa Afrika Kusini amesema leo Jumapili kuwa nchi hiyo inaharakisha mipango ya kuzalisha gigawati 3 (GW) za umeme kwa kutumia gesi ili kusaidia kuziba nakisi ya nishati ya umeme ambayo inaathiri uchumi wa nchi hiyo.

  • Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yafanyika tena Afrika Kusini

    Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yafanyika tena Afrika Kusini

    Oct 14, 2023 03:54

    Kwa mara nyingine, wananchi wa Afrika Kusini wamefanya maandamano wakionyesha mshikamano wao na watu wanaodhulumiwa wa Palestina na kutangaza uungaji mkono wao kwa mapambano ya ukombozi wa Palestina.

  • Afrika Kusini na msako dhidi ya magenge ya magendo ya makaa ya mawe

    Afrika Kusini na msako dhidi ya magenge ya magendo ya makaa ya mawe

    Oct 13, 2023 07:49

    Mamlaka husika za Afrika Kusini zimesema kuwa zimefanya msako na mashambulizi ya kushtukiza katika majimbo matano nchini humo jana Alhamisi ili kusambaratisha genge la magendo ya makaa ya mawe linalolaumiwa kuiba zaidi ya dola milioni 26 za mauzo ya makaa ya mawe.

  • Spika: Uanachama wa Iran katika BRICS una manufaa ya kisiasa na kiuchumi

    Spika: Uanachama wa Iran katika BRICS una manufaa ya kisiasa na kiuchumi

    Sep 26, 2023 10:22

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kupewa uanachama Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kundi la BRICS kuna umuhimu mkubwa wa kisiasa, kiuchumi na hata kijiografia.

  • Ebrahim Raisi: BRICS ina umuhimu mkubwa katika uchumi na biashara duniani

    Ebrahim Raisi: BRICS ina umuhimu mkubwa katika uchumi na biashara duniani

    Aug 25, 2023 23:28

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, muungano wa kimataifa wa BRICS una nafasi na machango muhimu katika ushirikiano wa kiuchumi na kibiadhara duniani.

  • Wanachama wa BRICS wakubaliana kuhusu utaratibu wa kupanua kundi hilo

    Wanachama wa BRICS wakubaliana kuhusu utaratibu wa kupanua kundi hilo

    Aug 24, 2023 22:54

    Dr. Naledi Pandor, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afrika Kusini, ametangaza kuwa nchi wanachama wa BRICS zimeafikiana kuhusu misingi muhimu ya kupanuliwa kundi hilo. Wanachama wa sasa wa BRICS ni Russia, China, Brazil, India na Afrika Kusini.

  • Raisi: BRICS inayaleta pamoja mataifa huru yanayopinga ubeberu

    Raisi: BRICS inayaleta pamoja mataifa huru yanayopinga ubeberu

    Aug 23, 2023 23:30

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Jumuiya ya BRICS ni nguvu mpya inayoinukia kwa kasi duniani, na ambayo imefanikiwa kuyaleta pamoja mataifa huru yanayotaka kuwa na ushirikiano wa kiuchumi na kukabiliana na ubeberu.

  • Mkutano wa kilele wa BRICS nchini Afrika Kusini

    Mkutano wa kilele wa BRICS nchini Afrika Kusini

    Aug 23, 2023 11:42

    Mkutano wa siku tatu wa wakuu wa nchi tano za BRICS na uwepo wa makumi ya wakuu wengine wa nchi ulianza huko Johannesburg, Afrika Kusini mnamo Jumanne, Agosti 22, 2023.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS