-
Afrika Kusini yasema BRICS inatafakari kutupilia mbali sarafu ya dola ya Marekani
Jan 18, 2023 07:27Nchi za Jumuiya ya BRICS ya mataifa yanayoibukia kiuchumi inataka kutupilia mbali sarafu ya dola ya Marekani na badala yake kuunda mfumo bora wa malipo ambao hautapendelea nchi tajiri.
-
Nyumba 200 zateketezwa kwa moto nchini Afrika Kusini
Jan 02, 2023 23:34Moto mkubwa uliotokea katika kitongoji duni nje kidogo ya mji wa Cape Town nchini Afrika Kusini umeua mwanamke mmoja na kuharibu zaidi ya nyumba 200.
-
Afrika Kusini yapinga Israel kujiunga na Umoja wa Afrika
Dec 17, 2022 08:05Waziri wa Mambo ya Nje wa wa Afrika Kusini amesema kujiunga utawala wa Kizayuni wa Israel na Umoja wa Afrika ni sawa na tusi kwa moyo wa hati ya umoja huo.
-
Msemaji wa Rais wa Afrika Kusini: Ramaphosa hatajiuzulu
Dec 04, 2022 03:32Msemaji wa Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ambaye yupo chini ya mashinikizo ya kutakiwa ajiuzulu kutokana na kashfa ya ufisadi inayomzunguka amesisitiza kuwa kiongozi huyo hatoachia ngazi.
-
Ramaphosa atakiwa kujiuzulu kwa tuhuma za ufisadi, mwenyewe amezikanusha
Dec 02, 2022 07:27Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini anakabiliwa na miito mbalimbali inayomtaka ajiuzulu baada ya uchunguzi wa Bunge kubaini kuwa huweda alikiuka sheria za kupambana na ufisadi kuhusiana na wizi wa mamilioni ya dola katika shamba lake la Phala Phala.
-
Maandamano yafanyika Afrika Kusini kulaani kuachiwa Mzungu katili
Dec 01, 2022 23:13Wananchi wa Afrika Kusini wamefanya maandamano kulalamikia hatua ya mahakama ya nchi hiyo kumuachia huru raia mbaguzi wa Poland aliyemuua mmoja wa viongozi waliokuwa wanapinga utawala wa zamani wa ubaguzi wa rangi (apartheid).
-
Balozi wa Afrika Kusini akosoa vikwazo vya madola ya Magharibi dhidi ya Iran
Nov 28, 2022 23:54Balozi wa Afrika Kusini nchini Iran amekosoa kuendelea vikwazo vya madola ya Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mahakama Afrika Kusini yakosolewa kwa kumuachia Mzungu katili
Nov 22, 2022 04:33Uamuzi wa Mahakama ya Kikatiba ya Afrika Kusini kumuachia huru raia mbaguzi wa Poland aliyekuwa akitumia kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Chris Hani, mmoja wa viongozi waliokuwa wanapinga utawala wa zamani wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini (apartheid).
-
Iran na Afrika Kusini zaazimia kuimarisha uhusiano wa pande mbili
Nov 17, 2022 04:14Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wamesisitizia haja ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili wa nchi hizi mbili katika nyuga tofauti.
-
Makumi ya maiti za wachimba migodi 'haramu' zapatikana Afrika Kusini
Nov 03, 2022 08:29Polisi ya Afrika Kusini inachunguza kisa cha kugunduliwa makumi ya maiti za watu wanaoshukiwa kuwa wachimba migodi 'haramu' katika mji wa Krugersdorp, magharibi mwa jiji la Johannesburg.