-
Afrika Kusini yasema aina mpya ya Corona si tishio kwa sasa
Sep 03, 2021 21:56Waziri wa Afya wa Afrika Kusini amesema wanasayansi wameitaarifu serikali ya nchi hiyo kuwa, spishi mpya ya kirusi cha Corona iliyoripotiwa miezi michache iliyopita nchini humo si hatari na tishio kwa sasa.
-
Afrika Kusini yapinga Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika AU
Jul 28, 2021 22:03Serikali ya Afrika Kusini imepinga kitendo cha kutambuliwa utawala haramu wa Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika (AU.
-
Waliouawa katika ghasia za Afrika Kusini wapindukia 330
Jul 23, 2021 03:19Serikali ya Afrika Kusini imetangaza kuwa, idadi ya watu waliouawa katika ghasia zinazoendelea nchini humo imepindukia 300.
-
Wataalamu wa haki za binadamu: UAE inawapa hifadhi watuhumiwa wa kesi kubwa za ufisadi nchini Afrika Kusini
Jul 18, 2021 03:49Tovuti ya Marekani ya Foreign Policy imechapisha makala ya wataalamu wawili katika mashirika ya haki za binadamu wakiitaka Imarati (UAE) ishirikiane na serikali ya Afrika Kusini na kuwakabidhi washukiwa wa tuhuma za ufisadi na kuhujumu uchumi.
-
Cyril Ramaphosa asema, machafuko ya Afrika Kusini 'yamechochewa na kupangwa'
Jul 16, 2021 22:45Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema kuwa ghasia kubwa na uporaji ambao umeitikisa nchi hiyo kwa wiki nzima iliyopita vilipangwa na kuchochewa. Ramaphosa ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kwanza katika maeneo yaliyoathiriwa na machafuko mabaya zaidi kuwahi kutokea nchini humo katika kipindi cha baada ya utawala wa ubaguzi wa rangi, Apartheid.
-
Rais wa Afrika Kusini apasisha kumiminwa mitaani askari 25,000 kudhibiti ghasia
Jul 16, 2021 07:31Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ameidhinisha kumiminwa mitaani askari 25,000 ili kudhibiti ghasia zilizozuka baada ya kufungwa jela rais wa zamani wa nchi hiyo, Jacob Zuma.
-
Afrika Kusini: Watu wasiopungua 45 wameuawa katika maandamano ya kumuunga mkono Zuma
Jul 13, 2021 08:25Idadi ya waliofariki dunia kutokana na vurugu na uporaji unaoendelea Afrika Kusini kwa siku kadhaa sasa imeongezeka hadi 45.
-
Wafuasi wa Zuma waandamana Afrika Kusini kumtetea kiongozi wao aliyefungwa jela
Jul 11, 2021 00:13Wafuasi wa rais wa zamani wa Afrika Kusini walifanya maandamano jana Jumamosi katika mkoa wa KwaZulu Natal wakipinga kufungwa jela mwanasiasa huyo anayetuhumiwa kuhusika na ufisadi.
-
Waziri wa Sheria: Raisi wa zamani wa A. Kusini, Zuma anaweza kuachiwa huru baada ya miezi 4
Jul 09, 2021 02:53Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma anaweza kuachiliwa huru kutoka gerezani baada ya miezi minne. Hayo yalisema jana na Waziri wa Sheria wa Afrika Kusini, siku moja baada ya kiongozi huyo wa zamani kuwashangaza wafuasi wake kwa kujisalimisha kwa polisi na kuanza kutumikia kifungo cha miezi 15.
-
Mahakama ya Katiba Afrika Kusini imekubali kusikiliza hoja ya Zuma ya kupinga kufungwa jela
Jul 04, 2021 03:47Mahakama ya Katiba nchini Afrika kusini imekubali kusikiliza hoja ya Rais wa zamani wa nchi hiyo Jacob Zuma ya kupinga dikrii inayoagiza yeye kwenda jela kwa miezi 15 kwa kosa la kudharau mahakama.