Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Mahakama Afrika Kusini yamhukumu Zuma zaidi ya mwaka mmoja jela

    Mahakama Afrika Kusini yamhukumu Zuma zaidi ya mwaka mmoja jela

    Jun 29, 2021 21:55

    Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, ambaye kesi yake ya ufisadi inaendelea, amehukumiwa kifungo cha miezi 15 gerezani kwa kudharau korti.

  • Afrika Kusini yasema nchi tajiri zinafanya 'apartheid ya chanjo' ya Corona

    Afrika Kusini yasema nchi tajiri zinafanya 'apartheid ya chanjo' ya Corona

    May 10, 2021 22:20

    Rais wa Afrika Kusini ametahadharisha kuwa, iwapo nchi tajiri duniani zitaendelea kuhodhi chanjo za ugonjwa wa Covid-19, huku mamilioni ya watu katika nchi masikini wakiendelea kuaga dunia kwa kukosa chanjo hizo, kitendo hicho ni sawa na 'apartheid ya chanjo.'

  • Rais Rouhani asisitiza haja ya kuimarishwa uhusiano wa Iran na Afrika Kusini

    Rais Rouhani asisitiza haja ya kuimarishwa uhusiano wa Iran na Afrika Kusini

    Apr 27, 2021 08:43

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo suala la kuimarishwa uhusiano wa pande mbili wa taifa hili na Afrika Kusini katika nyuga anuai.

  • Rais Ramaphosa ataka Afrika ianze kujizalishia chanjo ya Covid-19

    Rais Ramaphosa ataka Afrika ianze kujizalishia chanjo ya Covid-19

    Apr 13, 2021 02:21

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema bara la Afrika linahitaji ujuzi na uwezo wa kujitengenezea chanjo za kupambana na ugonjwa wa Covid-19, wakati huu ambapo bara hilo linakumbwa na uhaba mkubwa wa chanjo hizo.

  • Raia 50 wa Afrika Kusini watoweka kufuatia shambulio la kigaidi Msumbiji

    Raia 50 wa Afrika Kusini watoweka kufuatia shambulio la kigaidi Msumbiji

    Apr 04, 2021 06:28

    Afrika Kusini imesema raia wake zaidi ya 50 hawajulikani walipo mpaka sasa baada ya magaidi kuvamia na kuudhibiti mji wa Pwani wa Palma nchini Msumbiji, huku taarifa zikisema kuwa makumi ya watu wameuawa katika shambulio hilo.

  • Jaji Mkuu Afrika Kusini atakiwa kuomba radhi kwa kutoa matamshi yanayoiunga mkono Israel

    Jaji Mkuu Afrika Kusini atakiwa kuomba radhi kwa kutoa matamshi yanayoiunga mkono Israel

    Mar 05, 2021 04:43

    Tume ya Mahakama za Afrika Kusini imemwamuru Jaji Mkuu wa nchi hiyo kuomba radhi na kutengua matamshi aliyotoa mwaka jana ambayo yalitambuliwa kuwa yanauunga mkono utawala ghasibu wa Isarel, katika nchi hiyo ya Kiafrika inayotetea watu wanaodhulumiwa wa Palestina.

  • Afrika Kusini: Chanjo ya corona ya AstraZeneca inavunja moyo

    Afrika Kusini: Chanjo ya corona ya AstraZeneca inavunja moyo

    Feb 17, 2021 07:13

    Waziri wa Afya wa Afrika Kusini amesema amevunjwa moyo na taathira ndogo ya chanjo ya corona ya AstraZeneca kwa virusi vipya vya corona.

  • Rais wa Afrika Kusini atangaza juhudi za kufufua uchumi nchini humo

    Rais wa Afrika Kusini atangaza juhudi za kufufua uchumi nchini humo

    Feb 14, 2021 00:16

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza habari za juhudi kubwa zinazofanywa na serikali yake za kufufua uchumi wa nchi hiyo ulioathiriwa vibaya na maambukizi ya kirusi hatari cha corona.

  • Jeshi la Afrika Kusini laruhusu askari wanawake wa Kiislamu kuvaa hijabu kazini

    Jeshi la Afrika Kusini laruhusu askari wanawake wa Kiislamu kuvaa hijabu kazini

    Jan 29, 2021 04:22

    Jeshi la Afrika Kusini limefanyia marekebisho kanuni zake za uvaaji na sasa limewaruhusu askari wanawake wa Kiislamu nchini humo kuvalia vazi la stara la hijabu wakiwa kazini.

  • Maelfu wakamatwa Afrika Kusini kwa kutovaa barakoa

    Maelfu wakamatwa Afrika Kusini kwa kutovaa barakoa

    Jan 13, 2021 23:10

    Polisi ya Afrika Kusini imewatia mbaroni maelfu ya watu waliokutwa katika maeneo ya umma bila barakoa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS