-
Afrika Kusini: Tuko tayari kuisaidia Marekani katika ukabidhianaji madaraka kwa njia ya amani
Jan 11, 2021 08:40Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema kuwa nchi yake iko tayari kuipatia Marekani uzoefu wake katika uga wa kuhitimisha kipindi cha utawala wa ubaguzi wa rangi na kukabidhi madaraka kwa njia ya amani.
-
UK: Aina mpya ya virusi vya corona imetokea Afrika Kusini
Dec 24, 2020 04:43Waziri wa Afya wa Uingereza amesema spishi mpya ya kirusi cha corona iliyogunduliwa nchini humo na inayoambukiza na kuenea kwa kasi kubwa zaidi iliibukia nchini Afrika Kusini.
-
UN: Ahadi za kurejesha amani CAR zitimizwe kikamilifu
Nov 01, 2020 07:55Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia operesheni za kulinda amani Jean-Pierre Lacroix amesema ahadi za kurejesha amani huko Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) zinapaswa kutimizwa kikamilifu.
-
Waziri wa afya wa Afrika Kusini aambukizwa corona
Oct 19, 2020 04:24Waziri wa Afya wa Afrika Kusini Daktari Zweli Mkhize jana alitoa taarifa akithibitisha kuwa, yeye na mke wake wameambukizwa virusi vya COVID-19.
-
Makabiliano ya waandamanaji Waafrika wenyeji na Wazungu Afrika Kusini
Oct 16, 2020 10:12Wakulima wazingu na waandamanaji Waafrika wenyeji wamerushiana matusi katika maandamano siku ya Ijumaa nje ya mahakama wakati wa kusikilizwa kesi ya mauaji.
-
Ombi la Umoja wa Afrika la kuongezewa uwakilishi Afrika katika Baraza la Usalama la UN
Sep 24, 2020 08:02Mabadiliko ya kimsingi katika muundo wa mfumo wa kimataifa na kuongezeka nafasi ya maeneo mbalimbali ya dunia ikiwemo Afrika vimezidisha maombi ya nchi muhimu za bara hilo zikitaka kuzidishwa nafasi ya uwakilishi wa Afrika katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
AU yataka Afrika iwe na 'sauti' katika Baraza la Usalama la UN
Sep 23, 2020 04:48Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ambaye ni Mwenyekiti wa kiduru wa Umoja wa Afrika (AU) amesema muundo wa hivi sasa wa Baraza la Usalama la umoja huo unapaswa kuangaliwa upya kwa kuwa namna ulivyo hauakisi taswira halisi ya dunia ya leo.
-
Vyombo vya Usalama Afrika Kusini: Hakuna ushahidi wa madai ya US dhidi ya Iran
Sep 19, 2020 08:26Idara ya Usalama wa Taifa ya Afrika Kusini imesema hakuna ushahidi wowote iliyoupata wa madai ya Marekani kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapanga kumuua Lana Marks, Balozi wa Marekani katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.
-
Afrika Kusini yakadhibisha tuhuma za Marekani dhidi ya Iran
Sep 19, 2020 06:34Baada ya Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, serikali ya Rais Donald Trump ilizidisha mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa shabaha ya eti kulemaza uchumi wa Iran na imekuwa ikitumia kila liwezekanalo kuanzisha vita vya kinafsi na kisaikolojia ikiwa ni pamoja na kutoa vitisho dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Afrika Kusini: Madai ya Marekani dhidi ya Iran ni ya kustaajabisha
Sep 17, 2020 23:06Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini ameeleza juu ya kustaajabishwa na kushangazwa kwake na madai ya Marekani kuwa Iran inapanga kumuua Lana Marks, Balozi wa Marekani nchini Afrika Kusini.