Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Afrika Kusini: Tuko tayari kuisaidia Marekani katika ukabidhianaji madaraka kwa njia ya amani

    Afrika Kusini: Tuko tayari kuisaidia Marekani katika ukabidhianaji madaraka kwa njia ya amani

    Jan 11, 2021 08:40

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema kuwa nchi yake iko tayari kuipatia Marekani uzoefu wake katika uga wa kuhitimisha kipindi cha utawala wa ubaguzi wa rangi na kukabidhi madaraka kwa njia ya amani.

  • UK: Aina mpya ya virusi vya corona imetokea Afrika Kusini

    UK: Aina mpya ya virusi vya corona imetokea Afrika Kusini

    Dec 24, 2020 04:43

    Waziri wa Afya wa Uingereza amesema spishi mpya ya kirusi cha corona iliyogunduliwa nchini humo na inayoambukiza na kuenea kwa kasi kubwa zaidi iliibukia nchini Afrika Kusini.

  • UN: Ahadi za kurejesha amani CAR zitimizwe kikamilifu

    UN: Ahadi za kurejesha amani CAR zitimizwe kikamilifu

    Nov 01, 2020 07:55

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia operesheni za kulinda amani Jean-Pierre Lacroix amesema ahadi za kurejesha amani huko Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) zinapaswa kutimizwa kikamilifu.

  • Waziri wa afya wa Afrika Kusini aambukizwa corona

    Waziri wa afya wa Afrika Kusini aambukizwa corona

    Oct 19, 2020 04:24

    Waziri wa Afya wa Afrika Kusini Daktari Zweli Mkhize jana alitoa taarifa akithibitisha kuwa, yeye na mke wake wameambukizwa virusi vya COVID-19.

  • Makabiliano ya waandamanaji Waafrika wenyeji na Wazungu Afrika Kusini

    Makabiliano ya waandamanaji Waafrika wenyeji na Wazungu Afrika Kusini

    Oct 16, 2020 10:12

    Wakulima wazingu na waandamanaji Waafrika wenyeji wamerushiana matusi katika maandamano siku ya Ijumaa nje ya mahakama wakati wa kusikilizwa kesi ya mauaji.

  • Ombi la Umoja wa Afrika la kuongezewa uwakilishi Afrika katika Baraza la Usalama la UN

    Ombi la Umoja wa Afrika la kuongezewa uwakilishi Afrika katika Baraza la Usalama la UN

    Sep 24, 2020 08:02

    Mabadiliko ya kimsingi katika muundo wa mfumo wa kimataifa na kuongezeka nafasi ya maeneo mbalimbali ya dunia ikiwemo Afrika vimezidisha maombi ya nchi muhimu za bara hilo zikitaka kuzidishwa nafasi ya uwakilishi wa Afrika katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • AU yataka Afrika iwe na 'sauti' katika Baraza la Usalama la UN

    AU yataka Afrika iwe na 'sauti' katika Baraza la Usalama la UN

    Sep 23, 2020 04:48

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ambaye ni Mwenyekiti wa kiduru wa Umoja wa Afrika (AU) amesema muundo wa hivi sasa wa Baraza la Usalama la umoja huo unapaswa kuangaliwa upya kwa kuwa namna ulivyo hauakisi taswira halisi ya dunia ya leo.

  • Vyombo vya Usalama Afrika Kusini: Hakuna ushahidi wa madai ya US dhidi ya Iran

    Vyombo vya Usalama Afrika Kusini: Hakuna ushahidi wa madai ya US dhidi ya Iran

    Sep 19, 2020 08:26

    Idara ya Usalama wa Taifa ya Afrika Kusini imesema hakuna ushahidi wowote iliyoupata wa madai ya Marekani kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapanga kumuua Lana Marks, Balozi wa Marekani katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Afrika Kusini yakadhibisha tuhuma za Marekani dhidi ya Iran

    Afrika Kusini yakadhibisha tuhuma za Marekani dhidi ya Iran

    Sep 19, 2020 06:34

    Baada ya Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, serikali ya Rais Donald Trump ilizidisha mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa shabaha ya eti kulemaza uchumi wa Iran na imekuwa ikitumia kila liwezekanalo kuanzisha vita vya kinafsi na kisaikolojia ikiwa ni pamoja na kutoa vitisho dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Afrika Kusini: Madai ya Marekani dhidi ya Iran ni ya kustaajabisha

    Afrika Kusini: Madai ya Marekani dhidi ya Iran ni ya kustaajabisha

    Sep 17, 2020 23:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini ameeleza juu ya kustaajabishwa na kushangazwa kwake na madai ya Marekani kuwa Iran inapanga kumuua Lana Marks, Balozi wa Marekani nchini Afrika Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS