Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Iran: Hakuna anayejali tena urongo wa vyombo vya intelijensia vya Marekani

    Iran: Hakuna anayejali tena urongo wa vyombo vya intelijensia vya Marekani

    Sep 15, 2020 22:09

    Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Afrika Kusini umetangaza kuwa, dunia bado haijasahu uongo wa vyombo vya intelijensia vya Marekani uliotumiwa kuanzisha vita dhidi ya Iraq.

  • Afrika Kusini yakosoa madai ya viongozi wa Marekani dhidi ya Iran

    Afrika Kusini yakosoa madai ya viongozi wa Marekani dhidi ya Iran

    Sep 14, 2020 22:07

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Afrika Kusini ameyataja madai yaliyotolewa na viongozi wa Marekani dhidi ya Iran kuwa hayana msingi wowote.

  • Wahudumu wa afya waandamana Afrika Kusini, watishia kugoma

    Wahudumu wa afya waandamana Afrika Kusini, watishia kugoma

    Sep 03, 2020 22:07

    Wahudumu wa afya nchini Afrika Kusini wamefanya maandamano katika miji ya Pretoria na Cape Town, kulalamikia mazingira magumu ya kufanyia kazi, huku wakiitaka serikali ikabiliane na ufisadi unaoshuhudiwa katika uagizaji wa mavazi maalumu na suhula za kupambana na ugonjwa wa Covid-19.

  • Kampuni ya Novavax yaanza uchunguzi wa marhala ya kati wa chanjo ya Covid-19 nchini Afrika Kusini

    Kampuni ya Novavax yaanza uchunguzi wa marhala ya kati wa chanjo ya Covid-19 nchini Afrika Kusini

    Aug 18, 2020 02:27

    Kampuni ya kutengeneza dawa ya Marekani ya Novavax Inc imesema kuwa inaanza utafiti wake wa marhala ya kati ya kuifanyia majaribio chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 nchini Afrika Kusini.

  • Mjukuu wa Mandela akosoa mapatano ya kuanzisha uhusiano baina ya Imarati na Israel

    Mjukuu wa Mandela akosoa mapatano ya kuanzisha uhusiano baina ya Imarati na Israel

    Aug 15, 2020 22:41

    Mjukuu wa shujaa wa mapambano dhidi ya utawala wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini amekosoa mapatano ya kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia baina ya Imarati na utawala haramu wa Israel.

  • Waziri wa Polisi Afrika Kusini: Uhalifu “umeenda likizo” katika kipindi cha maambukizi ya corona

    Waziri wa Polisi Afrika Kusini: Uhalifu “umeenda likizo” katika kipindi cha maambukizi ya corona

    Aug 15, 2020 06:09

    Takwimu zinaonesha kuwa kesi za visa vya uhalifu, katika nchi iliyoathiriwa sana na kiwango cha juu cha jinai na uhalifu ya Afrika Kusini, zimepungua sana katika kipindi cha miezi mitatu ya kwanza ya utekelezaji wa sheria kali za kupambana na maambukizi ya virusi vya corona nchini humo.

  • Mawaziri 2 wa Afrika Kusini walioambukizwa Covid-19 walazwa hospitalini

    Mawaziri 2 wa Afrika Kusini walioambukizwa Covid-19 walazwa hospitalini

    Jul 21, 2020 22:02

    Mawaziri wawili wa Afrika Kusini wamelazwa hospitalini siku chache baada ya kubainika kuwa wameambukizwa ugonjwa wa Covid-19 (corona).

  • Afrika Kusini yaweka rekodi mpya baada ya watu zaidi ya 200 kufa kwa corona jana

    Afrika Kusini yaweka rekodi mpya baada ya watu zaidi ya 200 kufa kwa corona jana

    Jul 17, 2020 03:34

    Afrika Kusini ambayo inaonekana kuwa kitovu cha maambukizi ya virusi vya corona barani Afrika kwa sasa imeweka rekodi mpya, baada ya watu zaidi ya 200 kupoteza maisha kwa ugonjwa wa Covid-19 ndani ya masaa 24 jana Alkhamisi.

  • Watu watano Afrika Kusini wauawa katika malumbano ya makundi hasimu kanisani

    Watu watano Afrika Kusini wauawa katika malumbano ya makundi hasimu kanisani

    Jul 12, 2020 08:45

    Watu watano wameuawa katika hujuma dhidi ya kanisa nchini Afrika Kusini kusini mwa mji wa Johannesburg. Katika tukio hilo la Jumamosi, washambuliaji hao wenye silaha pia waliwachukua mateka watu kadhaa ambao wamenusuriwa katika oparesheni ya polisi.

  • Afrika Kusini yatangaza, Waislamu wa nchi hiyo hawatashiriki katika ibada ya Hija, Saudia inachunguza hali ya mambo

    Afrika Kusini yatangaza, Waislamu wa nchi hiyo hawatashiriki katika ibada ya Hija, Saudia inachunguza hali ya mambo

    Jun 16, 2020 06:47

    Maambukizi ya virusi vya corona yamewazuia Waislamu wa Afrika Kusini kushiriki katika ibada ya Hija mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS