-
Afrika Kusini yafungua shule licha ya hofu ya wazazi na walimu
Jun 08, 2020 07:48Wanafunzi nchini Afrika Kusini wameanza kurejea shuleni Jumatatu ya leo baada ya skuli hizo kufungwa kwa miezi kadhaa kutokana na janga la corona.
-
Wataalamu waonya; huenda corona ikaua 50,000 nchini Afrika Kusini
May 22, 2020 03:29Wanasayansi wametahadharidha kuwa, huenda vifo vya ugonjwa wa Covid-19 nchini Afrika Kusini vikapindukia 50,000 kufikia mwishoni mwa mwaka huu 2020.
-
Maadhimisho ya Siku ya Quds kufanyika kwenye mitandao ya kijamii Afrika Kusini
May 12, 2020 10:21Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds ya mwaka huu yanatazamiwa kufanyika katika ukumbi wa Instagram na mitandao mingine ya kijamii nchini Afrika Kusini, kutokana na janga la corona.
-
Afrika Kusini yaomba radhi kwa matamshi ya 'kufuru' ya polisi katika uvamizi wa msikiti
Apr 27, 2020 07:20Waziri wa Polisi wa Afrika Kusini, Bheki Cele ameomba radhi kwa maneno ya "kufuru" yaliyotolewa na polisi kwa Waislamu waliokuwa wakitekeleza ibada ya Swala wakati polisi hao alipovamia msikiti wakitekeleza marufuku ya shughuli zote katika kipindi hiki cha maambukizi ya virusi vya corona.
-
Kesi za corona Afrika Kusini zapindukia 1,000, vifo vya kwanza vyaripotiwa nchini humo na Kenya
Mar 27, 2020 03:43Idadi ya watu waliothibitishwa kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona nchini Afrika Kusini imeongezeka na kupindukia watu 1000.
-
Afrika Kusini kujenga uzio katika mpaka wake na Zimbabwe
Mar 20, 2020 09:57Serikali ya Afrika Kusini imesema inajiandaa kujenga uzio wa kilomita 40 katika mpaka wa nchi hiyo na Zimbabwe, kwa lengo la kuzuia wahamiaji haramu kuingia nchini humo, na pia kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Corona nchini humo.
-
Walioambukizwa corona Kenya wafika 7, Afrika Kusini wafika 85
Mar 18, 2020 09:24Waathiriwa wa kirusi cha corona nchini Kenya wamefikia watu saba baada ya watu wengine watatu kuthibitishwa kuambukizwa kirusi hicho.
-
Corona yaingia Afrika Kusini, Rais Ramaphosa atoa kauli
Mar 05, 2020 22:56Afrika Kusini imekuwa nchi ya hivi punde ya chini ya jangwa la Sahara barani Afrika kuthibitisha kuwa na mtu anayeugua homa inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19).
-
Rais wa Sudan Kusini atekeleza takwa la upinzani, apunguza idadi ya majimbo
Feb 16, 2020 04:40Afrika Kusini imepongeza hatua ya Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ya kupunguza idadi ya majimbo nchini, moja ya matakwa makuu ya upinzani unaoongozwa na Riek Machar, kwa ajili ya kuundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa.
-
Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho afikishwa mahakama kwa kumuua mke wake wa kwanza
Feb 06, 2020 03:38Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho, Thomas Thabane alipandishwa kizimbana jana kwa tuhuma za kumuua mkwe wa kwanza wa kiongozi huyo siku mbili kabla ya mumewe hajababidhiwa ofisi mwaka 2017.