Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Afrika Kusini yafungua shule licha ya hofu ya wazazi na walimu

    Afrika Kusini yafungua shule licha ya hofu ya wazazi na walimu

    Jun 08, 2020 07:48

    Wanafunzi nchini Afrika Kusini wameanza kurejea shuleni Jumatatu ya leo baada ya skuli hizo kufungwa kwa miezi kadhaa kutokana na janga la corona.

  • Wataalamu waonya; huenda corona ikaua 50,000 nchini Afrika Kusini

    Wataalamu waonya; huenda corona ikaua 50,000 nchini Afrika Kusini

    May 22, 2020 03:29

    Wanasayansi wametahadharidha kuwa, huenda vifo vya ugonjwa wa Covid-19 nchini Afrika Kusini vikapindukia 50,000 kufikia mwishoni mwa mwaka huu 2020.

  • Maadhimisho ya Siku ya Quds kufanyika kwenye mitandao ya kijamii Afrika Kusini

    Maadhimisho ya Siku ya Quds kufanyika kwenye mitandao ya kijamii Afrika Kusini

    May 12, 2020 10:21

    Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds ya mwaka huu yanatazamiwa kufanyika katika ukumbi wa Instagram na mitandao mingine ya kijamii nchini Afrika Kusini, kutokana na janga la corona.

  • Afrika Kusini yaomba radhi kwa matamshi ya 'kufuru' ya polisi katika uvamizi wa msikiti

    Afrika Kusini yaomba radhi kwa matamshi ya 'kufuru' ya polisi katika uvamizi wa msikiti

    Apr 27, 2020 07:20

    Waziri wa Polisi wa Afrika Kusini, Bheki Cele ameomba radhi kwa maneno ya "kufuru" yaliyotolewa na polisi kwa Waislamu waliokuwa wakitekeleza ibada ya Swala wakati polisi hao alipovamia msikiti wakitekeleza marufuku ya shughuli zote katika kipindi hiki cha maambukizi ya virusi vya corona.

  • Kesi za corona Afrika Kusini zapindukia 1,000, vifo vya kwanza vyaripotiwa nchini humo na Kenya

    Kesi za corona Afrika Kusini zapindukia 1,000, vifo vya kwanza vyaripotiwa nchini humo na Kenya

    Mar 27, 2020 03:43

    Idadi ya watu waliothibitishwa kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona nchini Afrika Kusini imeongezeka na kupindukia watu 1000.

  • Afrika Kusini kujenga uzio katika mpaka wake na Zimbabwe

    Afrika Kusini kujenga uzio katika mpaka wake na Zimbabwe

    Mar 20, 2020 09:57

    Serikali ya Afrika Kusini imesema inajiandaa kujenga uzio wa kilomita 40 katika mpaka wa nchi hiyo na Zimbabwe, kwa lengo la kuzuia wahamiaji haramu kuingia nchini humo, na pia kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Corona nchini humo.

  • Walioambukizwa corona Kenya wafika 7, Afrika Kusini wafika 85

    Walioambukizwa corona Kenya wafika 7, Afrika Kusini wafika 85

    Mar 18, 2020 09:24

    Waathiriwa wa kirusi cha corona nchini Kenya wamefikia watu saba baada ya watu wengine watatu kuthibitishwa kuambukizwa kirusi hicho.

  • Corona yaingia Afrika Kusini, Rais Ramaphosa atoa kauli

    Corona yaingia Afrika Kusini, Rais Ramaphosa atoa kauli

    Mar 05, 2020 22:56

    Afrika Kusini imekuwa nchi ya hivi punde ya chini ya jangwa la Sahara barani Afrika kuthibitisha kuwa na mtu anayeugua homa inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19).

  • Rais wa Sudan Kusini atekeleza takwa la upinzani, apunguza idadi ya majimbo

    Rais wa Sudan Kusini atekeleza takwa la upinzani, apunguza idadi ya majimbo

    Feb 16, 2020 04:40

    Afrika Kusini imepongeza hatua ya Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ya kupunguza idadi ya majimbo nchini, moja ya matakwa makuu ya upinzani unaoongozwa na Riek Machar, kwa ajili ya kuundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa.

  • Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho afikishwa mahakama kwa kumuua mke wake wa kwanza

    Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho afikishwa mahakama kwa kumuua mke wake wa kwanza

    Feb 06, 2020 03:38

    Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho, Thomas Thabane alipandishwa kizimbana jana kwa tuhuma za kumuua mkwe wa kwanza wa kiongozi huyo siku mbili kabla ya mumewe hajababidhiwa ofisi mwaka 2017.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS