Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Mawaziri 2 wa Afrika Kusini walioambukizwa Covid-19 walazwa hospitalini

    Mawaziri 2 wa Afrika Kusini walioambukizwa Covid-19 walazwa hospitalini

    Jul 21, 2020 22:02

    Mawaziri wawili wa Afrika Kusini wamelazwa hospitalini siku chache baada ya kubainika kuwa wameambukizwa ugonjwa wa Covid-19 (corona).

  • Afrika Kusini yaweka rekodi mpya baada ya watu zaidi ya 200 kufa kwa corona jana

    Afrika Kusini yaweka rekodi mpya baada ya watu zaidi ya 200 kufa kwa corona jana

    Jul 17, 2020 03:34

    Afrika Kusini ambayo inaonekana kuwa kitovu cha maambukizi ya virusi vya corona barani Afrika kwa sasa imeweka rekodi mpya, baada ya watu zaidi ya 200 kupoteza maisha kwa ugonjwa wa Covid-19 ndani ya masaa 24 jana Alkhamisi.

  • Watu watano Afrika Kusini wauawa katika malumbano ya makundi hasimu kanisani

    Watu watano Afrika Kusini wauawa katika malumbano ya makundi hasimu kanisani

    Jul 12, 2020 08:45

    Watu watano wameuawa katika hujuma dhidi ya kanisa nchini Afrika Kusini kusini mwa mji wa Johannesburg. Katika tukio hilo la Jumamosi, washambuliaji hao wenye silaha pia waliwachukua mateka watu kadhaa ambao wamenusuriwa katika oparesheni ya polisi.

  • Afrika Kusini yatangaza, Waislamu wa nchi hiyo hawatashiriki katika ibada ya Hija, Saudia inachunguza hali ya mambo

    Afrika Kusini yatangaza, Waislamu wa nchi hiyo hawatashiriki katika ibada ya Hija, Saudia inachunguza hali ya mambo

    Jun 16, 2020 06:47

    Maambukizi ya virusi vya corona yamewazuia Waislamu wa Afrika Kusini kushiriki katika ibada ya Hija mwaka huu.

  • Afrika Kusini yafungua shule licha ya hofu ya wazazi na walimu

    Afrika Kusini yafungua shule licha ya hofu ya wazazi na walimu

    Jun 08, 2020 07:48

    Wanafunzi nchini Afrika Kusini wameanza kurejea shuleni Jumatatu ya leo baada ya skuli hizo kufungwa kwa miezi kadhaa kutokana na janga la corona.

  • Wataalamu waonya; huenda corona ikaua 50,000 nchini Afrika Kusini

    Wataalamu waonya; huenda corona ikaua 50,000 nchini Afrika Kusini

    May 22, 2020 03:29

    Wanasayansi wametahadharidha kuwa, huenda vifo vya ugonjwa wa Covid-19 nchini Afrika Kusini vikapindukia 50,000 kufikia mwishoni mwa mwaka huu 2020.

  • Maadhimisho ya Siku ya Quds kufanyika kwenye mitandao ya kijamii Afrika Kusini

    Maadhimisho ya Siku ya Quds kufanyika kwenye mitandao ya kijamii Afrika Kusini

    May 12, 2020 10:21

    Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds ya mwaka huu yanatazamiwa kufanyika katika ukumbi wa Instagram na mitandao mingine ya kijamii nchini Afrika Kusini, kutokana na janga la corona.

  • Afrika Kusini yaomba radhi kwa matamshi ya 'kufuru' ya polisi katika uvamizi wa msikiti

    Afrika Kusini yaomba radhi kwa matamshi ya 'kufuru' ya polisi katika uvamizi wa msikiti

    Apr 27, 2020 07:20

    Waziri wa Polisi wa Afrika Kusini, Bheki Cele ameomba radhi kwa maneno ya "kufuru" yaliyotolewa na polisi kwa Waislamu waliokuwa wakitekeleza ibada ya Swala wakati polisi hao alipovamia msikiti wakitekeleza marufuku ya shughuli zote katika kipindi hiki cha maambukizi ya virusi vya corona.

  • Kesi za corona Afrika Kusini zapindukia 1,000, vifo vya kwanza vyaripotiwa nchini humo na Kenya

    Kesi za corona Afrika Kusini zapindukia 1,000, vifo vya kwanza vyaripotiwa nchini humo na Kenya

    Mar 27, 2020 03:43

    Idadi ya watu waliothibitishwa kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona nchini Afrika Kusini imeongezeka na kupindukia watu 1000.

  • Afrika Kusini kujenga uzio katika mpaka wake na Zimbabwe

    Afrika Kusini kujenga uzio katika mpaka wake na Zimbabwe

    Mar 20, 2020 09:57

    Serikali ya Afrika Kusini imesema inajiandaa kujenga uzio wa kilomita 40 katika mpaka wa nchi hiyo na Zimbabwe, kwa lengo la kuzuia wahamiaji haramu kuingia nchini humo, na pia kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Corona nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS