Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Mahakama ya Afrika Kusini yatoa waranti ya kukamatwa Jacob Zuma

    Mahakama ya Afrika Kusini yatoa waranti ya kukamatwa Jacob Zuma

    Feb 04, 2020 21:43

    Mahakama nchini Afrika Kusini imetoa waranti ya kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo Jacob Zuma anayeandamwa na kesi ya ufisadi katika mauzo ya silaha zilizokuwa na thamani ya dola bilioni mbili.

  • Wananchi wa Afrika Kusini wamuomboleza na kumuenzi shahidi Qassim Soleimani

    Wananchi wa Afrika Kusini wamuomboleza na kumuenzi shahidi Qassim Soleimani

    Jan 11, 2020 10:14

    Shakhsia wa kisiasa, kiutamaduni na Waislamu nchini Afrika Kusini wamemkumbuka, kumuenzi na kumuomboleza Luteni Jenerali Qassim Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (SEPAH).

  • ANC yailaani Marekani kwa kumuua Lt. Jen. Qassem Soleimani

    ANC yailaani Marekani kwa kumuua Lt. Jen. Qassem Soleimani

    Jan 07, 2020 00:58

    Chama tawala cha ANC cha Afrika Kusini kimetoa taarifa na kulaani hujuma ya Jeshi la Marekani ambayo ilipelekea kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Qods cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC)

  • Afrika Kusini yasitisha uuzaji silaha kwa Saudia, UAE

    Afrika Kusini yasitisha uuzaji silaha kwa Saudia, UAE

    Nov 23, 2019 08:27

    Afrika Kusini imetangaza kuwa inasitisha uuzaji wa silaha zake kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) baada ya kubainika kuwa tawala hizo mbili zinawakabidhi wanamgambo wa Yemen baadhi ya silaha hizo na hivyo kukiuka mapatano ambayo yanazuia silaha zilizonunuliwa kutoka Afrika Kusini kufikia pande za tatu.

  • Wakimbizi 180 watiwa mbaroni nchini Afrika Kusini

    Wakimbizi 180 watiwa mbaroni nchini Afrika Kusini

    Nov 17, 2019 07:56

    Polisi wa Afrika Kusini wamewatia nguvu zaidi ya wakimbizi 180 wa nchi za kigeni baada ya kufanya maandamano ya kulalamikia hali yao mbaya.

  • Thales yakata rufaa katika kesi ya ufisadi ya Zuma huko Afrika Kusini

    Thales yakata rufaa katika kesi ya ufisadi ya Zuma huko Afrika Kusini

    Nov 05, 2019 10:41

    Kampuni ya kuuza silaha ya Thales ya Ufaransa imetangza kuwa, itaitaka Mahakama ya Juu ya Afrika Kusini ruhusa ya kukata rufaa ya kupinga hukumu iliyotolewa mwezi uliopita wa Oktoba iliyokataa kusitishwa kabisa kesi ya kula rushwa inayomkabili rais wa zamani wan chi hiyo, Jacob Zuma.

  • Larijani: Iran imeandaa mazingira kwa ajili ya Afrika Kusini kuwekeza nchini

    Larijani: Iran imeandaa mazingira kwa ajili ya Afrika Kusini kuwekeza nchini

    Oct 22, 2019 00:38

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema mchakato wa kuandaa mazingira kwa ajili ya Afrika Kusini kuwekeza hapa nchini umekamilika na kusisitiza kwamba, uhusiano wa pande mbili unahitaji kupigwa jeki katika ushirikiano wa kiuchumi.

  • Zarif: Ulaya imeshindwa kutekeleza majukumu yake ndani ya JCPOA

    Zarif: Ulaya imeshindwa kutekeleza majukumu yake ndani ya JCPOA

    Oct 16, 2019 22:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Ulaya imeshindwa kutekeleza majukumu yake ndani ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na iwapo pande husika katika makubaliano hayo hazitayatekeleza, Iran itachukua hatua za dharura za kupunguza utekelezaji wa mapatano hayo ya nyuklia.

  • UN: Watu 1,500 wakimbia mauaji na hujuma dhidi ya wageni Afrika Kusini

    UN: Watu 1,500 wakimbia mauaji na hujuma dhidi ya wageni Afrika Kusini

    Sep 21, 2019 02:48

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa raia wa kigeni zaidi ya 1,500 wanaoishi Afrika Kusini wamekimbia makazi yao kwa kuhofia mashambulizi yanayowalenga wageni hususan raia wa nchi za Kiafrika wanaoishi nchini humo.

  • Ramaphosa atangaza mpango wa kuwalinda wanawake wa Afrika Kusini

    Ramaphosa atangaza mpango wa kuwalinda wanawake wa Afrika Kusini

    Sep 19, 2019 21:57

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza sababu zilizomfanya aitishe kikao maalumu cha Bunge akisisitiza kuwa, mgogoro wa kuteswa na kunyanyaswa kupindukia wanawake nchini humo ndiko kulikomlazimisha aitishe kikao hicho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS