Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Ramaphosa aziomba radhi nchi zilizoathirika na chuki dhidi ya wageni nchini Afrika Kusini

    Ramaphosa aziomba radhi nchi zilizoathirika na chuki dhidi ya wageni nchini Afrika Kusini

    Sep 18, 2019 03:19

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametuma wajumbe katika nchi kadhaa za Kiafrika ambazo raia wake waliathirika zaidi na hujuma na mashambulio ya chuki dhidi ya raia wa kigeni kutoka Afrika akiziomba radhi serikali na wananchi wa nchi hizo.

  • Waafrika Kusini wajiunga na wageni katika maandamano ya kulaani 'xenophobia'

    Waafrika Kusini wajiunga na wageni katika maandamano ya kulaani 'xenophobia'

    Sep 15, 2019 02:50

    Wananchi wazalendo wa Afrika Kusini wamejiunga na raia wa kigeni wanaoishi na kufanya kazi nchini humo, katika maandamano ya kulaani ghasia na mauaji yanayowalenga raia wa kigeni hususan Waafrika wanaoishi nchini humo.

  • Polisi Afrika Kusini: Kiwango cha mauaji nchini kinatisha

    Polisi Afrika Kusini: Kiwango cha mauaji nchini kinatisha

    Sep 12, 2019 22:07

    Polisi nchini Afrika Kusini imeeleza wasiwasi wake kutokana na kukithiri kwa kiwango cha mauaji ya kiholela nchini humo.

  • Mamia ya raia wa Nigeria warejea nyumbani kutoka Afrika Kusini, Xenophobia yaendela kuchoche ghasia

    Mamia ya raia wa Nigeria warejea nyumbani kutoka Afrika Kusini, Xenophobia yaendela kuchoche ghasia

    Sep 12, 2019 02:31

    Mamia ya raia wa Nigeria waondoka nchini Afrika Kusini na kureje nchini kwao wiki moja baada ya kushadidi ghasia na mauaji yanayowalenga raia wa kigeni hususan Waafrika wanaoishi nchini humo.

  • Mamia ya raia wa Nigeria wanaoishi Afrika Kusini kurejeshwa nyumbani

    Mamia ya raia wa Nigeria wanaoishi Afrika Kusini kurejeshwa nyumbani

    Sep 10, 2019 03:11

    Serikali ya Nigeria inatazamiwa kuanza kuwarejesha nyumbani mamia ya raia wake wanaoishi nchini Afrika Kusini, kufuatia wimbi la ghasia na mashambulizi yaliowalenga wageni katika nchi hizo mbili.

  • Nigeria kumrudisha nyumbani balozi wake baada ya Afrika Kusini kufunga balozi zake nchini Nigeria

    Nigeria kumrudisha nyumbani balozi wake baada ya Afrika Kusini kufunga balozi zake nchini Nigeria

    Sep 05, 2019 21:58

    Mgogoro wa kidiplomasia umezuka baina ya Afrika Kusini na Nigeria baada ya magenge ya watu kushambulia wageni huko Afrika Kusini, na matokeo yake wananchi wa Nigeria nao kushambulia vituo vya biashara vinavyomilikiwa na raia wa Afrika Kusini nchini mwao.

  • Afrika Kusini yakiri:

    Afrika Kusini yakiri: "Afrophobia" inahusika katika hujuma zinazowalenga raia wa kigeni

    Sep 05, 2019 08:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuwa tabia ya kujichukulia sheria mkononi dhdi ya raia wa nchi nyingine za Afrika wanaoishi nchini humo ni moja kati ya sababu za mashambulizi na hujuma zinazowalenga wafanyabiashara wa nchi za kigeni katika miji mbalimbali ya nchi hiyo.

  • Wanigeria wenye hasira walipiza kisasi, wapora maduka ya Waafrika Kusini

    Wanigeria wenye hasira walipiza kisasi, wapora maduka ya Waafrika Kusini

    Sep 05, 2019 00:09

    Mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni huko Johannesburg, Afrika Kusini yameibua hasira kote barani Afrika ambapo maduka yanayomilikiwa na mashirika ya Afrika Kusini yameporwa nchini Nigeria.

  • Watanzania waandamana mbele ya ubalozi wa A. Kusini, wataka ndege ya ATCL irejeshwe

    Watanzania waandamana mbele ya ubalozi wa A. Kusini, wataka ndege ya ATCL irejeshwe

    Aug 28, 2019 07:52

    Umati wa watu umeandamana leo nje ya ofisi za ubalozi wa Afrika Kusini jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, wakishinikiza mahakama ya nchi hiyo iachie huru ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) inayoshikiliwa nchini Afrika Kusini kufuatia kesi ya fidia inayomhusu mtu ajulikanaye kama Hermanus Steyn wa nchi hiyo na Serikali ya Tanzania.

  • Afrika Kusini yapiga marufuku bendera ya zama za utawala wa ubaguzi wa rangi

    Afrika Kusini yapiga marufuku bendera ya zama za utawala wa ubaguzi wa rangi

    Aug 21, 2019 20:42

    Mahakama moja nchini Afrika Kusini imetoa hukumu ya kupiga marufuku kuonyeshwa hadharani bendera ya utawala uliopinduliwa wa ubaguzi wa rangi (apartheid) nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS