Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Iran yasisitiza kuimarisha uhusiano wa pande zote na Afrika Kusini

    Iran yasisitiza kuimarisha uhusiano wa pande zote na Afrika Kusini

    Aug 15, 2019 02:46

    Akizungumza na Balozi iwa Afrika Kusini mjini Tehran, Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inasisitiza kuimarisha uhusiano wa pande zote na nchi za bara la Afrika na khususan Afrika Kusini.

  • Chama tawala nchini Afrika Kusini chalaani mashambulio dhidi ya polisi mjini Johannesburg

    Chama tawala nchini Afrika Kusini chalaani mashambulio dhidi ya polisi mjini Johannesburg

    Aug 04, 2019 03:19

    Viongozi wa chama tawala nchini Afrika Kusini cha ANC wamelaani mashambulio ya wafanyabiashara ndogo ndogo wa kigeni dhidi ya polisi katika mji wa Johannesburg.

  • Jacob Zuma: Tuhuma za ufisadi wa fedha ni njama iliiyopangwa dhidi yangu

    Jacob Zuma: Tuhuma za ufisadi wa fedha ni njama iliiyopangwa dhidi yangu

    Jul 15, 2019 23:11

    Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma amesema kuwa vikao vya kuchunguza tuhuma za ufisadi dhidi yake, ni njama iliyopangwa dhidi yake.

  • Afrika Kusini: Hatutaruhusu uchumi wetu udumazwe na wivu wa Marekani

    Afrika Kusini: Hatutaruhusu uchumi wetu udumazwe na wivu wa Marekani

    Jul 06, 2019 08:25

    Rais wa Afrika Kusini amesema nchi hiyo kamwe haitaruhusu uchumi wake uvurugwe na kurejeshwa nyuma kutokana na vita vya kibiashara vya Marekani, vilivyochechewa na wivu.

  • Madada wa Afrika Kusini waishtaki Saudia UN kwa kuwazuilia na kuwatesa

    Madada wa Afrika Kusini waishtaki Saudia UN kwa kuwazuilia na kuwatesa

    Jun 26, 2019 02:16

    Madada wawili wa Afrika Kusini ambao wamewahi kufungwa jela bila kufunguliwa mashitaka nchini Saudi Arabia wamewasilisha malalamiko yao kwa Umoja wa Mataifa.

  • Kuapishwa rais wa Afrika Kusini na mustakbali wa nchi hiyo

    Kuapishwa rais wa Afrika Kusini na mustakbali wa nchi hiyo

    May 27, 2019 02:39

    Baada ya kupita karibu siku 20 tokea kufanyika uchaguzi mkuu wa bunge nchini Afrika Kusini ambapo chama tawala cha African National Congress ANC kiliibuka mshindi, bunge hilo hatimaye limeidhinisha na kumuapisha Cyril Ramaphosa, rais wa sasa wa nchi hiyo kuhudumia kipindi kingine cha miaka mitano.

  • Wabunge Afrika Kusini wamchagua tena Ramaphosa kuwa rais

    Wabunge Afrika Kusini wamchagua tena Ramaphosa kuwa rais

    May 22, 2019 23:59

    Wabunge Afrika Kusini wamemchagua tena Cyril Ramaphosa kuwa rais wa nchi hiyo wiki mbili baada ya chama tawala ANC kushinda katika uchaguzi wa bunge.

  • Chama tawala chashinda uchaguzi wa Afrika Kusini

    Chama tawala chashinda uchaguzi wa Afrika Kusini

    May 13, 2019 00:29

    Baada ya kura za uchaguzi wa Bunge la Afrika Kusini kumalizika kuhesabiwa, chama tawala cha African National Congress ANC, kwa mara nyingine kimefanikiwa kupata wingi wa vita katika bunge hilo.

  • Chama cha ANC chasherehekea ushindi Afrika Kusini

    Chama cha ANC chasherehekea ushindi Afrika Kusini

    May 12, 2019 23:03

    Maelefu ya wafuasi wa chama tawala nchini Afrika Kusini cha ANC Jumapili walimiminika katika mitaa ya mji wa Johannesburg na maeneo mengine wakisherehekea ushindi wa bunge uliofanyika wiki hii ambapo chama hicho kimetangazwa kuwa mshindi licha ya umashuhuri wake kupungua.

  • Afrika Kusini yaendesha uchaguzi wa rais na bunge, mamilioni waelekea kwenye masanduku ya kura

    Afrika Kusini yaendesha uchaguzi wa rais na bunge, mamilioni waelekea kwenye masanduku ya kura

    May 08, 2019 03:33

    Wananchi wa Afrika Kusini zaidi ya milioni 26 wameajiandikisha kushiriki uchaguzi huo wa leo ambapo kwa kiasi kikubwa chama tawala cha ANC kinatazamiwa kuibuka na ushindi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS