-
Larijani: Iran imeandaa mazingira kwa ajili ya Afrika Kusini kuwekeza nchini
Oct 22, 2019 00:38Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema mchakato wa kuandaa mazingira kwa ajili ya Afrika Kusini kuwekeza hapa nchini umekamilika na kusisitiza kwamba, uhusiano wa pande mbili unahitaji kupigwa jeki katika ushirikiano wa kiuchumi.
-
Zarif: Ulaya imeshindwa kutekeleza majukumu yake ndani ya JCPOA
Oct 16, 2019 22:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Ulaya imeshindwa kutekeleza majukumu yake ndani ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na iwapo pande husika katika makubaliano hayo hazitayatekeleza, Iran itachukua hatua za dharura za kupunguza utekelezaji wa mapatano hayo ya nyuklia.
-
UN: Watu 1,500 wakimbia mauaji na hujuma dhidi ya wageni Afrika Kusini
Sep 21, 2019 02:48Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa raia wa kigeni zaidi ya 1,500 wanaoishi Afrika Kusini wamekimbia makazi yao kwa kuhofia mashambulizi yanayowalenga wageni hususan raia wa nchi za Kiafrika wanaoishi nchini humo.
-
Ramaphosa atangaza mpango wa kuwalinda wanawake wa Afrika Kusini
Sep 19, 2019 21:57Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza sababu zilizomfanya aitishe kikao maalumu cha Bunge akisisitiza kuwa, mgogoro wa kuteswa na kunyanyaswa kupindukia wanawake nchini humo ndiko kulikomlazimisha aitishe kikao hicho.
-
Ramaphosa aziomba radhi nchi zilizoathirika na chuki dhidi ya wageni nchini Afrika Kusini
Sep 18, 2019 03:19Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametuma wajumbe katika nchi kadhaa za Kiafrika ambazo raia wake waliathirika zaidi na hujuma na mashambulio ya chuki dhidi ya raia wa kigeni kutoka Afrika akiziomba radhi serikali na wananchi wa nchi hizo.
-
Waafrika Kusini wajiunga na wageni katika maandamano ya kulaani 'xenophobia'
Sep 15, 2019 02:50Wananchi wazalendo wa Afrika Kusini wamejiunga na raia wa kigeni wanaoishi na kufanya kazi nchini humo, katika maandamano ya kulaani ghasia na mauaji yanayowalenga raia wa kigeni hususan Waafrika wanaoishi nchini humo.
-
Polisi Afrika Kusini: Kiwango cha mauaji nchini kinatisha
Sep 12, 2019 22:07Polisi nchini Afrika Kusini imeeleza wasiwasi wake kutokana na kukithiri kwa kiwango cha mauaji ya kiholela nchini humo.
-
Mamia ya raia wa Nigeria warejea nyumbani kutoka Afrika Kusini, Xenophobia yaendela kuchoche ghasia
Sep 12, 2019 02:31Mamia ya raia wa Nigeria waondoka nchini Afrika Kusini na kureje nchini kwao wiki moja baada ya kushadidi ghasia na mauaji yanayowalenga raia wa kigeni hususan Waafrika wanaoishi nchini humo.
-
Mamia ya raia wa Nigeria wanaoishi Afrika Kusini kurejeshwa nyumbani
Sep 10, 2019 03:11Serikali ya Nigeria inatazamiwa kuanza kuwarejesha nyumbani mamia ya raia wake wanaoishi nchini Afrika Kusini, kufuatia wimbi la ghasia na mashambulizi yaliowalenga wageni katika nchi hizo mbili.
-
Nigeria kumrudisha nyumbani balozi wake baada ya Afrika Kusini kufunga balozi zake nchini Nigeria
Sep 05, 2019 21:58Mgogoro wa kidiplomasia umezuka baina ya Afrika Kusini na Nigeria baada ya magenge ya watu kushambulia wageni huko Afrika Kusini, na matokeo yake wananchi wa Nigeria nao kushambulia vituo vya biashara vinavyomilikiwa na raia wa Afrika Kusini nchini mwao.