Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Shirika moja la Afrika Kusini: Hatufungwi na mipaka yoyote katika kushirikiana na Iran

    Shirika moja la Afrika Kusini: Hatufungwi na mipaka yoyote katika kushirikiana na Iran

    May 03, 2019 09:52

    Mkurugenzi mmoja wa mauzo wa shirika la JDA la Afrika Kusini amesema kuwa, licha ya kuweko vikwazo dhidi ya Tehran, lakini hakuna mipaka yoyote inayokwamisha ushirikiano wa moja kwa moja baina yake na mashirika mbalimbali ya Iran.

  • HRW yataka kukamatwa walioshambuliwa wahamiaji nchini Afrika Kusini

    HRW yataka kukamatwa walioshambuliwa wahamiaji nchini Afrika Kusini

    Apr 16, 2019 09:47

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa mwito wa kufunguliwa mashitaka watu waliohusika na mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini.

  • Rais mteule wa Afrika Kusini kuapishwa Mei 25, Siku ya Afrika

    Rais mteule wa Afrika Kusini kuapishwa Mei 25, Siku ya Afrika

    Apr 14, 2019 10:16

    Ofisi ya Rais nchini Afrika Kusini imetangaza kuwa sherehe za kuapishwa kwa rais mteule zitafanyika Mei 25 ambayo huadhimsihwa duniani kote kama Siku ya Afrika.

  • UNHCR: Watu 6 wameuawa katika hujuma dhidi ya wahajiri Afrika Kusini

    UNHCR: Watu 6 wameuawa katika hujuma dhidi ya wahajiri Afrika Kusini

    Apr 01, 2019 10:39

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limeeleza wasiwasi wake kutokana na wimbi la kushambuliwa raia wa kigeni nchini Afrika Kusini.

  • Afrika Kusini yaitisha mkutano na mabalozi wa Afrika baada wageni kushambuliwa

    Afrika Kusini yaitisha mkutano na mabalozi wa Afrika baada wageni kushambuliwa

    Mar 31, 2019 10:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Lindiwe Sisulu anatarajiwa kuitisha mkutano wa dharura na mabalozi wa Afrika kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya raia wa kigeni mjini Durban na Polokwane.

  • Afrika Kusini yalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Afrika Kusini yalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Mar 27, 2019 03:10

    Serikali ya Afrika Kusini imelaani kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Rais wa Afrika Kusini asema haiwezekani kuzuia tena mageuzi ya ardhi

    Rais wa Afrika Kusini asema haiwezekani kuzuia tena mageuzi ya ardhi

    Mar 24, 2019 10:26

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema wazungu wanaomiliki vipande vikubwa vya ardhi hawawezi tena kuendelea akupinga sera za marekebisho ya ardhi ambazo serikali yake imeazimia kutekeleza.

  • Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika

    Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika

    Mar 14, 2019 21:48

    Makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Malawi.

  • Afrika Kusini kupunguza uhusiano wake na Israel, yawaunga mkono Wapalestina

    Afrika Kusini kupunguza uhusiano wake na Israel, yawaunga mkono Wapalestina

    Mar 09, 2019 11:45

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema kuwa nchi yake inapanga kupunguza hadhi ya ubalozi wake katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina kutokana na ukiukaji wa haki za Wapalestina unaofanywa na utawala haramu wa Israel.

  • Kamati ya Pamoja ya Iran na Afrika Kusini; kikao kwa ajili ya mashauriano ya kisiasa na kiuchumi

    Kamati ya Pamoja ya Iran na Afrika Kusini; kikao kwa ajili ya mashauriano ya kisiasa na kiuchumi

    Mar 09, 2019 08:17

    Kamati ya Tisa ya Kisiasa kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini imefanya kikao nchini Afrika Kusini na kuhudhuriwa na Sayyid Abbas Araqchi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Bi Reginah Mhaule, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Anayehusika na Masuala ya Ushirikiano na Uhusiano wa Kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS