-
WHO yaeleza wasiwasi wake kuhusu mgogoro wa afya nchini Yemen
Feb 24, 2017 03:47Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu uhaba mkubwa wa dawa, nishati na wahudumu wa masuala ya afya nchini Yemen.
-
UN: Yemen imerejea muongo mmoja nyuma katika sekta ya afya
Feb 01, 2017 04:22Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema sekta ya afya ya Yemen imesambaratika kwa kiwango cha kutia wasi wasi kutokana na hujuma za kila siku za jeshi la utawala wa Aal-Saud.
-
Familia: Afya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky sio nzuri
Jul 25, 2016 08:01Familia ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, mwanachuoni na kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeeleza juu ya wasi wasi wake kuhusu hali ya kiafya ya msomi huyo wa Kiislamu.
-
Zaidi ya watu 50 wafariki dunia kwa homa ya manjano nchini Angola
Feb 15, 2016 15:25Mkuu wa idara ya taifa ya afya nchini Angola amesema kuwa, watu 51 wamefariki dunia katika kipindi cha chini ya miezi mwili katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika kutokana na homa ya manjano.