-
Polisi Kenya yazima shambulio jingine la al Shabaab
Jan 21, 2019 13:04Polisi ya Kenya imezima shambulio la wanamgambo wanaoshukiwa kuwa ni wa kundi la kigaidi la al Shabaab katika kampuni moja ya ujenzi inayomilikiwa na Wachina magharibi mwa nchi hiyo. Hayo yamesemwa leo na afisa mmoja wa Kenya siku chache baada ya kundi hilo la kigaidi kuuwa watu 21 jijini Nairobi.
-
Jeshi la Ethiopia lajiandaa kuadhibu vikali magaidi wa Al Shabab baada ya askari wake 50 kuuawa
Jan 20, 2019 10:35Jeshi la Ethiopia limetangaza kuwa linajiandaa kufanya mashambulizi makubwa dhidi ya kundi la kigaidi la Al Shabab, baada ya kundi hilo kushambulia msafara wa magari ya jeshi la Ethiopia karibu na mji wa Burhakaba wa Somalia.
-
Magaidi wasambaratishwa Dusit Hotel, majeshi ya Kenya yapongezwa
Jan 16, 2019 12:47Baada ya Rais Uhuru Kenya wa Kenya kulihutubia Taifa na kutangaza kumalizika shambulizi la kigaidi na utekaji nyara uliodumu kwa muda wa masaa 19 katika Hoteli ya Dusit jijini Nairobi, viongozi mbalimbali wakiwemo wanasiasa wamejitokeza kuvipongeza vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo kwa kufanikiwa kuwasambaratisha magaidi hao.
-
Jeshi la Kenya laua magaidi 7 wa al-Shabaab Somalia
Jan 02, 2019 03:52Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limetangaza kufanikiwa kuwaangamiza magaidi saba wa kundi la al-Shabaab na kuwajeruhi wengine kadhaa katika operesheni ya kusini mwa Somalia.
-
Mratibu wa mashambulizi yaliyoua makumi ya watu Mogadishu auawa Somalia
Dec 24, 2018 10:17Mratibu wa mashambulizi ya kigaidi yaliyoua makumi ya raia na kujeruhi wengine wasiopungua 40 mwaka 2017 mjini Mogadishu ameuawa leo nchini Somalia.
-
Jeshi la Somalia na AU zafanya operesheni ya pamoja dhidi ya al Shabab
Dec 17, 2018 11:52Mkuu wa mipango ya opereshenei ya kikosi cha Umoja wa Afrika cha kulinda amani Somalia (AMISOM) amesema kuwa, askari wa kikosi hicho na wale wa serikali wanaendesha kwa pamoja operesheni ya kupambana na magaidi wa al Shabab kusini mwa Somalia.
-
Amisom: Hatujahusika na kukamatwa kamanda wa zamani wa al-Shabaab
Dec 15, 2018 04:07Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia, Amisom kimekanusha madai kuwa kilihusika katika operesheni ya kumtia mbaroni aliyekuwa Naibu Kamanda wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab na pia msemaji wa zamani wa genge hilo la ukufurishaji, Mukhtar Robow Abu Mansur.
-
Nchi za Afrika zataka msaada wa UN kuituliza Somalia
Dec 14, 2018 03:19Nchi wanachama wa Umoja wa Afrika zimesema zitaomba uungaji mkono wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuiwezesha Tume ya Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kutuliza hali ya Somalia.
-
Ghasia Somalia baada ya kamanda wa zamani wa al-Shabaab kukamatwa
Dec 13, 2018 10:27Watu wanne wameuawa nchini Somalia katika ghasia zilizoibuka baada ya kukamatwa aliyekuwa Naibu Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab na pia msemaji wa zamani wa genge hilo la ukufurishaji, Mukhtar Robow Abu Mansur.
-
Al-Shabaab ya Somalia yaua 5 kwa tuhuma za ujasusi
Oct 10, 2018 11:19Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la Somalia lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwamiminia risasi watu watano kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa niaba ya vyombo vya kiintelejensia vya Marekani, Uingereza na Somalia.