Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Aliyekuwa kamanda wa al-Shabaab anyimwa idhini ya kuwania urais Somalia

    Aliyekuwa kamanda wa al-Shabaab anyimwa idhini ya kuwania urais Somalia

    Oct 06, 2018 00:20

    Serikali ya Mogadishu imemnyima kibali cha kugombea urais wa jimbo moja la Somalia, aliyekuwa Naibu Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab na pia msemaji wa zamani wa genge hilo la ukufurishaji, Mukhtar Robow Abu Mansur, ambaye mwaka jana alijisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Magaidi 87 wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia

    Magaidi 87 wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia

    Jul 24, 2018 11:41

    Serikali ya Somalia imetangaza kuwa imewaangamiza magaidi 87 wa kundi la al Shabab katika mapigano yaliyotokea jana kusini mwa nchi hiyo.

  • Kundi la al Shabab lashambulia kambi ya jeshi na kuuwa wanajeshi 27 Somalia

    Kundi la al Shabab lashambulia kambi ya jeshi na kuuwa wanajeshi 27 Somalia

    Jul 23, 2018 03:38

    Kundi la wanamgambo wa al Shabab lenye makao yake nchini Somalia limetangaza hii leo kuwa limeshambulia kambi moja ya jeshi kwa kulipua bomu lililotegwa garini huko kusini mwa nchi hiyo na kuuwa wanajeshi 27.

  • Al-Shabaab yateka mji muhimu katika eneo la Puntland, Somalia

    Al-Shabaab yateka mji muhimu katika eneo la Puntland, Somalia

    Jul 20, 2018 09:48

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab la Somalia limeteka mji mdogo lakini wa kistratajia ulioko karibu na eneo la milima ya Galgala, kusini mwa jiji la Bosaso katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland.

  • Magaidi 7 wa Al Shabab, akiwemo Mtanzania, waangamizwa katika mapigano Somalia

    Magaidi 7 wa Al Shabab, akiwemo Mtanzania, waangamizwa katika mapigano Somalia

    Jun 26, 2018 03:14

    Jeshi la Somalia limewaangamiza magaidi saba wa kundi la kigaidi la Al Shabab katika mapigano yaliyojiri katika eneo la Lower Juba kusini mwa nchi hiyo.

  • Magaidi wa al Shabab wajeruhi watu saba kusini mwa Somalia

    Magaidi wa al Shabab wajeruhi watu saba kusini mwa Somalia

    Jun 10, 2018 03:25

    Afisa mmoja wa jeshi la Somalia ametangaza habari ya kujeruhiwa watu saba katika shambulio la kujiripua kwa mabomu lililofanywa na gaidi mmoja wa al Shabab katika kambi moja ya kijeshi iliyoko kusini mwa nchi hiyo, usiku wa kuamkia leo.

  • Askari 5 wa Marekani wauawa na kujeruhiwa na al-Shabaab Somalia

    Askari 5 wa Marekani wauawa na kujeruhiwa na al-Shabaab Somalia

    Jun 09, 2018 03:35

    Askari mmoja wa Marekani ameuawa huku wengine wanne wakijeruhiwa katika operesheni ya pamoja ya vikosi vya US na askari wa Umoja wa Afrika dhidi ya ngome ya wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab nchini Somalia.

  • Al-Shabaab yateka mji wa kistratajia Somalia na kufunga viwanja 30 vya michezo

    Al-Shabaab yateka mji wa kistratajia Somalia na kufunga viwanja 30 vya michezo

    Jun 08, 2018 03:28

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab limeteka mji moja wa kiistratajia karibu na eneo la Baidoa sambamba na kufunga viwanja zadi ya 30 vya michezo katika mji kuu Mogadishu.

  • Kundi la kigaidi la al-Shabaab lateka mji wa Moqokori, ladai kuua askari 47 wa Somalia

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab lateka mji wa Moqokori, ladai kuua askari 47 wa Somalia

    Jun 02, 2018 23:08

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeuteka mji mmoja ulioko katikati mwa Somalia, mwezi mmoja baada ya vikosi vya usalama kuondoka mjini hapo.

  • Msafara wa magari ya jeshi washambuliwa Somalia, 12 waripotiwa kuuawa

    Msafara wa magari ya jeshi washambuliwa Somalia, 12 waripotiwa kuuawa

    May 22, 2018 09:15

    Kwa akali askari 12 wa Jeshi la Somalia wameripotiwa kuuawa katika shambulio la bomu lililolenga msafara wa magari ya jeshi hilo katika wilaya ya Wanaweyn, yapata kilomita 30 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS