Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Askari wa Uganda waua magaidi 22 wa Al-Shabaab nchini Somalia

    Askari wa Uganda waua magaidi 22 wa Al-Shabaab nchini Somalia

    Apr 02, 2018 03:09

    Jeshi la Uganda UPDF limesema askari wake walio katika Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Somalia, AMISOM, wamewaua magaidi 22 wa kundi la al-Shabab.

  • Al Shabab yashambulia kambi ya Umoja wa Afrika karibu na Mogadishu

    Al Shabab yashambulia kambi ya Umoja wa Afrika karibu na Mogadishu

    Apr 01, 2018 12:54

    Wanamgambo wa kundi la al Shabab leo wamepigana kwa masaa kadhaa na wanajeshi wa Umoja wa Afrika baada ya kulipua gari walilotega bomu ndani yake nje ya kambi ya wanajeshi hao.

  • Askari 5 wa AU miongoni mwa watu 16 waliouawa katika hujuma za al-Shabaab Somalia

    Askari 5 wa AU miongoni mwa watu 16 waliouawa katika hujuma za al-Shabaab Somalia

    Mar 04, 2018 04:46

    Imerifiwa kuwa, wanajeshi watano wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom ni miongoni mwa watu 16 waliouawa katika mashambulizi ya hivi karibuni ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab karibu na Mogadishu.

  • Al-Shabaab yaua askari polisi 5 wa Kenya kaunti ya Mandera

    Al-Shabaab yaua askari polisi 5 wa Kenya kaunti ya Mandera

    Mar 02, 2018 04:24

    Askari polisi watano wa Kenya wameuawa na wengine watatu kujeruhiwa baada ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kushambulia kambi mbili za maafisa usalama katika mji wa Fino katika kaunti ya Mandera.

  • Amisom: Tumekomboa 80% ya maeneo yaliyokuwa chini ya al-Shabaab Somalia

    Amisom: Tumekomboa 80% ya maeneo yaliyokuwa chini ya al-Shabaab Somalia

    Mar 02, 2018 04:13

    Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom kimesema kimefanikiwa kukomboa asilimia 80 ya maeneo ambayo yalikuwa kwenye makucha ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab.

  • Serikali ya Kenya yaahidi kukomesha ugaidi unaovuruga elimu

    Serikali ya Kenya yaahidi kukomesha ugaidi unaovuruga elimu

    Feb 28, 2018 13:00

    Serikali ya Kenya imetangaza kuwa imebuni mpango ambao utahakikisha kwamba shughuli za masomo hazitaathiriwa katika maeneo ya kaskazini mashariki mwa nchi hiyo hususan katika Kaunti ya Wajir kutokana na mashambulizi ya kigaidi ya kundi la al Shabab.

  • UN yasema itaendelea kuunga mkono mapambano dhidi ya al-Shabaab Somalia

    UN yasema itaendelea kuunga mkono mapambano dhidi ya al-Shabaab Somalia

    Feb 25, 2018 11:59

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa sambamba na kulaani mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni yaliyoua makumi ya watu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, amesisitiza kuwa umoja huo utaendelea kuunga mkono jitihada za kulitokomeza kundi la kigaidi na la ukufurishaji la al-Shabaab.

  • Magaidi wanne watiwa mbaroni katikati ya Somalia

    Magaidi wanne watiwa mbaroni katikati ya Somalia

    Feb 08, 2018 00:29

    Jeshi la Somalia limetangaza habari ya kutiwa mbaroni magaidi wanne wa genge la wakufurishaji la al Shabab, katikati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Jeshi la Somalia laukomboa mji uliokuwa ukishikiliwa na Al Shabab

    Jeshi la Somalia laukomboa mji uliokuwa ukishikiliwa na Al Shabab

    Jan 20, 2018 01:08

    Jeshi la Somalia limeukomboa mji wa kusini wa Bar-Sanguni uliokuwa ukishikiliwa na kundia la magaidi wakufurishaji wa Al-Shabaab, na kuwaua wapiganaji saba wa kundi hilo, wakiwemo makamanda wake wanne waandamizi.

  • Makumi ya watoto waokolewa kutoka shule ya al-Shabaab Somalia

    Makumi ya watoto waokolewa kutoka shule ya al-Shabaab Somalia

    Jan 19, 2018 10:16

    Serikali ya Somalia imesema askari wa nchi hiyo wamevamia shule iliyokuwa ikiendeshwa na kundi la kigaidi la al-Shabaab na kuokoa makumi ya watoto toka kwenye makucha ya genge hilo la ukufurishaji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS