Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Human Rights Watch: Al Shabab inawalazimisha watoto wa Somalia kujiunga na kundi hilo

    Human Rights Watch: Al Shabab inawalazimisha watoto wa Somalia kujiunga na kundi hilo

    Jan 16, 2018 02:42

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa kundi la kigaidi la al Shabab nchini Somalia linawalazimisha wananchi kuwakabidhi watoto wao kwa kundi hilo.

  • Al-Shabaab yaua watu 5 kwa tuhuma za ujasusi Somalia

    Al-Shabaab yaua watu 5 kwa tuhuma za ujasusi Somalia

    Jan 03, 2018 23:04

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwamiminia risasi watu watano kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa niaba ya vyombo vya kiintelejensia vya Kenya, Somalia na Ethiopia.

  • Al-Shabaab yadai kuua askari 5 wa Amisom, Somalia

    Al-Shabaab yadai kuua askari 5 wa Amisom, Somalia

    Jan 01, 2018 00:51

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab linadai kwamba limeua askari watano wa Kikosi cha Askari wa Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Amisom katika mlipuko wa bomu uliotokea mjini Mogadishu jana Jumapili.

  • Al Shabab inawatumia wanawake kama majasusi katika eneo la Pwani Kenya

    Al Shabab inawatumia wanawake kama majasusi katika eneo la Pwani Kenya

    Dec 19, 2017 04:42

    Imebainika kuwa wanamgambo wa kundi la al Shabab lenye makao yake nchini Somalia wanatumia mbinu mpya kushambulia kambi za usalama katika maeneo yaliyoainishwa katika oparesheni ya usalama inayoendelea kufanywa na mawakala kadha wa usalama kwa jina la "Linda Boni" huko katika kaunti za Lamu, Tana River na Garissa.

  • Idadi ya waliopoteza maisha katika hujuma ya kigaidi Somalia Oktoba yafika 512

    Idadi ya waliopoteza maisha katika hujuma ya kigaidi Somalia Oktoba yafika 512

    Dec 02, 2017 00:45

    Watu 512 sasa wamebainika kupoteza maisha katika miripuko miwili ya mabomu iliyojiri katika mkuu wa Somalia, Mogadishu mwezi Oktoba, imesema kamati ya kuchunguza hujuma hiyo.

  • Al-Shabaab yadai kuua askari kadhaa wa Somalia, akiwemo kamanda

    Al-Shabaab yadai kuua askari kadhaa wa Somalia, akiwemo kamanda

    Dec 03, 2017 23:09

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) linadai kuwa limeua askari kadhaa wa Jeshi la Ulinzi la Somalia SNA akiwemo kamanda wa ngazi za juu wa jeshi hilo.

  • Usafiri wasitishwa Mandera, Kenya baada ya hujuma ya magaidi wa Al Shabab

    Usafiri wasitishwa Mandera, Kenya baada ya hujuma ya magaidi wa Al Shabab

    Nov 07, 2017 10:54

    Hujuma ya kundi la kigaidi la Al Shabab katika Kaunti ya Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya imepelekea usafiri kusitishwa kwa muda wa siku tatu.

  • Magaidi wa al Shabab wateka mji wa Rassadi kusini mwa Somalia

    Magaidi wa al Shabab wateka mji wa Rassadi kusini mwa Somalia

    Nov 01, 2017 04:51

    Kundi la kigaidi la al Shabab limeuteka mji wa Rassadi ulioko kusini mwa Somalia baada ya askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika kuondoka katika eneo hilo.

  • Ethiopia kuendelea kushirikiana na Somalia katika vita dhidi ya al-Shabaab

    Ethiopia kuendelea kushirikiana na Somalia katika vita dhidi ya al-Shabaab

    Oct 25, 2017 00:33

    Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn amesema nchi yake itaendelea kushirikiana na Somalia katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab.

  • Watu saba wauawa katika hujuma ya kigaidi karibu na Mogadishu, Somalia

    Watu saba wauawa katika hujuma ya kigaidi karibu na Mogadishu, Somalia

    Oct 22, 2017 10:25

    Watu wasiopungua saba, wengi wakiwa wanawake wakulima, wameuawa karibu na mji mkuu wa Somalia kufuatia hujuma ya kigaidi huku mji huo ukiwa bado unaomboleza shambulizi la hivi karibuni lililoua mamia ya watu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS