Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Rais wa Somalia aapa kupambana na magaidi wa al Shabab baada ya hujuma ya kigaidi

    Rais wa Somalia aapa kupambana na magaidi wa al Shabab baada ya hujuma ya kigaidi

    Oct 19, 2017 04:13

    Rais Mohammad Abdullahi Mohamed wa Somalia ameapa kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab kufatia hujuma mbaya zaidi ya kigaidi kuwahi kushuhudiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu ambapo watu zaidi ya 300 waliuawa.

  • Kamanda wa zamani al-Shabaab alaani mashambulizi ya Mogadishu

    Kamanda wa zamani al-Shabaab alaani mashambulizi ya Mogadishu

    Oct 17, 2017 23:20

    Aliyekuwa Naibu Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab na pia msemaji wa zamani wa genge hilo Mukhtar Robow amelaani vikali shambulizii la kigaidi lililoua watu zaidi ya 300 katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu Jumamosi iliyopita.

  • Mauaji ya watu 276 katika shambulio la kigaidi nchini Somalia

    Mauaji ya watu 276 katika shambulio la kigaidi nchini Somalia

    Oct 15, 2017 23:05

    Mripuko wa lori lililotegwa bomu ndani yake uliua watu wasiopungua 276 mjini Mogadishu, Somalia siku ya Jumamosi jioni.

  • Uturuki yafungua kituo chake kikubwa cha kijeshi nchini Somalia

    Uturuki yafungua kituo chake kikubwa cha kijeshi nchini Somalia

    Oct 01, 2017 03:13

    Uturuki imefungua kituo chake kikubwa zaidi cha kijeshi barani Afrika ambacho kiko katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • 15 wauawa katika hujuma ya al Shabab dhidi ya kituo cha kijeshi Somalia

    15 wauawa katika hujuma ya al Shabab dhidi ya kituo cha kijeshi Somalia

    Sep 29, 2017 10:26

    Magaidi wakufurishaji wa al-Shabab wameshambulia na kuteka kituo kimoja cha kijeshi karibu na mji mkuu wa Somalia, Mogadishu ambapo wanajeshi 15 Wasomali wameuawa katika tukio hilo.

  • Utawala mbovu, chanzo cha vijana kuwa na misimamo mikali Afrika

    Utawala mbovu, chanzo cha vijana kuwa na misimamo mikali Afrika

    Sep 08, 2017 02:22

    Vijana wa Afrika wanajiunga na makundi yenye misimamo mikali kutokana na sababu kadhaa ikiwemo kupuuzwa, kunyimwa fursa pamoja na ukosefu wa utawala bora.

  • Kundi la al-Shabaab la Somalia ladai kuua makumi ya askari Kismayu

    Kundi la al-Shabaab la Somalia ladai kuua makumi ya askari Kismayu

    Sep 03, 2017 03:04

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limedai kuwa limeua makumi ya askari wa Somalia karibu na mji wa bandari wa Kismayu mapema leo Jumapili.

  • Shambulio la bomu la al-Shabaab siku ya Iddi laua 12 Puntland, Somalia

    Shambulio la bomu la al-Shabaab siku ya Iddi laua 12 Puntland, Somalia

    Sep 02, 2017 03:05

    Watu 12 wameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na genge la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.

  • Wanajeshi wa Marekani waua watoto 3 katika hujuma Somalia

    Wanajeshi wa Marekani waua watoto 3 katika hujuma Somalia

    Aug 26, 2017 03:21

    Raia wasiopungua 10, wakiwemo watoto watatu, wameuawa katika hujuma ya pamoja na Jeshi la Marekani na Jeshi la Somalia kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Watu 10 wauawa na wanamgambo wanaoungwa mkono na Marekani kusini mwa Somalia

    Watu 10 wauawa na wanamgambo wanaoungwa mkono na Marekani kusini mwa Somalia

    Aug 25, 2017 23:25

    Serikali ya Somalia imetangaza habari ya kuuawa watu 10 ambao ni raia wa kawaida katika shambulizi la wabeba silaha kijiji cha Barire, jimbo la Lower Shebelle, kusini mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS