Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Al-Shabaab yawakata vichwa watu 3 kaunti ya Lamu, Kenya

    Al-Shabaab yawakata vichwa watu 3 kaunti ya Lamu, Kenya

    Aug 18, 2017 03:40

    Kwa akali watu watatu wameuawa kwa kukatwa vichwa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabab katika kaunti ya Lamu, pwani ya Kenya.

  • Afisa wa zamani wa ngazi ya juu wa al Shabab awataka wanamgambo wa kundi hilo wajiengue

    Afisa wa zamani wa ngazi ya juu wa al Shabab awataka wanamgambo wa kundi hilo wajiengue

    Aug 15, 2017 23:32

    Kaimu Mkuu wa zamani wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al Shabab lenye makao yake huko Somalia amewataka wanamgambo wa kundi hilo wajiengue kundini kufuatia hatua ya kiongozi huyo kujiunga na serikali ya Mogadishu hivi karibuni.

  • Serikali ya Somalia yayaonya mashirika na taasisi za fedha zinazoisaidia al Shabab

    Serikali ya Somalia yayaonya mashirika na taasisi za fedha zinazoisaidia al Shabab

    Aug 14, 2017 02:45

    Serikali ya Somalia imayaonya mashirika na taasisi za mawasiliano na za kifedha zinazohusika na usafirishaji wa fedha kwa ajili ya kundi la kigaidi na kiwahabi la al Shabab nchini humo.

  • Kamanda wa zamani al-Shabaab ajiunga na serikali ya Somalia

    Kamanda wa zamani al-Shabaab ajiunga na serikali ya Somalia

    Aug 13, 2017 23:06

    Aliyekuwa Naibu Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab na pia msemaji wa zamani wa genge hilo la ukufurishaji Mukhtar Robow Abu Mansur, amejisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • KDF yashambulia ngome za al-Shabaab karibu na Afmadow, Somalia

    KDF yashambulia ngome za al-Shabaab karibu na Afmadow, Somalia

    Aug 10, 2017 10:15

    Ndege za Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF zimeshambulia ngome za kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo la Weelmarow karibu na wilaya ya Afmadow, eneo la Lower Juba, kusini mwa Somalia.

  • Magaidi wa al-Shabaab wateka na kudhibiti mji kusini mwa Somalia

    Magaidi wa al-Shabaab wateka na kudhibiti mji kusini mwa Somalia

    Aug 05, 2017 03:38

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la Somalia limetangaza kuwa limeuteka na kuudhibiti mji wa Leego, ulioko kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Al-Shabaab washadidisha hujuma kabla ya uchaguzi, waua watu 4 Kenya

    Al-Shabaab washadidisha hujuma kabla ya uchaguzi, waua watu 4 Kenya

    Aug 03, 2017 02:52

    Huku uchaguzi mkuu wa Agosti 8 ukizidi kujongea nchini Kenya, kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab linaonekana kushadidisha mashambulizi yake dhidi ya raia na maafisa usalama wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Kiongozi wa mashambulizi ya ash-Shabab aangamizwa Somalia

    Kiongozi wa mashambulizi ya ash-Shabab aangamizwa Somalia

    Aug 01, 2017 08:47

    Wizara ya Habari ya Somalia imetangaza kuwa kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab anayehusika na suala la kupanga shambulizi ya kundi hilo ameangamizwa la jeshi la nchi hiyo.

  • Kuharibiwa kituo cha as-Shabaab kusini mwa Somalia

    Kuharibiwa kituo cha as-Shabaab kusini mwa Somalia

    Jul 22, 2017 02:23

    Jeshi la Somalia katika operesheni ya pamoja na kikosi cha walinda amani cha Umoja wa Afrika AMISOM limefanikiwa kuharibu kituo kimoja kikubwa cha magaidi wa as-Shabaab kusini mwa nchi hiyo.

  • Wapiganaji 18 wa Al Shabab wauawa kaskazini mwa Somalia

    Wapiganaji 18 wa Al Shabab wauawa kaskazini mwa Somalia

    Jul 10, 2017 01:53

    Wapiganaji wasiopungua 18 wa kundi la kigaidi la al Shabab wameuawa katika operesheni iliyofanywa na jeshi la Somalia katika maeneo ya kaskazini mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS