Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Magaidi wachinja watu 9 Lamu, Kenya

    Magaidi wachinja watu 9 Lamu, Kenya

    Jul 08, 2017 12:14

    Watu wanaodhaniwa kuwa magaidi wa kundi la la Shabab wamewachinja kwa kuwakata vichwa watu 9 katika shambulizi lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika kijiji kimoja cha Kaunti ya Lamu huko pwani mwa Kenya.

  • Al Shabab waua Polisi 2 katika hujuma huko Lamu, Kenya

    Al Shabab waua Polisi 2 katika hujuma huko Lamu, Kenya

    Jul 05, 2017 10:08

    Maafisa wawili wa polisi nchini Kenya wameuawa baada ya magaidi wanaoaminika kuwa wa kundi la Al Shabab kushambulia kituo cha polisi katika eneo la Pandanguo katika Kaunti ya Lamu.

  • Mgawanyiko waripotiwa katika safu za al Shabab, Somalia

    Mgawanyiko waripotiwa katika safu za al Shabab, Somalia

    Jul 02, 2017 01:43

    Ripoti zinasema kuwa, kumetokea hitilafu na mgawanyiko katika kundi la kigaidi la al Shabab la Somalia baada ya kusambaa habari kwamba, msemaji wa kundi hilo amejitenga na kwamba anaungwa mkono na jeshi la serikali ya Mogadishu.

  • Wanachama saba wa ash-Shabab watiwa kitanzi nchini Somalia

    Wanachama saba wa ash-Shabab watiwa kitanzi nchini Somalia

    Jul 01, 2017 08:46

    Viongozi wa kijeshi katika eneo la Puntland, kaskazini mwa Somalia, wamewanyonga wanachama saba wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab.

  • Wanamgambo sita wa al-Shabab wauawa na jeshi la Somalia

    Wanamgambo sita wa al-Shabab wauawa na jeshi la Somalia

    Jun 30, 2017 09:41

    Vikosi vya usalama vya Somalia vimewaua wapiganaji sita wa kundi la kigaid na kitakfiri la al-Shabab na kujeruhiwa makumi ya wengine.

  • Watu watano wauawa aktika hujuma ya kigaidi Mandera, Kenya

    Watu watano wauawa aktika hujuma ya kigaidi Mandera, Kenya

    Jun 23, 2017 09:54

    Watu watano wanaripotiwa kuuawa nchini Kenya katika mji wa El Wak kaunti ya Mandera eneo la kaskazini mashariki kufuatia hujuma ya kundi la kigaidi la al-Shabab.

  • Watu 15 wauawa katika hujuma ya al-Shabab mjini Mogadishu, Somalia

    Watu 15 wauawa katika hujuma ya al-Shabab mjini Mogadishu, Somalia

    Jun 20, 2017 09:09

    Watu wasiopungua 15 wameuawa katika hujuma ya kigaidi huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia huku kundi la kigaidi la al-Shabab likitangaza kuhusika na shambulizi hilo.

  • Askari wa Somalia aliyemuua waziri ahukumiwa kifo

    Askari wa Somalia aliyemuua waziri ahukumiwa kifo

    Jun 19, 2017 11:00

    Askari wa serikali ya Somalia amehukumiwa kifo kwa kumuua waziri wa serikali ya Mogadishu baada ya kudhania kuwa ni mmoja kati ya wanachama wa kundi ya kigaidi la al Shabab.

  • Magaidi wa Al Shabab waua watu 17 Mogadishu

    Magaidi wa Al Shabab waua watu 17 Mogadishu

    Jun 15, 2017 02:44

    Magaidi wa kundi la Al Shabab nchini Somalia wamewaua watu 17 katika hoteli moja katika mji mkuu Mogadishu.

  • Kamanda mwandamizi wa al-Shabaab ajisalimisha kwa serikali Somalia

    Kamanda mwandamizi wa al-Shabaab ajisalimisha kwa serikali Somalia

    Jun 01, 2017 09:52

    Kamanda mmoja mwandamizi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab amejisalimisha kwa jeshi la taifa la Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS