-
Askari wa Somalia, AMISOM waendelea kuwafurusha magaidi wa Al Shabab
May 28, 2017 09:22Askari wa Jeshi la kitaifa la Somalia (SNA) wakisaidiwa na askari wa Vikosi vya Kulinda Amani vya Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM Jumamosi walikomboa maeneo kadhaa kusini mwa nchi hiyo.
-
Kenya kutumia jeshi kutegua mabomu ya barabarani
May 26, 2017 03:24Kenya imetuma wanajeshi katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kwenda kutegua mabomu yaliyotegwa barabarani baada ya watu 20 wakiwemo maafisa 11 kuuawa katika miripuko ya barabarani kwenye eneo hilo.
-
Magaidi wa Al Shabab waua afisa wa utawala Kenya
May 16, 2017 09:43Watu wanaoaminika kuwa magaidi wa kundi la kigaidi la Al Shabab kutoka Somalia wameingia katika eneo la mpakani kaskazini mashariki mwa Kenya na kumuua afisa mmoja wa utawala nchini humo.
-
Somalia: Tumemuua kiongozi wa al-Shabaab, Shabelle ya Chini
May 07, 2017 09:00Siku mbili baada ya wanajeshi watatu wa Marekani kuuawa na kujeruhiwa na genge la al-Shabaab katika eneo la Barii, yapata maili 40 magharibi mwa mji wa Mogadishu, serikali ya Somalia imesema imefanikiwa kumuangamiza kamanda mkuu wa kundi hilo la kigaidi na kitakfiri katika eneo la Shabelle ya Chini.
-
Magaidi wa Al-Shabab wamuua afisa mwandamizi wa usalama wa taifa Somalia
Apr 27, 2017 11:30Watu wenye silaha wanaoaminika kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi la Al-Shabab wamemuua kwa kumpiga risasi afisa mwandamizi wa usalama wa taifa wa serikali ya Somalia mbele ya nyumba yake katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.
-
Jeshi la Kenya: Tumewaua magaidi kadhaa wa ash-Shabab katika shambulizi la anga
Apr 25, 2017 10:45Jeshi la Kenya limetangaza kutekeleza shambulizi la anga katika ngome ya kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab la Somalia katika eneo la Jado nchini humo na kusababisha magaidi kadhaa kuuawa.
-
Jeshi la Somalia laua magaidi katika uwanja wa ndege Mogadishu
Apr 16, 2017 11:26Jeshi la Somalia limewaua magaidi wawili walioonekana wakivurumisha mizinga kuelekea uwanja wa kimataifa wa ndege wa Mogadishu mapema Jumapili.
-
Magaidi watano wa Al-Shabab waliohukumiwa kifo Puntland, Somalia wanyongwa
Apr 08, 2017 22:10Eneo la Somalia la Puntland lenye mamlaka yake ya ndani limetekeleza adhabu ya kifo kwa watu watano wanaoaminika kuwa wanamgambo wenye misimamo ya kufurutu mpaka waliohusika na mauaji ya maafisa watatu waandamizi wa serikali ya eneo hilo.
-
Watu 8 wauawa, katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia
Mar 13, 2017 10:56Polisi ya Mogadishu, mji mkuu wa Somalia imetangaza habari ya kuuawa watu wanane katika mripuko wa bomu uliotokea leo mjini humo.
-
Sababu ya kuendelea hujuma za kigaidi Somalia
Feb 21, 2017 04:21Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa Somalia Michael Keating amelaani hujuma ya kigaidi iliyojiri Jumapili katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu huku wengi wakihoji sababu ya kuendelea hujuma za kigaidi nchini humo.