Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Askari wa Somalia, AMISOM waendelea kuwafurusha magaidi wa Al Shabab

    Askari wa Somalia, AMISOM waendelea kuwafurusha magaidi wa Al Shabab

    May 28, 2017 09:22

    Askari wa Jeshi la kitaifa la Somalia (SNA) wakisaidiwa na askari wa Vikosi vya Kulinda Amani vya Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM Jumamosi walikomboa maeneo kadhaa kusini mwa nchi hiyo.

  • Kenya kutumia jeshi kutegua mabomu ya barabarani

    Kenya kutumia jeshi kutegua mabomu ya barabarani

    May 26, 2017 03:24

    Kenya imetuma wanajeshi katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kwenda kutegua mabomu yaliyotegwa barabarani baada ya watu 20 wakiwemo maafisa 11 kuuawa katika miripuko ya barabarani kwenye eneo hilo.

  • Magaidi wa Al Shabab waua afisa wa utawala Kenya

    Magaidi wa Al Shabab waua afisa wa utawala Kenya

    May 16, 2017 09:43

    Watu wanaoaminika kuwa magaidi wa kundi la kigaidi la Al Shabab kutoka Somalia wameingia katika eneo la mpakani kaskazini mashariki mwa Kenya na kumuua afisa mmoja wa utawala nchini humo.

  • Somalia: Tumemuua kiongozi wa al-Shabaab, Shabelle ya Chini

    Somalia: Tumemuua kiongozi wa al-Shabaab, Shabelle ya Chini

    May 07, 2017 09:00

    Siku mbili baada ya wanajeshi watatu wa Marekani kuuawa na kujeruhiwa na genge la al-Shabaab katika eneo la Barii, yapata maili 40 magharibi mwa mji wa Mogadishu, serikali ya Somalia imesema imefanikiwa kumuangamiza kamanda mkuu wa kundi hilo la kigaidi na kitakfiri katika eneo la Shabelle ya Chini.

  • Magaidi wa Al-Shabab wamuua afisa mwandamizi wa usalama wa taifa Somalia

    Magaidi wa Al-Shabab wamuua afisa mwandamizi wa usalama wa taifa Somalia

    Apr 27, 2017 11:30

    Watu wenye silaha wanaoaminika kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi la Al-Shabab wamemuua kwa kumpiga risasi afisa mwandamizi wa usalama wa taifa wa serikali ya Somalia mbele ya nyumba yake katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.

  • Jeshi la Kenya: Tumewaua magaidi kadhaa wa ash-Shabab katika shambulizi la anga

    Jeshi la Kenya: Tumewaua magaidi kadhaa wa ash-Shabab katika shambulizi la anga

    Apr 25, 2017 10:45

    Jeshi la Kenya limetangaza kutekeleza shambulizi la anga katika ngome ya kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab la Somalia katika eneo la Jado nchini humo na kusababisha magaidi kadhaa kuuawa.

  • Jeshi la Somalia laua magaidi katika uwanja wa ndege Mogadishu

    Jeshi la Somalia laua magaidi katika uwanja wa ndege Mogadishu

    Apr 16, 2017 11:26

    Jeshi la Somalia limewaua magaidi wawili walioonekana wakivurumisha mizinga kuelekea uwanja wa kimataifa wa ndege wa Mogadishu mapema Jumapili.

  • Magaidi watano wa Al-Shabab waliohukumiwa kifo Puntland, Somalia wanyongwa

    Magaidi watano wa Al-Shabab waliohukumiwa kifo Puntland, Somalia wanyongwa

    Apr 08, 2017 22:10

    Eneo la Somalia la Puntland lenye mamlaka yake ya ndani limetekeleza adhabu ya kifo kwa watu watano wanaoaminika kuwa wanamgambo wenye misimamo ya kufurutu mpaka waliohusika na mauaji ya maafisa watatu waandamizi wa serikali ya eneo hilo.

  • Watu 8 wauawa,  katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Watu 8 wauawa, katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Mar 13, 2017 10:56

    Polisi ya Mogadishu, mji mkuu wa Somalia imetangaza habari ya kuuawa watu wanane katika mripuko wa bomu uliotokea leo mjini humo.

  • Sababu ya kuendelea hujuma za kigaidi Somalia

    Sababu ya kuendelea hujuma za kigaidi Somalia

    Feb 21, 2017 04:21

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa Somalia Michael Keating amelaani hujuma ya kigaidi iliyojiri Jumapili katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu huku wengi wakihoji sababu ya kuendelea hujuma za kigaidi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS