-
Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la kigaidi nchini Somalia
Feb 20, 2017 04:34Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia, amelaani shambulizi la kigaidi katika soko moja la Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo.
-
39 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu
Feb 19, 2017 10:41Watu wasiopungua 39 wameuawa leo Jumapili wakati gari lililokuwa limesheheni mabomu liliporipuka katika makutano ya barabara katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Ash-Shabab washambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu
Feb 08, 2017 04:17Kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab nchini Somalia, limeshambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' wa Kenya na US hadharani
Feb 06, 2017 04:17Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwakata vichwa watu wanne wanaoshukiwa kuwa majasusi, kusini mwa Somalia.
-
Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia
Jan 30, 2017 11:43Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa vyombo vya usalama nchini Somalia ametangaza habari ya kuuliwa mmoja wa viongozi wa kundi la kigaidi la wanamgambo wa al Shabab nchini humo.
-
Al-Shabaab yadai kuua askari 66 wa KDF Somalia, Kenya yakanusha
Jan 27, 2017 10:16Jeshi la Kenya limekadhibisha madai yaliyotolewa na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kwamba limeua makumi ya wanajeshi wa KDF katika kambi ya jeshi iliyoko katika mji wa Kulbiyow, kusini mwa Somalia.
-
Wahanga wa shambulizi la ash-Shabab Somalia waongezeka na kufikia 83
Jan 26, 2017 04:03Watu 83 wameripotiwa kuuawa katika shambulizi la kigaidi lililotekelezwa jana na wanachama wa genge la ash-Shabab lenye mafungamano na kundi la al-Qaidah huko Somalia.
-
Magaidi wa al-Shabab washambulia Lower Shebelle, Somalia 5 wauawa
Jan 24, 2017 11:27Wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabab nchini Somalia wamefanya shambulizi eneo la Lower Shebelle na kuua watu watano.
-
Pigo jingine kwa wanamgambo wa al Shabab nchini Somalia
Jan 21, 2017 10:19Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, wanamgambo wasiopungua sita wa al Shabab wameuawa katika operesheni ya jeshi hilo kusini mwa nchi hiyo.
-
Watu wanne wauawa katika hujuma pacha mjini Mogadishu
Jan 08, 2017 10:34Watu wasiopungua wanne wameuawa na wengine 17 kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya kigaidi yaliyoulenga mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.