Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la kigaidi nchini Somalia

    Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la kigaidi nchini Somalia

    Feb 20, 2017 04:34

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia, amelaani shambulizi la kigaidi katika soko moja la Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • 39 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu

    39 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu

    Feb 19, 2017 10:41

    Watu wasiopungua 39 wameuawa leo Jumapili wakati gari lililokuwa limesheheni mabomu liliporipuka katika makutano ya barabara katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Ash-Shabab washambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu

    Ash-Shabab washambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu

    Feb 08, 2017 04:17

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab nchini Somalia, limeshambulia uwanja wa ndege wa Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' wa Kenya na US hadharani

    Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' wa Kenya na US hadharani

    Feb 06, 2017 04:17

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwakata vichwa watu wanne wanaoshukiwa kuwa majasusi, kusini mwa Somalia.

  • Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia

    Kiongozi wa kundi la al Shabab auawa Somalia

    Jan 30, 2017 11:43

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa vyombo vya usalama nchini Somalia ametangaza habari ya kuuliwa mmoja wa viongozi wa kundi la kigaidi la wanamgambo wa al Shabab nchini humo.

  • Al-Shabaab yadai kuua askari 66 wa KDF Somalia, Kenya yakanusha

    Al-Shabaab yadai kuua askari 66 wa KDF Somalia, Kenya yakanusha

    Jan 27, 2017 10:16

    Jeshi la Kenya limekadhibisha madai yaliyotolewa na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kwamba limeua makumi ya wanajeshi wa KDF katika kambi ya jeshi iliyoko katika mji wa Kulbiyow, kusini mwa Somalia.

  • Wahanga wa shambulizi la ash-Shabab Somalia waongezeka na kufikia 83

    Wahanga wa shambulizi la ash-Shabab Somalia waongezeka na kufikia 83

    Jan 26, 2017 04:03

    Watu 83 wameripotiwa kuuawa katika shambulizi la kigaidi lililotekelezwa jana na wanachama wa genge la ash-Shabab lenye mafungamano na kundi la al-Qaidah huko Somalia.

  • Magaidi wa al-Shabab washambulia Lower Shebelle, Somalia 5 wauawa

    Magaidi wa al-Shabab washambulia Lower Shebelle, Somalia 5 wauawa

    Jan 24, 2017 11:27

    Wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabab nchini Somalia wamefanya shambulizi eneo la Lower Shebelle na kuua watu watano.

  • Pigo jingine kwa wanamgambo wa al Shabab nchini Somalia

    Pigo jingine kwa wanamgambo wa al Shabab nchini Somalia

    Jan 21, 2017 10:19

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, wanamgambo wasiopungua sita wa al Shabab wameuawa katika operesheni ya jeshi hilo kusini mwa nchi hiyo.

  • Watu wanne wauawa katika hujuma pacha mjini Mogadishu

    Watu wanne wauawa katika hujuma pacha mjini Mogadishu

    Jan 08, 2017 10:34

    Watu wasiopungua wanne wameuawa na wengine 17 kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya kigaidi yaliyoulenga mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS