Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Umoja wa Afrika waanza kuchunguza chanzo cha kuanguka helikopta ya kikosi chake Somalia

    Umoja wa Afrika waanza kuchunguza chanzo cha kuanguka helikopta ya kikosi chake Somalia

    Feb 27, 2023 11:20

    Ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini Somalia umetangaza kuanza uchunguzi kuhusu sababu za ajali ya helikopta ya kikosi cha kulinda amani cha umoja huo iliyotokea nchini Somalia.

  • Askari wa jeshi la Kenya waua magaidi wa al-Shabab katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia

    Askari wa jeshi la Kenya waua magaidi wa al-Shabab katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia

    Feb 17, 2023 07:28

    Askari wa Jeshi la Ulinzi wa Kenya KDF wamewaua magaidi watatu wa kundi la ukufurishaji la Al-Shabaab la Somalia katika eneo la Sarira kwenye mpaka wa pamoja wa nchi hizo mbili.

  • Jeshi la Somalia latoa pigo jingine kwa al-Shabaab, laua 117 Mudug

    Jeshi la Somalia latoa pigo jingine kwa al-Shabaab, laua 117 Mudug

    Feb 13, 2023 02:34

    Idadi kubwa ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika eneo la Mudug jimboni Galmudug, katikati nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Mkutano wa kilele wa Somalia waahidi kuchukua

    Mkutano wa kilele wa Somalia waahidi kuchukua "hatua ya mwisho" ya kulimaliza kundi la Al-Shabaab

    Feb 02, 2023 07:23

    Viongozi wa Somalia na nchi jirani wameahidi katika mkutano wa kilele uliofanyika jana Jumatano katika mji mkuu Somalia, Mogadishu, "kuchukua hatua za mwisho" dhidi ya kundi la Al-Shabaab.

  • Mkutano wa kujadili vita dhidi ya Al-Shabaab wafanyika Somalia

    Mkutano wa kujadili vita dhidi ya Al-Shabaab wafanyika Somalia

    Feb 02, 2023 02:09

    Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia jana Jumatano alikuwa mwenyeji wa mkutano wa viongozi wa nchi kadhaa jirani uliofanyika kwa lengo la kujadili mikakati ya kikanda ya kupambana na wanamgambo wa kundi la al Shabaab lenye makao yake huko Somalia.

  • Jeshi la Somalia lakomboa mji wa kistratejia katika ngome ya al-Shabaab

    Jeshi la Somalia lakomboa mji wa kistratejia katika ngome ya al-Shabaab

    Jan 17, 2023 13:11

    Vikosi vya serikali ya Somalia vimefanikiwa kuukomboa mji wa kistratejia wa Harardhere, moja ya ngome za kundi la kigaidi la al-Shabaab karibu na Bahari Hindi.

  • Rais wa Somalia awataka raia wawafurushe 'kunguni' wa al-Shabaab

    Rais wa Somalia awataka raia wawafurushe 'kunguni' wa al-Shabaab

    Jan 14, 2023 03:49

    Rais wa Somalia ametoa mwito kwa raia wa nchi hiyo waunge mkono jitihada za vyombo vya usalama za kupambana na ugaidi kwa kuwatimua wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab aliowataja kuwa 'makunguni'.

  • Mashambulio ya kikatili ya Marekani yaongezeka nchini Somalia

    Mashambulio ya kikatili ya Marekani yaongezeka nchini Somalia

    Jan 10, 2023 02:34

    Tovuti moja ya nchini Marekani imetangaza habari ya kuongezeka mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Somalia wakati wa urais wa "Joe Biden" na mauaji ya raia katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Waliouawa katika mashambulio ya kigaidi Somalia wapindukia 30

    Waliouawa katika mashambulio ya kigaidi Somalia wapindukia 30

    Jan 05, 2023 07:06

    Idadi ya wahanga wa milipuko miwili ya mabomu katika mji wa Mahas katikati ya Somalia imeongezeka na kufikia watu 30.

  • Wavuvi wa Kiirani waliotekwa na al-Shabaab waachiwa huru baada ya miaka 8

    Wavuvi wa Kiirani waliotekwa na al-Shabaab waachiwa huru baada ya miaka 8

    Dec 25, 2022 10:33

    Wavuvi 14 Wairani waliokuwa wanashikiliwa mateka na wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab nchini Somalia wamewasili hapa nchini Iran baada ya kuachiwa huru.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS