-
Umoja wa Afrika waanza kuchunguza chanzo cha kuanguka helikopta ya kikosi chake Somalia
Feb 27, 2023 11:20Ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini Somalia umetangaza kuanza uchunguzi kuhusu sababu za ajali ya helikopta ya kikosi cha kulinda amani cha umoja huo iliyotokea nchini Somalia.
-
Askari wa jeshi la Kenya waua magaidi wa al-Shabab katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia
Feb 17, 2023 07:28Askari wa Jeshi la Ulinzi wa Kenya KDF wamewaua magaidi watatu wa kundi la ukufurishaji la Al-Shabaab la Somalia katika eneo la Sarira kwenye mpaka wa pamoja wa nchi hizo mbili.
-
Jeshi la Somalia latoa pigo jingine kwa al-Shabaab, laua 117 Mudug
Feb 13, 2023 02:34Idadi kubwa ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika eneo la Mudug jimboni Galmudug, katikati nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Mkutano wa kilele wa Somalia waahidi kuchukua "hatua ya mwisho" ya kulimaliza kundi la Al-Shabaab
Feb 02, 2023 07:23Viongozi wa Somalia na nchi jirani wameahidi katika mkutano wa kilele uliofanyika jana Jumatano katika mji mkuu Somalia, Mogadishu, "kuchukua hatua za mwisho" dhidi ya kundi la Al-Shabaab.
-
Mkutano wa kujadili vita dhidi ya Al-Shabaab wafanyika Somalia
Feb 02, 2023 02:09Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia jana Jumatano alikuwa mwenyeji wa mkutano wa viongozi wa nchi kadhaa jirani uliofanyika kwa lengo la kujadili mikakati ya kikanda ya kupambana na wanamgambo wa kundi la al Shabaab lenye makao yake huko Somalia.
-
Jeshi la Somalia lakomboa mji wa kistratejia katika ngome ya al-Shabaab
Jan 17, 2023 13:11Vikosi vya serikali ya Somalia vimefanikiwa kuukomboa mji wa kistratejia wa Harardhere, moja ya ngome za kundi la kigaidi la al-Shabaab karibu na Bahari Hindi.
-
Rais wa Somalia awataka raia wawafurushe 'kunguni' wa al-Shabaab
Jan 14, 2023 03:49Rais wa Somalia ametoa mwito kwa raia wa nchi hiyo waunge mkono jitihada za vyombo vya usalama za kupambana na ugaidi kwa kuwatimua wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab aliowataja kuwa 'makunguni'.
-
Mashambulio ya kikatili ya Marekani yaongezeka nchini Somalia
Jan 10, 2023 02:34Tovuti moja ya nchini Marekani imetangaza habari ya kuongezeka mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Somalia wakati wa urais wa "Joe Biden" na mauaji ya raia katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Waliouawa katika mashambulio ya kigaidi Somalia wapindukia 30
Jan 05, 2023 07:06Idadi ya wahanga wa milipuko miwili ya mabomu katika mji wa Mahas katikati ya Somalia imeongezeka na kufikia watu 30.
-
Wavuvi wa Kiirani waliotekwa na al-Shabaab waachiwa huru baada ya miaka 8
Dec 25, 2022 10:33Wavuvi 14 Wairani waliokuwa wanashikiliwa mateka na wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab nchini Somalia wamewasili hapa nchini Iran baada ya kuachiwa huru.