-
Kiongozi Muadhamu azuru Haram ya Imam Khomeini MA na maziara ya Mashahidi
Jan 31, 2022 08:04Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei mapema leo asubuhi amefanya ziara katika Haram toharifu ya Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu na maziara ya Mashahidi katika Makaburi ya Behesht Zahra SA kusini mwa Tehran.
-
Jumanne, Februari 2, 2021
Feb 02, 2021 02:58Leo Jumanne tarehe 19 Mfunguo Tisa Jamadithani 1442 Hijria mwafaka na tarehe Februari Pili 2021 Miladia.
-
Imam Khomeini, Kiongozi Kipenzi
Feb 01, 2021 05:48Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi popote pale mlipo. Karibuni katika mfululizo huu wa vipindi maalumu vinavyokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Alfajiri Kumi kuelekea kilele cha maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran.
-
Jumapili, Januari 31, 2021
Jan 31, 2021 02:53Leo ni Jumapili tarehe 17 Mfunguo Tisa Jamadithani 1442 Hijria mwafaka na tarehe 31 Januari 2021 Miladia.
-
Nuru ya Imani katika Mwamko wa Imam Khomeini MA
Feb 13, 2020 06:21Hamjambo wapenzi wasikilizake na karibuni kujiunga nami katika makala hii tuliyokutayarishieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ambapo leo tutaangazia namna fikra za Imam Khomeini MA, zilivyoweza kuenea na kuwavutia wasomi wengi duniani.
-
Hakim: Mapinduzi ya Kiislamu yaliibua mlingano mpya katika eneo
Feb 11, 2020 04:45Mwenyekiti wa Mrengo wa Kitaifa wa Hikmat nchini Iraq amesema, Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini MA yameweza kuvunja njama zote za maadui dhidi ya Iran katika kipindi cha miaka 40 iliyopita sambamba na kuibua mlingano mpya katika eneo la Asia Magharibi na dunia nzima kwa ujumla.
-
Rais Rouhani: Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani ni ugaidi dhidi ya taifa la Iran
Feb 10, 2020 15:02Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema vikwazo vya kidhalimu vya Marekani ni kitendo cha ugaidi dhidi ya taifa lote la Iran.
-
Mafanikio ya Iran katika uga wa sayansi na teknolojia baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 09, 2020 08:07Iran wiki hii inaadhimisha mwaka wa 41 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na katika kipindi cha miongo minne iliyopita, kati ya mafanikio makubwa ambayo yameweza kupatikana ni ustawi wa kasi katika uga wa sayansi na teknolojia.
-
Mapinduzi ya Kiislamu, mlinganiaji wa uadilifu na maendeleo
Feb 08, 2020 11:08Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo. Tunakutana tena katika mfululizo wa vipindi hivi maalumu vya Alfajiri Kumi ambacho ni kipindi cha tangu siku aliporejea Imam Khomeini kutoka uhamishoni hadi kupata ushindi Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini Iran
-
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na kufuata kigezo cha Qur'ani katika kupambana na Uistikbari
Feb 04, 2020 04:44Assalamu Alaykum mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Nakukaribisha kutegea sikio mfululizo mwengine wa vipindi maalumu tulivyokuandalia kwa mnasaba wa kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, ambapo leo tutazungumzia namna mapinduzi hayo yanavyofuata kigezo cha mafundisho ya Qur'ani kwa ajili ya kupambana na Uistikbari duniani. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.