Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Wadukuzi wa Algeria washambulia mitandao ya Wizara ya Vita ya Israel

    Wadukuzi wa Algeria washambulia mitandao ya Wizara ya Vita ya Israel

    Oct 24, 2023 23:22

    Kundi moja la wadukuzi la Algeria limejipenyeza na kushambulia mitandao ya kuhifadhi taarifa za Wizara ya Vita ya utawala haramu wa Israel.

  • Rais wa Algeria aagiza kuanzishwa daraja la angani la misaada kwa ajili ya Gaza

    Rais wa Algeria aagiza kuanzishwa daraja la angani la misaada kwa ajili ya Gaza

    Oct 22, 2023 22:53

    Rais wa Algeria ameagiza kuanzishwa daraja la angani kwa ajili ya kutuma misaada ya kibinadamu Ukanda wa Gaza kupitia kivuko cha Rafah.

  • Ombi la Algeria kwa Jamii ya Kimataifa kuliunga mkono taifa la Palestina dhidi ya jinai za utawala wa Kizayuni

    Ombi la Algeria kwa Jamii ya Kimataifa kuliunga mkono taifa la Palestina dhidi ya jinai za utawala wa Kizayuni

    Oct 09, 2023 03:13

    Kupitia taarifa, Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria imetaka uingiliaji kati wa haraka wa Jumii ya Kimataifa kupitia taasisi husika ili kuliunga mkono taifa la Palestina dhidi ya jinai za utawala wa Kizayuni.

  • Niger yakubali mpango wa Algeria wa kutatua mzozo wa ndani wa nchi hiyo

    Niger yakubali mpango wa Algeria wa kutatua mzozo wa ndani wa nchi hiyo

    Oct 02, 2023 11:42

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria ilimengaza kuwa, Niger imekubaliana na mpango wa Algiers wa kutatua mgogoro wa ndani wa nchi hiyo ya Magharibi mwa Afrika.

  • Raisi: Ushirikiano wa Iran na Algeria ni kwa maslahi ya umma wa Kiislamu

    Raisi: Ushirikiano wa Iran na Algeria ni kwa maslahi ya umma wa Kiislamu

    Aug 23, 2023 03:37

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria azma ya taifa hili ya kuimarisha uhusiano wake na Algeria na kusisitiza kuwa, ushirikiano wa nchi mbili hizi ni kwa maslahi ya mataifa haya na ulimwengu wa Kiislamu kwa jumla.

  • Sisitizo la Algeria la kutokuwa tayari kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Sisitizo la Algeria la kutokuwa tayari kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Aug 19, 2023 00:21

    Naibu Spika wa Bunge la Algeria Moussa Kharfi ametamka bayana kuwa nchi yake haitoanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Algeria: Hatutaanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa kikoloni wa Israel

    Algeria: Hatutaanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa kikoloni wa Israel

    Aug 16, 2023 23:44

    Naibu Spika wa Bunge la Algeria amesisitiza kuwa, taifa hilo la kaskazini mwa Afrika halitafuata mkumbo wa nchi nyingine za Kiarabu wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel, akisisitiza kuwa Waalgeria wanautazama utawala huo kuwa wa kikoloni.

  • Algeria: Uingiliaji wa kijeshi nchini Niger utatishia utulilvu wa eneo zima

    Algeria: Uingiliaji wa kijeshi nchini Niger utatishia utulilvu wa eneo zima

    Aug 16, 2023 02:58

    Mkuu wa Jeshi la Algeria ameonya kuhusu jaribio la kuivamia kijeshi Niger na kusema kuwa uvamizi wowote wa kijeshi wa madola ya kigeni nchini Niger utatishia utulivu na usalama wa eneo zima la Sahel ya Afrika.

  • Algeria: Hatuungi mkono uingiliaji wa kijeshi nchini Niger

    Algeria: Hatuungi mkono uingiliaji wa kijeshi nchini Niger

    Aug 06, 2023 03:45

    Algeria imepinga vikali mpango wa kuingia kijeshi nchini Niger, kwa lengo la kuhitimisha mapinduzi ya kijeshi ya mwishoni mwa mwezi uliopita, yaliyomuondoa madarakani Rais Mohamed Bazoum.

  • Moto uliochochewa na upepo umeua watu zaidi ya 34 Algeria

    Moto uliochochewa na upepo umeua watu zaidi ya 34 Algeria

    Jul 25, 2023 11:29

    Moto wa nyika usiodhibitiwa unaoendelea katika nchi za Algeria na Tunisia huko kaskazini mwa Afrika wakati huu wa wimbi la joto kali umesababisha vifo vya makumi vya watu na kuwalazimisha maelfu ya wengine kuyahama makazi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS