-
Vikwazo vya UK vyazilazimisha Angola na Namibia zikubali kupokea wahamiaji wanaorejeshwa
Dec 28, 2025 23:50Wizara ya Mambo ya Ndani ya Uingereza imetangaza kuwa, Angola na Namibia zimekubali kuruhusu kurejeshwa katika nchi hizo wahamiaji wasio rasmi na wahalifu baada ya serikali ya Uingereza kutishia kutoa adhabu ya vikwazo vya viza kwa nchi zinazokataa kutoa ushirikiano.
-
4 wauawa, mamia watiwa nguvuni katika maaandamano ya kupinga kupanda bei ya mafuta huko Angola
Jul 29, 2025 23:14Watu wasiopungua wanne wamepoteza maisha na mamia ya wengine kutiwa nguvuni katika maandamano ya ghasia huko Angola kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta.
-
Jumatano, Mei 14, 2024
May 13, 2025 23:10Leo ni Jumatano tarehe 16 Mfunguo Pili, Dhulqaada, 1446 Hijria sawa na tarehe 14 Mei 2025 Milaadia.
-
Iran na Angola zalaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel
Nov 15, 2024 04:18Balozi mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Angola na rais wa nchi hiyo wamelaani vitendo vya jinai vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.
-
Jumatatu, tarehe 11 Novemba, 2024
Nov 11, 2024 00:10Leo ni Jumatatu tarehe 9 Jamadil Awwal 1446 Hijria sawa na tarehe 11 Novemba mwaka 2024.
-
Jumanne, tarehe 14 Mei, 2024
May 14, 2024 00:09Leo ni Jumanne tarehe 5 Dhulqaada 1445 Hijria sawa na tarehe 14 Mei 2024.
-
Jumamosi, 11 Novemba, 2023
Nov 10, 2023 23:59Leo ni Jumamosi tarehe 26 Mfunguo Saba Rabiuthani 1445 Hijria sawa na 11 Novemba 2023 Miladia.
-
Jumapili, tarehe 14 Mei, 2023
May 13, 2023 21:55Leo ni Jumapili tarehe 23 Shawwal 1444 Hijria sawa na tarehe 14 Mei 2023.
-
Angola kutuma wanajeshi wake DRC kukabiliana na waasi wa M23
Mar 12, 2023 04:01Angola imesema itatuma kikosi cha wanajeshi wake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, siku chache baada ya makubaliano ya kusitisha vita baina ya pande hasimu nchini humo kugonga mwamba.
-
Lavrov ziarani Angola katika juhudi za kuungwa mkono kimataifa Moscow
Jan 26, 2023 05:39Sergei Lavrov Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amezituhumu nchi za Magharibi kwa kuzishinikiza nchii zinazoendelea duniani ilikuegemea na kuiunga mkono Ukraine.