-
4 wauawa, mamia watiwa nguvuni katika maaandamano ya kupinga kupanda bei ya mafuta huko Angola
Jul 30, 2025 02:44Watu wasiopungua wanne wamepoteza maisha na mamia ya wengine kutiwa nguvuni katika maandamano ya ghasia huko Angola kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta.
-
Jumatano, Mei 14, 2024
May 14, 2025 02:40Leo ni Jumatano tarehe 16 Mfunguo Pili, Dhulqaada, 1446 Hijria sawa na tarehe 14 Mei 2025 Milaadia.
-
Iran na Angola zalaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel
Nov 15, 2024 07:48Balozi mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Angola na rais wa nchi hiyo wamelaani vitendo vya jinai vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.
-
Jumatatu, tarehe 11 Novemba, 2024
Nov 11, 2024 03:40Leo ni Jumatatu tarehe 9 Jamadil Awwal 1446 Hijria sawa na tarehe 11 Novemba mwaka 2024.
-
Jumanne, tarehe 14 Mei, 2024
May 14, 2024 03:39Leo ni Jumanne tarehe 5 Dhulqaada 1445 Hijria sawa na tarehe 14 Mei 2024.
-
Jumamosi, 11 Novemba, 2023
Nov 11, 2023 03:29Leo ni Jumamosi tarehe 26 Mfunguo Saba Rabiuthani 1445 Hijria sawa na 11 Novemba 2023 Miladia.
-
Jumapili, tarehe 14 Mei, 2023
May 14, 2023 01:25Leo ni Jumapili tarehe 23 Shawwal 1444 Hijria sawa na tarehe 14 Mei 2023.
-
Angola kutuma wanajeshi wake DRC kukabiliana na waasi wa M23
Mar 12, 2023 07:31Angola imesema itatuma kikosi cha wanajeshi wake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, siku chache baada ya makubaliano ya kusitisha vita baina ya pande hasimu nchini humo kugonga mwamba.
-
Lavrov ziarani Angola katika juhudi za kuungwa mkono kimataifa Moscow
Jan 26, 2023 09:09Sergei Lavrov Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amezituhumu nchi za Magharibi kwa kuzishinikiza nchii zinazoendelea duniani ilikuegemea na kuiunga mkono Ukraine.
-
Mahakama Angola yaamuru kuzuiwa mali za binti wa rais wa zamani wa nchi hiyo
Dec 28, 2022 11:14Mahakama ya Juu ya Angola imeamuru kuzuiliwa "kitahadhari" mali zenye thamani ya takriban dola bilioni moja zinazomilikiwa na Isabel dos Santos, binti wa rais wa zamani wa nchi hiyo José Eduardo dos Santos.