-
Mahakama Angola yaamuru kuzuiwa mali za binti wa rais wa zamani wa nchi hiyo
Dec 28, 2022 07:44Mahakama ya Juu ya Angola imeamuru kuzuiliwa "kitahadhari" mali zenye thamani ya takriban dola bilioni moja zinazomilikiwa na Isabel dos Santos, binti wa rais wa zamani wa nchi hiyo José Eduardo dos Santos.
-
Ijumaa tarehe 11 Novemba 2022
Nov 10, 2022 23:36Leo ni Ijumaa tarehe 16 Mfunguo Saba Rabiuthani 1444 Hijria sawa na tarehe 11 Novemba 2022.
-
Mahakama Angola yatupilia mbali kesi ya kupinga uchaguzi wa rais
Sep 09, 2022 07:56Mahakama ya Katiba ya Angola imetupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais wa Agosti 24, yaliyompa ushindi mgombea wa chama tawala cha MPLA, Rais Joao Lourenco.
-
Chama tawala kinaongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi Angola
Aug 25, 2022 06:16Matokeo ya awali katika uchaguzi mkuu uliofanyika nchini Angola hapo jana yanaonesha kuwa chama tawala cha MPLA kinaongoza.
-
Wananchi wa Angola leo wanamchagua Rais; upinzani watishia kupinga matokeo
Aug 24, 2022 03:31Wananchi wa Angola waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanashiriki katika uchaguzi kwa ajili ya kumchagua rais mpya wa nchi hiyo.
-
DRC na Rwanda zakubaliana kupunguza mivutano kwa sababu ya waasi wa M23
Jul 07, 2022 06:55Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC na Rwanda zimekubaliana kutekeleza "mchakato wa kupunguza mvutano" baina yao kufuatia mazungumzo ya siku moja yaliyofanywa na marais wa nchi hizo mbili kwa upatanishi wa rais wa Angola.
-
Jumamosi, 14 Mei, 2022
May 13, 2022 21:44Leo ni Jumamosi tarehe 12 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria, ambayo inasadifiana na tarehe 14 Mei 2022 Miladia.
-
Madaktari Angola kuendelea na mgomo wa nchi nzima
Dec 13, 2021 01:01Zaidi ya nusu ya madaktari wote nchini Angola wanaendelea na mgomo wao wa nchi nzima wakishinikiza kulipwa mishahara yao na kuboreshewa mazingira ya kazi huku janga la corona likiendelea kuutatiza mfumo dhaifu wa huduma za afya wa nchi hiyo.
-
Ijumaa tarehe 14 Mei 2021
May 13, 2021 23:00Leo ni Ijumaa tarehe Pili Shawwal 1442 Hijria sawa na tarehe 14 Mei 2021.
-
Jumatano tarehe 11 Novemba 2020
Nov 10, 2020 23:07Leo ni Jumatano tarehe 25 Mfunguo Sita mwaka 1442 Hijria sawa na Novemba 11 mwaka 2020.