-
Ijumaa tarehe 11 Novemba 2022
Nov 11, 2022 03:06Leo ni Ijumaa tarehe 16 Mfunguo Saba Rabiuthani 1444 Hijria sawa na tarehe 11 Novemba 2022.
-
Mahakama Angola yatupilia mbali kesi ya kupinga uchaguzi wa rais
Sep 09, 2022 12:26Mahakama ya Katiba ya Angola imetupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais wa Agosti 24, yaliyompa ushindi mgombea wa chama tawala cha MPLA, Rais Joao Lourenco.
-
Chama tawala kinaongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi Angola
Aug 25, 2022 10:46Matokeo ya awali katika uchaguzi mkuu uliofanyika nchini Angola hapo jana yanaonesha kuwa chama tawala cha MPLA kinaongoza.
-
Wananchi wa Angola leo wanamchagua Rais; upinzani watishia kupinga matokeo
Aug 24, 2022 08:01Wananchi wa Angola waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanashiriki katika uchaguzi kwa ajili ya kumchagua rais mpya wa nchi hiyo.
-
DRC na Rwanda zakubaliana kupunguza mivutano kwa sababu ya waasi wa M23
Jul 07, 2022 11:25Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC na Rwanda zimekubaliana kutekeleza "mchakato wa kupunguza mvutano" baina yao kufuatia mazungumzo ya siku moja yaliyofanywa na marais wa nchi hizo mbili kwa upatanishi wa rais wa Angola.
-
Jumamosi, 14 Mei, 2022
May 14, 2022 02:14Leo ni Jumamosi tarehe 12 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria, ambayo inasadifiana na tarehe 14 Mei 2022 Miladia.
-
Madaktari Angola kuendelea na mgomo wa nchi nzima
Dec 13, 2021 04:31Zaidi ya nusu ya madaktari wote nchini Angola wanaendelea na mgomo wao wa nchi nzima wakishinikiza kulipwa mishahara yao na kuboreshewa mazingira ya kazi huku janga la corona likiendelea kuutatiza mfumo dhaifu wa huduma za afya wa nchi hiyo.
-
Ijumaa tarehe 14 Mei 2021
May 14, 2021 03:30Leo ni Ijumaa tarehe Pili Shawwal 1442 Hijria sawa na tarehe 14 Mei 2021.
-
Jumatano tarehe 11 Novemba 2020
Nov 11, 2020 02:37Leo ni Jumatano tarehe 25 Mfunguo Sita mwaka 1442 Hijria sawa na Novemba 11 mwaka 2020.
-
Watoto 144 waaga dunia kwa utapiamlo nchini Angola
Oct 01, 2020 07:54Watoto 144 wamepoteza maisha kutokana na utapiamlo katika kipindi cha miezi sita ya kwanza ya mwaka huu katika mkoa wa Bié katikati mwa Angola.