Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Angola

  • Ijumaa tarehe 11 Novemba 2022

    Ijumaa tarehe 11 Novemba 2022

    Nov 11, 2022 03:06

    Leo ni Ijumaa tarehe 16 Mfunguo Saba Rabiuthani 1444 Hijria sawa na tarehe 11 Novemba 2022.

  • Mahakama Angola yatupilia mbali kesi ya kupinga uchaguzi wa rais

    Mahakama Angola yatupilia mbali kesi ya kupinga uchaguzi wa rais

    Sep 09, 2022 12:26

    Mahakama ya Katiba ya Angola imetupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais wa Agosti 24, yaliyompa ushindi mgombea wa chama tawala cha MPLA, Rais Joao Lourenco.

  • Chama tawala kinaongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi Angola

    Chama tawala kinaongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi Angola

    Aug 25, 2022 10:46

    Matokeo ya awali katika uchaguzi mkuu uliofanyika nchini Angola hapo jana yanaonesha kuwa chama tawala cha MPLA kinaongoza.

  • Wananchi wa Angola leo wanamchagua Rais; upinzani watishia kupinga matokeo

    Wananchi wa Angola leo wanamchagua Rais; upinzani watishia kupinga matokeo

    Aug 24, 2022 08:01

    Wananchi wa Angola waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanashiriki katika uchaguzi kwa ajili ya kumchagua rais mpya wa nchi hiyo.

  • DRC na Rwanda zakubaliana kupunguza mivutano kwa sababu ya waasi wa M23

    DRC na Rwanda zakubaliana kupunguza mivutano kwa sababu ya waasi wa M23

    Jul 07, 2022 11:25

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC na Rwanda zimekubaliana kutekeleza "mchakato wa kupunguza mvutano" baina yao kufuatia mazungumzo ya siku moja yaliyofanywa na marais wa nchi hizo mbili kwa upatanishi wa rais wa Angola.

  • Jumamosi, 14 Mei, 2022

    Jumamosi, 14 Mei, 2022

    May 14, 2022 02:14

    Leo ni Jumamosi tarehe 12 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria, ambayo inasadifiana na tarehe 14 Mei 2022 Miladia.

  • Madaktari Angola kuendelea na mgomo wa nchi nzima

    Madaktari Angola kuendelea na mgomo wa nchi nzima

    Dec 13, 2021 04:31

    Zaidi ya nusu ya madaktari wote nchini Angola wanaendelea na mgomo wao wa nchi nzima wakishinikiza kulipwa mishahara yao na kuboreshewa mazingira ya kazi huku janga la corona likiendelea kuutatiza mfumo dhaifu wa huduma za afya wa nchi hiyo.

  • Ijumaa tarehe 14 Mei 2021

    Ijumaa tarehe 14 Mei 2021

    May 14, 2021 03:30

    Leo ni Ijumaa tarehe Pili Shawwal 1442 Hijria sawa na tarehe 14 Mei 2021.

  • Jumatano tarehe 11 Novemba 2020

    Jumatano tarehe 11 Novemba 2020

    Nov 11, 2020 02:37

    Leo ni Jumatano tarehe 25 Mfunguo Sita mwaka 1442 Hijria sawa na Novemba 11 mwaka 2020.

  • Watoto 144 waaga dunia kwa utapiamlo nchini Angola

    Watoto 144 waaga dunia kwa utapiamlo nchini Angola

    Oct 01, 2020 07:54

    Watoto 144 wamepoteza maisha kutokana na utapiamlo katika kipindi cha miezi sita ya kwanza ya mwaka huu katika mkoa wa Bié katikati mwa Angola.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS