-
Ansarullah: Marekani na Israel ni pande mbili za sarafu moja
Apr 24, 2017 08:14Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul-Malik Badreddin al-Houthi amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ni pande mbili za sarafu moja ambazo kwa pamoja zinaunga mkono kwa hali na mali juhudi za kuibomoa na kuisambaratisha Yemen kupitia uvamizi wa kijeshi ulioanzishwa na Saudi Arabia.
-
Ansarullah: Saudia imeshindwa kufikia malengo yake haramu Yemen
Mar 26, 2017 06:33Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema utawala wa kifalme wa Aal-Saud umeshindwa kupata natija katika mashambulizi yake ya kinyama dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu na jirani yake.
-
Al-Houthi: Serikali mpya ya Yemen ni kwa maslahi ya Wayemen wote
Nov 30, 2016 14:35Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul Malik al-Houthi amesema kuundwa serikali mpya ya Wokovu wa Kitaifa ni kwa maslahi ya wananchi wote wa nchi hiyo na ni hatua inayopania kuwapa wananchi hao mamlaka ya kujitawala na kujifanyia maamuzi wao wenyewe.
-
Ould Sheikh apinga serikali ya Uokovu wa Kitaifa Yemen
Nov 30, 2016 04:09Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Yemen amedai kuwa hatua ya Harakati ya Ansarullah ya kuunda serikali mpya ya Uokovu wa Kitaifa nchini humo haiisaidii chochote nchi hiyo wala kusogeza mbele mchakato wa amani nchini humo.
-
Oman: Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen sio ya kigaidi
Nov 29, 2016 13:23Serikali ya Oman imetangaza upinzani wake dhidi ya pendekezo la Saudi Arabia la kuiweka Harakati ya Kiislamu na ya wananchi ya Answarullah nchini Yemen katika orodha ya pamoja ya wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi kuhusiana na ugaidi.
-
Ansarullah: Umoja wa Mataifa uchunguze ukatili wa Saudia Yemen
Oct 17, 2016 04:28Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa juu ya mauaji ya kinyama yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia nchini Yemen hivi karibuni.
-
Iran: Madai kuwa Tehran inaipa silaha Ansarullah ya Yemen haya msingi
Sep 29, 2016 13:46Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai yaliyotolewa na Saudi Arabia kuwa Tehran inalifadhili kundi la wanaharakati wa Ansarullah wa Yemen.
-
Saudi Arabia yashadidisha mashambulio dhidi ya shule na makazi ya raia Yemen
Sep 15, 2016 07:38Ndege za kivita za Saudi Arabia Jumatano asubuhi ziliendelea kudondosha mabomu katika maeneo ya raia nchini Yemen kwa kushambulia eneo la Aal Aqab katika mji wa Sahar katika mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Marekani inaunga mkono hujuma za Saudia dhidi ya Wayemen
Sep 03, 2016 03:20Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen amelaani vikali Marekani kwa kutoa misaada ya kijeshi na kisiasa kwa Saudi Arabia katika mashambulizi yake ya kudondosha mabomu dhidi ya watu wa Yemen.
-
Marekani, chanzo cha fitina katika Ulimwengu wa Kiislamu
Jul 29, 2016 16:33Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa chanzo cha fitina zote na migogoro ya hivi karibuni katika Ulimwengu wa Kiislamu ni hatua za wazi na za siri za Marekani na waitifaki wake.