-
US, UK zashambulia vituo vya Ansarullah Yemen kwa sababu ya msimamo wake wa kuwahami Wapalestina
Jan 12, 2024 03:55Marekani na Uingereza zimeshambulia vituo kadhaa vya harakati ya Ansarullah kukabiliana na hatua ya harakati hiyo ya wananchi wa Yemen ya kuzishambulia meli zenye uhusiano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, kwa sababu ya vita vya mauaji ya kimbari na ya halaiki unavyoendesha utawala huo dhalimu dhidi ya Wapalestina wa Gaza.
-
Ansarullah ya Yemen: Maji ya Kimataifa ni salama kwa meli zote isipokuwa za utawala wa Kizayuni wa Israel
Dec 29, 2023 10:29Harakati ya Muqawama wa Kiiislamu ya Ansarullah ya Yemen imesisitiza kuwa njia za majini za kimataifa ni salama kwa meli zote, isipokuwa meli za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel au zile zinazoelekea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
-
Ansarullah: Msimu wa baridi kali umekaribia Ulaya; tukichokozwa tutapiga visima na meli za mafuta na gesi
Dec 20, 2023 11:14Mmoja wa viongozi waandamizi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amezionya nchi mbili za Kiarabu kwamba zisithubutu kuingia kwenye muungano wa Bahari Nyekundu wa Marekani na imetangaza wazi kwamba, kama Yemen itashambuliwa, basi harakati hiyo itajibu kwa kupinga visima na meli za maafuta na gesi na haitojali kwamba msimu wa baridi kali umekaribia barani Ulaya.
-
Jeshi la Yemen: Tutalenga na kuteka meli zote za Israel katika Bahari Nyekundu
Nov 20, 2023 03:28Msemaji wa Jeshi la Yemen amesema vikosi vya nchi hiyo vitashambulia na kuteka meli zote zinazomilikiwa au kusimamiwa na kampuni za utawala wa Kizayuni wa Israel, ikiwa ni hatua kuliunga mkono taifa la Palestina, wakati huu ambapo Wazayuni wanaendelea kumwaga damu za Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Ansarullah ya Yemen yakosoa vikali ulegevu walioonyesha watawala wa Kiarabu mbele ya Wazayuni
Nov 11, 2023 12:03Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesisitiza kuwa itaendelea kuliunga mkono kwa dhati taifa na Muqawama wa Palestina katika Ukanda wa Gaza na imekosoa vikali udhaifu na ulegevu ulioonyeshwa na watawala wa nchi za Kiarabu mbele ya utawala dhalimu wa Kizayuni wa Israel.
-
Ansarullah ya Yemen yafanya shambulizi la droni dhidi ya Israel
Nov 01, 2023 03:01Harakati ya Ansarullah ya Yemen imefanya mashambulizi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutumia ndege zisizo na rubani.
-
Ansarullah: Kimbunga cha al-Aqsa ni ushindi wa kihistoria
Oct 11, 2023 02:35Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amepongeza Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa na kueleza kuwa, shambulizi la kushtukiza la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina (HAMAS) na makundi mengine ya mapambano ya Palestina dhidi ya Israel ni ushindi wa kihistoria ambao umeleta mlingano wa nguvu na kuusabababishia hasara kubwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ansarullah yatangaza kushikamana na taifa la Syria
Oct 06, 2023 07:10Ofisi ya kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani mashambulizi ya makundi ya kigaidi katika chuo cha kijeshi cha Homs nchini Syria.
-
Ansarullah: Kuondolewa serikali madarakani limekuwa takwa la wananchi
Oct 02, 2023 08:07Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesisitiza kuwa, kuondolewa madarakani serikali ya Abdul Aziz bin Habtoor limekuwa matakwa la wananchi.
-
Ansarullah yalaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
Mar 31, 2023 02:11Harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Denmark na katika nchi nyingine za Ulaya.