-
Mripuko wa bomu katika maombolezo ya Ashura waua makumi ya watu Afghanistan
Oct 12, 2016 23:17Watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea kwenye mkusanyiko wa maombolezo ya Ashura ya Imam Hussein (as) katika jimbo la Balkh kaskazini mwa Afghanistan.
-
Magaidi washambulia msikiti Kabul na kuua makumi usiku wa Tasua
Oct 12, 2016 04:23Kundi moja la kigaidi na kitakfiri nchini Afghanistan limefanya shambulizi la pili dhidi ya Waislamu wa madhebu ya Shia waliokuwa wamekusanyika msikitini wakifanya maombelezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS.
-
Rouhani: Utamaduni wa Ashura unaweza kuimarisha uthabiti Asia
Oct 12, 2016 04:01Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema iwapo utamaduni wa kuadhimisha kumbukumbu ya Ashura, siku aliyouawa shahidi Imam Hussein AS, Mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW utafuatwa kwa dhati, usalama na uthabiti utarejea katika bara la Asia na ulimwengu wa Kiislamu.
-
Jumapili, Oktoba 12, 2016
Oct 12, 2016 01:06Leo ni Jumatano tarehe 10 Muharram 1438 Hijria sawa na 12 Oktoba 2016.
-
Waislamu duniani wakumbuka kuuawa Shahidi Imam Hussein AS
Oct 11, 2016 23:40Leo Jumatano inasadifiana na tarehe 10 Mfunguo Nne Muharram, siku ya Ashura ya mapambano ya Imam Husain AS huko Karbala. Maombolezo ya kukumbuka siku hiyo ya majonzi yanawashirikisha Waislamu na hata wasiokuwa Waislamu kote duniani.
-
Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (2)
Sep 16, 2018 05:57Je, tukio la Ashuraa na mauaji ya mjukuu wa Mtume (saw), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) katika siku ya tarehe 10 Muharram mwaka 61 Hijria lina umuhimu katika utamaduni wa Waislamu wa madhehebu ya Shia peke yao? Au la, madhehebu nyingine za Kiislamu pia kama madhehebu za Ahlusunna, zinajali sana tukio hilo na kuumizwa mno na masaibu ya Hussein bin Ali na dhulma zilizofanywa na madhalimu dhidi ya familia hiyo ya Mtume?