Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ayatullah Hashemi Rafsanjani

  • Kiongozi Muadhamu atoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ayatullah Hashemi Rafsanjani

    Kiongozi Muadhamu atoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ayatullah Hashemi Rafsanjani

    Jan 09, 2017 04:19

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, ametoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki dunia Ayatullah Hashemi Rafsanjani.

  • Ayatullah Hashemi Rafsanjani ameaga dunia

    Ayatullah Hashemi Rafsanjani ameaga dunia

    Jan 08, 2017 17:08

    Ayatullah Ali Akbar Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuanisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu Iran ameaga dunia leo baada ya umri mrefu wa jihadi na jitihada zisizo na kikomo kwa ajili ya Uislamu na Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Ugaidi unaenea kutokana na hitilafu za kimadhehebu, kikaumu katika nchi za Kiislamu

    Ugaidi unaenea kutokana na hitilafu za kimadhehebu, kikaumu katika nchi za Kiislamu

    May 03, 2016 03:58

    Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema, ugaidi unaenea Mashariki ya Kati kutokana na hitilafu za kikaumu na kimadhehebu katika nchi za Kiislamu.

  • Rafsanjani: Iran itatoa jibu kali kwa shambulizi lolote dhidi yake

    Rafsanjani: Iran itatoa jibu kali kwa shambulizi lolote dhidi yake

    Apr 05, 2016 07:30

    Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran ameonya kuwa shambulizi lolote la kigaidi dhidi ya taifa hili litapokea jibu kali.

  • Ayatullah Rafsanjani atoa wito wa kutumiwa vizuri visiwa vya Iran katika Ghuba ya Uajemi

    Ayatullah Rafsanjani atoa wito wa kutumiwa vizuri visiwa vya Iran katika Ghuba ya Uajemi

    Mar 21, 2016 08:23

    Ayatullah Akbar Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran ametoa wito wa kutumiwa vyema uwezo wa visiwa vya Iran katika Ghuba ya Uajemi kwa ajili ya kuboresha uchumi wa taifa hili.

  • Nchi zilizostawi zashindana kuja kuwekeza nchini Iran

    Nchi zilizostawi zashindana kuja kuwekeza nchini Iran

    Mar 17, 2016 01:50

    Ayatullah Akbar Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, nchi zilizoendelea zinashindana kwa ajili ya uwekezaji hapa nchini.

  • Ayatullah Rafsanjani: Umoja baina ya Shia na Suni ni jambo lenye ulazima

    Ayatullah Rafsanjani: Umoja baina ya Shia na Suni ni jambo lenye ulazima

    Mar 13, 2016 03:31

    Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema umoja baina ya Shina na Suni una umuhimu mkubwa mno hususan katika hali na mazingira tete na hasasi yanayoshuhudiwa hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati na ulimwenguni.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS