-
Mashambulio ya kigaidi yaua na kujeruhi makumi ya watu kaskazini mwa Baghdad, Iraq
May 30, 2016 15:29Raia wasiopungua 26 wameuawa na kujeruhiwa leo katika miripuko ya mabomu ya mashambulio ya kigaidi yaliyofanywa kaskazini mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
-
Iran yalaani wimbi la mashambulizi ya kigaidi ya Daesh Iraq
May 19, 2016 03:57Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani wimbi la mashambulizi ya kigaidi katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad, ambalo limesababisha vifo vya mamia ya watu tokeo Jumatano ya wiki iliyopita.
-
Watu 58 wauawa katika mashambulizi ya bomu Baghdad, Iraq
May 17, 2016 13:53Kwa akali watu 58 wameuawa na wengine zaidi ya 90 wamejeruhiwa katika mashambulizi matatu ya bomu yaliyoutikisa mji mkuu wa Iraq, Baghdad hii leo.
-
Mripuko wa bomu waua watu wasiopungua 64 mjini Baghdad, Iraq
May 11, 2016 15:34Watu wasiopungua 64 wameuawa na wengine zaidi ya 85 wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea leo karibu na soko moja katika kitongoji cha Sadr mashariki mwa mji mkuu wa Iraq, Baghadad.