Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bangladesh

  • Mauaji ya kigaidi dhidi ya kiongozi mmoja wa Waislamu wa Rohingya

    Mauaji ya kigaidi dhidi ya kiongozi mmoja wa Waislamu wa Rohingya

    Oct 02, 2021 02:33

    Mohibullah ambaye alikuwa miongoni mwa viongozi wa jamii ya Waislamu wa Rohingya waliokimbilia Bangladesh kutoka Myanmar ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana.

  • Mamia ya wanaharakati wa Kiislamu wakamatwa Bangladesh kwa kupinga safari ya Modi

    Mamia ya wanaharakati wa Kiislamu wakamatwa Bangladesh kwa kupinga safari ya Modi

    Apr 19, 2021 13:30

    Polisi ya Bangladesh imewatia nguvuni mamia ya wanaharakati wa Kiislamu baada ya mandamano yaliyoandamana na umwagaji damu ya kupinga safari ya Waziri Mkuu wa India nchini humo mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu.

  • Ijumaa tarehe 26 Machi 2021

    Ijumaa tarehe 26 Machi 2021

    Mar 26, 2021 02:54

    Leo ni Ijumaa tarehe 12 Shaabani 1442 Hijria sawa na 26 Machi 2021.

  • Bangladesh yachunguza mkasa wa moto ulioua Waislamu 15 wa Rohingya

    Bangladesh yachunguza mkasa wa moto ulioua Waislamu 15 wa Rohingya

    Mar 24, 2021 02:48

    Serikali ya Dhaka imeanzisha uchunguzi kubaini kiini cha moto mkubwa uliotokea katika kambi ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya katika wilaya ya Cox's Bazar nchini Bangladesh na kuua na kujeruhi mamia ya watu.

  • Bangladesh yawahamishia wakimbizi Waislamu Warohingya kwenye kisiwa kisichokalika

    Bangladesh yawahamishia wakimbizi Waislamu Warohingya kwenye kisiwa kisichokalika

    Dec 04, 2020 07:11

    Serikali ya Bangladesh imeanza kuwahamisha wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya kutoka Myanmar na kuwapeleka kwenye kisiwa kisichokalika cha Bhashan Char.

  • Wabangladesh zaidi ya 50,000 waandamana dhidi ya Macron, wataka uhusiano na Ufaransa uvunjwe

    Wabangladesh zaidi ya 50,000 waandamana dhidi ya Macron, wataka uhusiano na Ufaransa uvunjwe

    Nov 02, 2020 13:48

    Watu wasiopungua elfu hamsini wameandamana leo nchini Bangladesh katika maandamano makubwa zaidi kufanyika nchini humo kulaani msimamo wa rais Emmanuel Macron wa Ufaransa wa kuunga mkono kuchapishwa tena vikatuni vinavyomvunjia heshima Bwana Mtume Muhammad SAW. Mbali na kulaani msimamo huo wa Macron, waandamanaji hao wameitaka serikali yao ivunje uhusiano wake wa kidiplomasia na Ufaransa.

  • Maelfu waandamana Bangladesh wakitaka kususiwa bidhaa za Ufaransa

    Maelfu waandamana Bangladesh wakitaka kususiwa bidhaa za Ufaransa

    Oct 28, 2020 04:31

    Makumi ya maelfu ya Waislamu wa Bangladesh wamefanya maandamano katika mji mkuu Dhaka, kulaani hatua ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ya kuunga mkono kitendo cha kifidhuli cha jarida la Kifaransa la Charlie Hebdo cha kuchapisha tena vibonzo vya kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.

  • Mripuko wa bomba la gesi waua waumini 13 msikitini Bangladesh

    Mripuko wa bomba la gesi waua waumini 13 msikitini Bangladesh

    Sep 05, 2020 11:22

    Watu wasiopungua 13 wamepoteza maisha katika ajali ya mripuko wa bomba la gesi nchini Bangladesh.

  • Kimbunga kikali chaua makumi ya watu India na Bangladesh

    Kimbunga kikali chaua makumi ya watu India na Bangladesh

    May 21, 2020 07:46

    Kwa akali watu 20 wameaga dunia na mamia ya maelfu ya wengine wameachwa bila ya makazi baada ya kimbunga kikali cha Amphan kupiga maeneo ya pwani ya India na Bangladesh.

  • Waislamu Warohingya waliotangatanga baharini kwa miezi kadhaa wapelekwa kisiwa kisichokalika cha Bangladesh

    Waislamu Warohingya waliotangatanga baharini kwa miezi kadhaa wapelekwa kisiwa kisichokalika cha Bangladesh

    May 04, 2020 14:17

    Waislamu Warohingya kadhaa waliokuwa wakitanga tanga baharini kwa miezi kadhaa hatimaye wamepelekwa kwenye kisiwa kimoja cha mbali katika Ghuba ya Bengal.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS