Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bangladesh

  • Makumi ya Waislamu wa Rohingya wafa kwa njaa ndani ya boti

    Makumi ya Waislamu wa Rohingya wafa kwa njaa ndani ya boti

    Apr 17, 2020 04:25

    Makumi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wamepoteza maisha kutokana na njaa baada ya boti yao kukwama baharini kwa majuma kadhaa.

  • Alkhamisi, tarehe 26 Machi, 2020

    Alkhamisi, tarehe 26 Machi, 2020

    Mar 26, 2020 04:16

    Leo ni Alkhamisi tarehe Mosi Shaaban mwaka 1441 Hijria sawa na tarehe 26 Machi mwaka 2020.

  • Warohingya 16 wapoteza maisha katika ajali ya boti Bangladesh

    Warohingya 16 wapoteza maisha katika ajali ya boti Bangladesh

    Feb 11, 2020 12:02

    Kwa akali Waislamu 16 wa jamii ya Rohingya wamefariki dunia baada ya boti yao kuzama katika Pwani ya Bengal, kaskazini mwa Bangladesh.

  • HRW: Bangladesh inawanyima elimu watoto laki 4 wa Kirohingya

    HRW: Bangladesh inawanyima elimu watoto laki 4 wa Kirohingya

    Dec 04, 2019 07:08

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema serikali ya Bangladesh imewanyima haki ya kupata elimu watoto laki nne Waislamu Warohingya wanaoishi kama wakimbizi nchini humo.

  • Bangladesh yashikilia hukumu ya kifo dhidi ya Azharul Islam

    Bangladesh yashikilia hukumu ya kifo dhidi ya Azharul Islam

    Nov 01, 2019 01:14

    Mahakama ya Juu ya Bangladesh imeidhinisha hukumu ya kifo iliyotolewa mwaka 2014 dhidi ya kinara wa chama cha Kiislamu cha Jamaat-e-Islami, A T M Azharul Islam, kwa tuhuma za kutenda jinai za kivita.

  • Askari wa Bangladesh wambaka binti wa miaka 12 wa Rohingya

    Askari wa Bangladesh wambaka binti wa miaka 12 wa Rohingya

    Oct 04, 2019 01:41

    Jeshi la Bangladesh limesema kuwa linachunguza malalamiko ya familia moja ya Waislamu wa Rohingya inayoishi katika kambi ya wakimbizi nchini humo inayosema kuwa askari wa Bangladesh wamembaka binti yao wa miaka 12.

  • Bagladesh: Myamar haitaki kuwarejesha nchini wakimbizi wa Rohingya

    Bagladesh: Myamar haitaki kuwarejesha nchini wakimbizi wa Rohingya

    Jun 11, 2019 07:49

    Waziri Mkuu wa Bangladesh ameikosoa vikali serikali ya Myanmar kwa kutoonesha nia wala mpango wa kuwa tayari kuwapokea wakimbizi Waislamu wa Rohingya waliokimbilia nchini humo miaka miwili iliyopita.

  • Bangladesh yalaani uongo wa Myanmar, yakataa kuwapokea tena Waislamu wa Rohingya

    Bangladesh yalaani uongo wa Myanmar, yakataa kuwapokea tena Waislamu wa Rohingya

    Mar 01, 2019 15:26

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Bangladesh amelieleza Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwamba nchi yake haitopokea mkimbizi mwingine yeyote wa jamii ya Rohingya kutoka Myanmar.

  • Bangladesh yawazuia kuingia nchini humo Waislamu 31 wa Rohingya waliokimbia India

    Bangladesh yawazuia kuingia nchini humo Waislamu 31 wa Rohingya waliokimbia India

    Jan 22, 2019 02:46

    Bangladesh imektaa kuwapokea makumi ya Waislamu wa JAMII YA Rohingya waliotaka kuingia nchini humo wakitokea nchi jirani ya India; na hivyo kuwaacha raia hao wakiwa wamekwama katika eneo lisilo na makazi kwenye mpaka wa nchi hizo mbili.

  • Bangladesh yatumia askari kuwafukuza kwa nguvu wakimbizi Warohingya

    Bangladesh yatumia askari kuwafukuza kwa nguvu wakimbizi Warohingya

    Nov 14, 2018 14:21

    Serikali ya Bangladesh imetuma maafisa usalama wakiwemo wanajeshi na askari polisi katika kambi za wakimbizi Waislamu wa Rohingya katika eneo la Cox wilayani Bazar, kusini mashariki mwa nchi kwa lengo la kuwafukuza kwa nguvu wakimbizi hao na kuwarejesha Myanmar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS