-
Makumi ya Waislamu wa Rohingya wafa kwa njaa ndani ya boti
Apr 17, 2020 04:25Makumi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wamepoteza maisha kutokana na njaa baada ya boti yao kukwama baharini kwa majuma kadhaa.
-
Alkhamisi, tarehe 26 Machi, 2020
Mar 26, 2020 04:16Leo ni Alkhamisi tarehe Mosi Shaaban mwaka 1441 Hijria sawa na tarehe 26 Machi mwaka 2020.
-
Warohingya 16 wapoteza maisha katika ajali ya boti Bangladesh
Feb 11, 2020 12:02Kwa akali Waislamu 16 wa jamii ya Rohingya wamefariki dunia baada ya boti yao kuzama katika Pwani ya Bengal, kaskazini mwa Bangladesh.
-
HRW: Bangladesh inawanyima elimu watoto laki 4 wa Kirohingya
Dec 04, 2019 07:08Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema serikali ya Bangladesh imewanyima haki ya kupata elimu watoto laki nne Waislamu Warohingya wanaoishi kama wakimbizi nchini humo.
-
Bangladesh yashikilia hukumu ya kifo dhidi ya Azharul Islam
Nov 01, 2019 01:14Mahakama ya Juu ya Bangladesh imeidhinisha hukumu ya kifo iliyotolewa mwaka 2014 dhidi ya kinara wa chama cha Kiislamu cha Jamaat-e-Islami, A T M Azharul Islam, kwa tuhuma za kutenda jinai za kivita.
-
Askari wa Bangladesh wambaka binti wa miaka 12 wa Rohingya
Oct 04, 2019 01:41Jeshi la Bangladesh limesema kuwa linachunguza malalamiko ya familia moja ya Waislamu wa Rohingya inayoishi katika kambi ya wakimbizi nchini humo inayosema kuwa askari wa Bangladesh wamembaka binti yao wa miaka 12.
-
Bagladesh: Myamar haitaki kuwarejesha nchini wakimbizi wa Rohingya
Jun 11, 2019 07:49Waziri Mkuu wa Bangladesh ameikosoa vikali serikali ya Myanmar kwa kutoonesha nia wala mpango wa kuwa tayari kuwapokea wakimbizi Waislamu wa Rohingya waliokimbilia nchini humo miaka miwili iliyopita.
-
Bangladesh yalaani uongo wa Myanmar, yakataa kuwapokea tena Waislamu wa Rohingya
Mar 01, 2019 15:26Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Bangladesh amelieleza Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwamba nchi yake haitopokea mkimbizi mwingine yeyote wa jamii ya Rohingya kutoka Myanmar.
-
Bangladesh yawazuia kuingia nchini humo Waislamu 31 wa Rohingya waliokimbia India
Jan 22, 2019 02:46Bangladesh imektaa kuwapokea makumi ya Waislamu wa JAMII YA Rohingya waliotaka kuingia nchini humo wakitokea nchi jirani ya India; na hivyo kuwaacha raia hao wakiwa wamekwama katika eneo lisilo na makazi kwenye mpaka wa nchi hizo mbili.
-
Bangladesh yatumia askari kuwafukuza kwa nguvu wakimbizi Warohingya
Nov 14, 2018 14:21Serikali ya Bangladesh imetuma maafisa usalama wakiwemo wanajeshi na askari polisi katika kambi za wakimbizi Waislamu wa Rohingya katika eneo la Cox wilayani Bazar, kusini mashariki mwa nchi kwa lengo la kuwafukuza kwa nguvu wakimbizi hao na kuwarejesha Myanmar.