-
UN: Waislamu wa Rohingya wanakabiliwa na hatari kubwa wakirejeshwa Myanmar
Nov 14, 2018 02:39Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Bangladesh kusimamisha mpango wake wa kuwarejesha kwa nguvu nchini Myanmar maelfu ya wakimbizi Waislamu wa Rohingya akisisitiza kuwa maisha yao yatakuwa hatarini.
-
Bangladesh na mpango wa kuwahamishia wakimbizi Waislamu Warohingya laki moja katika kisiwa kilichotelekezwa
Oct 28, 2018 02:29Serikali ya Bangladesh imetangaza kuwa karibuni hivi itawahamishia katika kisiwa kilichotelekezwa, Waislamu wa jamii ya Rohingya wapatao laki moja.
-
Bangladesh: Myanmar imetutaka tuache kuwasaidia wakimbizi wa Rohingya
Aug 13, 2018 07:38Wizara ya Mambo ya Nje ya Bangladesh imesema kuwa, Myanmar imeitaka serikali ya nchi hiyo kusimamisha misaada ya kibinaadamu kwa malaki ya wakimbizi wa Rohingya walioko katika maeneo ya mpaka wa nchi mbili.
-
HRW yapinga suala la kuhamishiwa wakimbizi wa Rohingya na kupelekwa maeneo ya mbali
Aug 07, 2018 02:19Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limepinga mpango wa serikali ya Bangladesh wa kutaka kuwahamishia Waislamu wakimbizi wa Rohingya katika maeneo ya mbali.
-
Msalaba Mwekundu: Myanmar sio salama kurejea wakimbizi wa Rohingya
Jul 02, 2018 07:40Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu imesema sio salama kwa maelfu ya wakimbizi wa Rohingya wanaoshi kambini katika nchi jirani ya Bangladesh kurejea makwao katika mkoa wa Rakhine nchini Myanmar.
-
Matarajio ya Bangladesh kwa China kuhusu wakimbizi Waislamu wa Myanmar
Jul 01, 2018 07:46Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa China ameeleza utayari wa serikali ya Myanmar kwa ajili ya kurejea nchini humo mamia ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya kutoka Bangladesh.
-
Msafara wa walinda amani wa UN wavamiwa Sudan Kusini, askari auawa
Jun 26, 2018 15:09Askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini ameuawa mapema leo Jumanne baada ya msafara wa magari ya mashirika ya kutoa misaada ya kibinadamu kuviziwa na kushambuliwa na genge la wabeba silaha magharibi mwa nchi hiyo.
-
UN: Watu 4,000 wamekimbia mapigano mapya Myanmar
Apr 28, 2018 07:43Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya elfu nne wamekimbia mapigano mapya kati ya wanajeshi wa Myanmar na genge moja la kikabila katika muda wa wiki chache zilizopita, kaskazini mwa nchi.
-
Madai ya Myanmar kuhusu suala la kurejea wakimbizi Waislamu Warohingya kutoka Bangladesh
Apr 14, 2018 07:27Waziri wa Ustawi wa Jamii wa Myanmar amedai kuwa, kurejea nchini humo wakimbizi Waislamu Warohingya kutoka Bangladesh ni katika mambo yanayopewa kipaumbele na serikali ya nchi hiyo.
-
Jumatatu 26 Machi 2018
Mar 26, 2018 12:35Leo ni Jumatatu tarehe 8 Rajab 1439 Hijria sawa na 26 Machi 2018.