Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

  • Ansarullah: Baraza la Usalama la UN limepoteza hadhi; maazimio yake hayana thamani

    Ansarullah: Baraza la Usalama la UN limepoteza hadhi; maazimio yake hayana thamani

    Aug 08, 2026 12:50

    Kiongozi mwandamizi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen amepuzilia mbali hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ya kulaani mashambulizi ya makombora ya kulipiza kisasi dhidi ya Saudi Arabia na meli za kibiashara za utawala huo wa kifalme akisema kuwa chombo hicho cha kimataifa kimepoteza uhalali na hadhi yake, na maazimio yake hayana thamani yoyote.

  • Baraza la Usalama lalaani hatua ya US kumteka nyara Maduro

    Baraza la Usalama lalaani hatua ya US kumteka nyara Maduro

    Jan 06, 2026 02:47

    Wawakilishi wa nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wakiwemo waitifaki wa Marekani, wamelaani kitendo cha Washington cha kumteka nyara Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro.

  • Somalia yapokezwa uenyekiti wa kiduru wa Baraza la Usalama la UN

    Somalia yapokezwa uenyekiti wa kiduru wa Baraza la Usalama la UN

    Jan 03, 2026 02:33

    Somalia jana Ijumaa ilichukua urais wa zamu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kipindi cha mwezi huu wa Januari, ikiwa ni mara ya kwanza kwa nchi hiyo kushikilia wadhifa huo tangu ilipohudumu mara ya mwisho katika baraza hilo mwaka 1971-72.

  • Baraza la Usalama na Arab League kukutana kujadili hatua ya Israel ya kuitambua rasmi Somaliland

    Baraza la Usalama na Arab League kukutana kujadili hatua ya Israel ya kuitambua rasmi Somaliland

    Dec 28, 2025 08:07

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) zimepanga kufanya mikutano tofauti wiki hii kujadili matokeo ya hatua ya Israel ya kulitambua rasmi eneo la 'Somaliland, ambalo limejitenga na Somalia, kama taifa huru na lenye mamlaka kamili.

  • Kwa nini Afrika inataka kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa?

    Kwa nini Afrika inataka kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa?

    Nov 27, 2025 23:27

    Bara la Afrika, kwa miaka kadhaa sasa, limekuwa likitafuta kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • UNSC yapitisha azimio la US la kuunga mkono mpango wa Morocco kuhusu Sahara Magharibi

    UNSC yapitisha azimio la US la kuunga mkono mpango wa Morocco kuhusu Sahara Magharibi

    Nov 02, 2025 02:53

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepiga kura ya kurefusha kwa mwaka mmoja muda wa kazi za ujumbe wake ulioko Sahara Magharibi (MINURSO), sambamba na kuidhinisha rasmi mpango wa serikali ya Morocco wa kutoa mamlaka ya ndani kwa eneo hilo kama msingi pekee wa kutatua mgogoro huo wa miongo kadhaa, hatua ambayo imesababisha mpasuko mkubwa katika jamii ya kimataifa.

  • Kinachoifanya Russia ishikilie msimamo kwamba kurejeshwa vikwazo vya Baraza la Usalama dhidi ya Iran kunapingana na Mkataba wa UN

    Kinachoifanya Russia ishikilie msimamo kwamba kurejeshwa vikwazo vya Baraza la Usalama dhidi ya Iran kunapingana na Mkataba wa UN

    Oct 01, 2025 23:09

    Russia imetangaza kuwa madai ya kurejesha vikwazo dhidi ya Iran hayana msingi wowote na hatua iliyochukuliwa na Sekretarieti ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na suala hilo inapingana na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.

  • Je, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limenasa katika mtego wa kura ya turufu?

    Je, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limenasa katika mtego wa kura ya turufu?

    Sep 30, 2025 23:02

    Haki ya kura ya turufu ni mojawapo ya masuala yenye utata kuhusu mamlaka ya wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Iran: Kura ya 'snapback' ni batili, haina mashiko ya kisheria

    Iran: Kura ya 'snapback' ni batili, haina mashiko ya kisheria

    Sep 26, 2025 23:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesisitiza kuwa, juhudi za mataifa matatu ya Ulaya ya Uingereza, Ufaransa, na Ujerumani za kuhuisha vikwazo vya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kwa kutumia utaratibu unaojulikana kama snapback' ni "batili na hazina mashiko yoyote ya kisheria."

  • Kupinga nchi za Magharibio azimio la kuondolewa vikwazo Iran

    Kupinga nchi za Magharibio azimio la kuondolewa vikwazo Iran

    Sep 20, 2025 23:05

    Nchi za Magharibi zimezuia kupitishwa azimio katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lililopendekezwa na Korea Kusini kuhusu kuongezwa muda wa kuondolewa vikwazo vya nyuklia Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS