Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Kwa nini mgawanyiko kati ya bunge la Uingereza na serikali kuhusu mgogoro wa Gaza unaendelea?

    Kwa nini mgawanyiko kati ya bunge la Uingereza na serikali kuhusu mgogoro wa Gaza unaendelea?

    Sep 04, 2025 02:33

    Wabunge wa Uingereza sanjari na kukosoa sera za serikali ya Waziri Mkuu Keir Starmer katika vita vya Gaza wameishutumu serikali ya London kwa kuilegezea  Israel.

  • Spika Qalibaf: Kizuizi kikuu cha Iran dhidi ya maadui ni umoja wa kitaifa

    Spika Qalibaf: Kizuizi kikuu cha Iran dhidi ya maadui ni umoja wa kitaifa

    Jul 20, 2025 12:40

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Baqer Qalibaf amewaasa wananchi wa Iran kulinda umoja wao wa kitaifa akisisitiza kuwa, umoja huo ndio unaomzuia adui kufanya kitendo kingine cha uchokozi dhidi ya taifa hili.

  • Rais wa Iran asisitiza umoja kati ya nchi za Kiislamu

    Rais wa Iran asisitiza umoja kati ya nchi za Kiislamu

    Feb 04, 2025 07:47

    Rais wa Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zinapasa kujiepusha na masuala yanayozusha hitilafuna badala yake zinapasa kushikama na kuwa kitu kimoja; na kwa njia hiyo ni wazi kuwa njama za maadui na wale wanaozitakia mabaya wenzao hazitafanikiwa.

  • Kupasishwa vikwazo dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Bunge la Ireland

    Kupasishwa vikwazo dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Bunge la Ireland

    Nov 10, 2024 02:11

    Wabunge wa Ireland wamepasisha muswada ambao unauarifisha utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala mtenda jinai unaofanya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza mbele ya macho ya walimwengu.

  • Bunge la Ghana laakhirishwa tena baada ya wabunge wa chama tawala kususia vikao

    Bunge la Ghana laakhirishwa tena baada ya wabunge wa chama tawala kususia vikao

    Nov 08, 2024 07:31

    Bunge la Ghana jana Alhamisi liliahirishwa tena kwa muda usiojulikana kufuatia pingamizi la wabunge kutoka chama tawala cha New Patriotic Party (NPP) muda mfupi kabla ya uchaguzi.

  • Spika wa Bunge Ghana amkosoa Rais kwa kutopasisha sheria dhidi ya LGBT

    Spika wa Bunge Ghana amkosoa Rais kwa kutopasisha sheria dhidi ya LGBT

    Mar 22, 2024 02:33

    Spika wa Bunge la Ghana, Alban Bagbin amemjia juu Rais Nana Akufo-Addo wa nchi hiyo kwa kutoidhinisha kuwa sheria muswada wa kupambana na ushoga na ubaradhuli LGBTQ+ takriban mwezi mmoja baada ya kupasishwa kwake na Bunge.

  • Bunge la Ghana lafuta hukumu ya kifo

    Bunge la Ghana lafuta hukumu ya kifo

    Jul 26, 2023 06:07

    Bunge la Ghana limepiga kura ya kubatilisha adhabu ya kifo nchini humo, na kuifanya nchi hiyo iwe miongoni mwa mataifa ya Afrika ambayo yamefuta hukumu hiyo katika miaka ya karibuni.

  • Bunge la Jordan lataka Sweden ihukumiwe kimataifa na kusitishwa mikataba yote na nchi hiyo

    Bunge la Jordan lataka Sweden ihukumiwe kimataifa na kusitishwa mikataba yote na nchi hiyo

    Jul 22, 2023 04:00

    Bunge la Jordan limetoa wito wa kuhukumiwa Sweden kimataifa kutokana na hatua yake ya kuruhusu vitendo vichafu vya kuvunjiwa heshima Qur'ani tukufu kkufanyika katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Ijumaa tarehe 23 Juni 2023

    Ijumaa tarehe 23 Juni 2023

    Jun 23, 2023 02:26

    Leo ni Ijumaa tarehe 4 Dhulhija 1444 Hijria sawa na Juni 23 mwaka 2023.

  • Bunge la Lebanon lashindwa tena kumchagua Rais mpya

    Bunge la Lebanon lashindwa tena kumchagua Rais mpya

    Jun 15, 2023 02:50

    Bunge la Lebanon hapo jana lilishindwa tena kumchagua Rais mpya wa nchi hiyo kwa mara ya 12; na kupelekea mkwamo wa kumchagua kiongozi wa juu zaidi nchini humo kuendelea kushuhudiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS