-
Kuulizwa Rais wa Iran maswali bungeni ni kielelezo cha demokrasia katika mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
Aug 29, 2018 07:40Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, jana Jumanne alifika katika Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, kujibu maswali ya wabunge. Kwa mujibu wa kipingee cha 88 cha Katiba ya Iran; kumuuliza maswali rais wa nchi ni moja ya majukumu ya wabunge.
-
Kinyang'anyiro cha ubunge chaingia kasi nchini Rwanda
Aug 16, 2018 08:06Nchini Rwanda, kampeni za ubunge za kuwania viti vya uwakilishi bungeni katika uchaguzi wa uliopangwa kufanyika mwezi ujao wa Septemba zinaendelea.
-
Bunge la Israel lapasisha sheria ya ubaguzi, Wabunge Waarabu wahamaki
Jul 19, 2018 15:42Bunge la utawala haramu wa Israel (Knesset) limeupasisha muswada wa sheria inayotaka kutambuliwa Israel kama 'dola la Mayahudi pekee' licha ya upinzani mkali na malalamiko kutoka kila pembe ya dunia.
-
Upinzani Sudan Kusini wapinga kurefushwa muda wa uongozi wa Kiir
Jul 13, 2018 07:46Saa chache baada ya Bunge la Sudan Kusini kupiga kura na kuunga mkono kurefushwa muda wa Rais Salva Kiir wa nchi hiyo kubakia madarakani hadi mwaka 2021, upinzani unaoongozwa na Riek Machar umejitokeza na kukosoa vikali hatua hiyo.
-
Kiongozi mkongwe wa upinzani (92) ashinda uchaguzi Malaysia
May 10, 2018 14:30Kiongozi mkongwe wa upinzani ambaye amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Malaysia ameshinda uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo, kwa mujibu wa matokeo rasmi ya Tume ya Uchaguzi, na kutamatisha utawala wa karibu miongo sita wa mrengo tawala wa Barisan Nasional.
-
Nabih Berri: Umoja wa Kitaifa ndiyo matunda halisi ya uchaguzi wa bunge Lebanon
May 07, 2018 15:21Spika wa Bunge la Lebanon amesisitiza baada ya kutangazwa matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge nchini humo kwamba: Umoja wa kitaifa ndiyo matunda na mafaniko halisi ya uchaguzi wa bunge; ambayo yamepatikana kufuatia sheria mpya ya uchaguzi.
-
Mahakama yamuuzulu Waziri Mkuu na kuvunja Bunge Gabon
May 01, 2018 14:29Mahakama ya Katiba nchini Gabon imeagiza kuvunjwa kwa Bunge la Taifa la nchi hiyo sanjari na kumuuzulu Waziri Mkuu wa nchi hiyo, hatua ambayo imesitisha shughuli za serikali ya Rais Ali Bongo wa nchi hiyo.
-
Kuundwa kundi la kuipiga vita Russia katika bunge la Uingereza
Apr 22, 2018 02:16Bunge la Uingereza limeunda kundi jipya la kuipiga vita Russia. Kundi hilo lililo dhidi ya Russia katika bunge la Uingereza limeundwa kwa kuwashirikisha wajumbe wa kamati sita wenye ushawishi katika bunge hilo wakiwemo wenyeviti wa kamati za ulinzi, masuala ya nje, fedha na usalama wa taifa. Aidha wajumbe wa kamati nyinginezo kama wa masuala ya ndani, utamaduni, vyombo vya habari na masuala ya dijitali pia wamo katika kundi hilo jipya dhidi ya Russia ndani ya bunge la Uingereza.
-
Mugabe aitwa bungeni ajieleze kuhusu faili la ufisadi wa fedha
Apr 20, 2018 14:30Rais wa Zamani wa Zimbabwe, Robert Gabriel Mugabe ametakiwa kufika bungeni kwa ajili ya kutoa ushahidi kuhusiana na madai ya ufisadi wa fedha yaliyofanywa na serikali yake.
-
Hatimaye Spika wa Bunge la Somalia ajiuzulu
Apr 09, 2018 07:21Spika wa Bunge la Federali la Somalia, Mohamed Sheikh Osman Jawari, hatimaye amejiuzulu baada ya nchi hiyo ye Pembe ya Afrika kushuhudia taharuki na mgogoro mkubwa wa kisiasa kwa wiki kadhaa.