Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Mvutano katika Bunge la Ghana kuhusiana na kutolewa idhini kwa ajili ya operesheni za kijeshi za Marekani

    Mvutano katika Bunge la Ghana kuhusiana na kutolewa idhini kwa ajili ya operesheni za kijeshi za Marekani

    Mar 25, 2018 10:42

    Bunge la Ghana limeingia katika mzozo mkubwa kuhusiana na kutolewa idhini kwa ajili ya kupelekwa nchini humo askari wa Marekani bila ya mipaka yoyote.

  • Iran na Misri kuimarisha ushirikiano wao wa mabunge

    Iran na Misri kuimarisha ushirikiano wao wa mabunge

    Feb 06, 2018 07:16

    Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa mabunge ya nchi hii na Misri.

  • Zaidi ya wabunge 10 wa bunge la Israel kususia hotuba ya Makamu wa Rais wa Marekani

    Zaidi ya wabunge 10 wa bunge la Israel kususia hotuba ya Makamu wa Rais wa Marekani

    Jan 22, 2018 03:04

    Zaidi ya wabunge 10 wa bunge la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Knesset wametangaza kuwa watasusia hotuba inayotazamiwa kutolewa na Makamu wa Rais wa Marekani Mike Pence.

  • Mkutano wa kimataifa  wa kupambana na madawa ya kulevya unafanyika Moscow Russia

    Mkutano wa kimataifa wa kupambana na madawa ya kulevya unafanyika Moscow Russia

    Dec 04, 2017 14:55

    Mkutano wa kimataifa wa Mabunge wa kupambana na madawa ya kulevya umeanza leo katika mji mkuuu wa Russia Moscow na unahudhuriwa na wawakilishi wa Mabunge kutokana nchi mbalimbali ulimwenguni.

  • Wabunge wa upinzani Uganda warejesha 'hongo' ya kurefusha uongozi wa Museveni

    Wabunge wa upinzani Uganda warejesha 'hongo' ya kurefusha uongozi wa Museveni

    Oct 26, 2017 08:07

    Wabunge wanane wa upinzani wamerejesha kwenye hazina ya serikali fedha walizopokea kwa ajili ya kufanikisha muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais.

  • Wabunge Uganda wapewa 'hongo' ya mamilioni ya pesa kurefusha uongozi wa Museveni

    Wabunge Uganda wapewa 'hongo' ya mamilioni ya pesa kurefusha uongozi wa Museveni

    Oct 24, 2017 13:41

    Msemaji wa Bunge la Uganda amesema kila Mbunge wa nchi hiyo amepewa shilingi milioni 29 za nchi hiyo, sawa na dola elfu 8 za Marekani, kufanikisha muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais.

  • Wabunge wa Uganda watwangana tena, matangazo mubashara yafutwa

    Wabunge wa Uganda watwangana tena, matangazo mubashara yafutwa

    Sep 27, 2017 14:21

    Kwa siku ya pili mfululizo, Wabunge wa Uganda wamerushiana makonde Bungeni wakati wa kujadiliwa muswada wa sheria inayotaka kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais nchini humo.

  • Kenya yachelewesha kuanza vikao vya EALA tangu Juni 2017

    Kenya yachelewesha kuanza vikao vya EALA tangu Juni 2017

    Sep 22, 2017 08:04

    Hatua ya Kenya kutoteua wabunge wake wa Bunge la Afrika Mashariki EALA hadi sasa imechelewesha kuanza vikao vya chombo hicho cha kieneo.

  • Wabunge wa upinzani Uganda wadai kutishiwa maisha

    Wabunge wa upinzani Uganda wadai kutishiwa maisha

    Sep 21, 2017 03:48

    Wabunge wa vyama vya upinzani nchini Uganda wamesema serikali inawatishia maisha masaa machache kabla ya bunge la nchi hiyo kujadili muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais nchini humo.

  • Museveni: Kikomo cha umri wa kuwania urais Uganda kitaamuliwa na Bunge

    Museveni: Kikomo cha umri wa kuwania urais Uganda kitaamuliwa na Bunge

    Sep 14, 2017 14:44

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amejitosa kwenye mjadala kuhusu kikomo cha umri wa kugombea urais nchini humo na kusisitiza kuwa, kauli ya mwisho kuhusu kadhia hiyo itatolewa na Bunge la nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS