Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Museveni: Kikomo cha umri wa kuwania urais Uganda kitaamuliwa na Bunge

    Museveni: Kikomo cha umri wa kuwania urais Uganda kitaamuliwa na Bunge

    Sep 14, 2017 14:44

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amejitosa kwenye mjadala kuhusu kikomo cha umri wa kugombea urais nchini humo na kusisitiza kuwa, kauli ya mwisho kuhusu kadhia hiyo itatolewa na Bunge la nchi hiyo.

  • Iran na Afrika Kusini kuimarisha uhusiano wao wa Kibunge

    Iran na Afrika Kusini kuimarisha uhusiano wao wa Kibunge

    Sep 12, 2017 15:00

    Hossein Amir-Abdollahian, Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kimataifa wa Bunge la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na Afrika Kusini zinaweza kutumia uwezo wao kuondoa vizuizi vilivyopo ili kuimarisha uhusiano wa pande mbili ukiwemo wa kibunge.

  • Bunge la Iraq lapiga kura ya kupinga kura ya maoni ya kujitenga Kurdistan

    Bunge la Iraq lapiga kura ya kupinga kura ya maoni ya kujitenga Kurdistan

    Sep 12, 2017 14:54

    Bunge la Iraq limepiga kura kwa kishindo kupinga kufanyika kura ya maoni ya kutaka kujitenga eneo lenye mamlaka ya ndani la Kurdistan.

  • Seneta aliyeikejeli burqa Bungeni huko Australia akosolewa vikali

    Seneta aliyeikejeli burqa Bungeni huko Australia akosolewa vikali

    Aug 18, 2017 08:15

    Seneta aliyeingia Bungeni akiwa amevalia burqa kwa kejeli na dhihaki nchini Australia amekosolewa vikali na Mwanasheria Mkuu na Waziri Mkuu wa nchi hiyo kwa kuvunjia heshima vazi hilo linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu.

  • Rouhani: Marekani ikituwekea vikwazo vipya, tutatumia masaa kujiondoa JCPOA

    Rouhani: Marekani ikituwekea vikwazo vipya, tutatumia masaa kujiondoa JCPOA

    Aug 15, 2017 08:01

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itatumia masaa machache kujiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya Vienna, iwapo Marekani itathubutu kuliwekea taifa hili vikwazo vipya.

  • Rais Zuma wa Afrika Kusini anusurika na shoka la Bunge kwa mara ya 7

    Rais Zuma wa Afrika Kusini anusurika na shoka la Bunge kwa mara ya 7

    Aug 09, 2017 07:04

    Kwa mara nyingine tena Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amenusurika kuenguliwa madarakani baada ya kupataka uungaji mkono hafifu wa chama tawala ANC katika kura ya kutokuwa na imani naye Bungeni.

  • Bunge la Iraq lasherehekea kukombolewa mji wa Mosul

    Bunge la Iraq lasherehekea kukombolewa mji wa Mosul

    Jul 04, 2017 15:40

    Wabunge wa Iraq wamefanya sherehe kufurahia ushindi wa hivi karibuni na kukomblewa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa magaidi wa kitakfiri wa Daesh. Hatua hiyo imechukuliwa na Bunge la Iraq ili kuonyesha mshikamano wa Bunge na vikosi vya jeshi la nchi hiyo na harakati ya wananchi ya Hashdu Sha'abi.

  • Bunge la Ujerumani laruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja

    Bunge la Ujerumani laruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja

    Jul 02, 2017 08:18

    Ijumaa ya juzi Bunge la Ujerumani, Bundestag liliipasisha sheria inayoruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja na kutambua rasmi eti haki watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja ya kulea watoto nchini humo.

  • Bunge la Zambia lawatimua wabunge waliosusia hotuba ya rais

    Bunge la Zambia lawatimua wabunge waliosusia hotuba ya rais

    Jun 14, 2017 08:04

    Bunge la Zambia limewafukuza makumi ya wabunge wa upinzani ambao walisusia hotuba ya Rais Edgar Lungu wa nchi hiyo miezi michache iliyopita.

  • Iran yaangamiza magaidi wanne wa ISIS na kunasa silaha na bendera

    Iran yaangamiza magaidi wanne wa ISIS na kunasa silaha na bendera

    Jun 13, 2017 02:26

    Maafisa wa usalama kusini mwa Iran wamefanikiwa kuwaangamzia magaidi wanne wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh sambamba na kunasa silaha walizokuwa nazo pamoja na bendera ya kundi hilo la kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS