Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Iran yaangamiza magaidi wanne wa ISIS na kunasa silaha na bendera

    Iran yaangamiza magaidi wanne wa ISIS na kunasa silaha na bendera

    Jun 12, 2017 21:56

    Maafisa wa usalama kusini mwa Iran wamefanikiwa kuwaangamzia magaidi wanne wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh sambamba na kunasa silaha walizokuwa nazo pamoja na bendera ya kundi hilo la kigaidi.

  • Magaidi washambulia Bunge la Iran na Haram ya Imam Khomeini

    Magaidi washambulia Bunge la Iran na Haram ya Imam Khomeini

    Jun 07, 2017 03:18

    Watu wawili akiwemo afisa wa usalama wameripotiwa kuuawa huku watu wengine wanane wakijeruhiwa baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia majengo ya Bunge la Iran na Haram ya Imam Khomeini MA, katika mji mkuu Tehran.

  • Rasimu ya sheria ya 'Quds Kubwa' yawasilishwa kwenye bunge la utawala wa Kizayuni

    Rasimu ya sheria ya 'Quds Kubwa' yawasilishwa kwenye bunge la utawala wa Kizayuni

    May 30, 2017 23:40

    Wabunge wawili wa mrengo wa kulia katika bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel Knesset wamewasilisha kwenye bunge hilo rasimu ya sheria iliyopewa jina la 'Quds Kubwa'.

  • Iran na Zimbabwe zajadili njia za kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

    Iran na Zimbabwe zajadili njia za kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

    May 17, 2017 09:27

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zimejadili njia mbalimbali za kukuza na kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi baina ya nchi mbili hizo.

  • Kuchukuliwa hatua kali zaidi za usalama Misri; udharura wa kiusalama wenye malengo ya kisiasa

    Kuchukuliwa hatua kali zaidi za usalama Misri; udharura wa kiusalama wenye malengo ya kisiasa

    May 12, 2017 08:40

    Serikali ya Misri imechukua hatua kali zaidi za usalama katika eneo linalozunguka bunge kufuatia kuongezeka vitisho dhidi ya wabunge wa nchi hiyo.

  • Bunge la Uswisi lapinga muswada wa kupiga marufuku vazi la burqa

    Bunge la Uswisi lapinga muswada wa kupiga marufuku vazi la burqa

    Mar 10, 2017 10:30

    Bunge la Uswisi limekataa kupasisha muswada wa kupiga marufuku nchini humo vazi la stara la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu.

  • Bunge la Somalia lamuidhinisha Waziri Mkuu mpya, aahidi kutokomeza ufisadi

    Bunge la Somalia lamuidhinisha Waziri Mkuu mpya, aahidi kutokomeza ufisadi

    Mar 01, 2017 12:19

    Bunge la Somalia limemuidhinisha Hassan Ali Khaire kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo katika kikao cha ufunguzi wa Bunge la 10 leo Jumatano, kilichofunguliwa na Rais Mohamed Abdullahi Farmaajo.

  • Bunge la Misri lataka kuongezwa muda wa Rais

    Bunge la Misri lataka kuongezwa muda wa Rais

    Feb 26, 2017 23:18

    Wawakilishi wa Bunge la Misri wamesema kuwa, wanataka kipindi cha uongozi wa Rais wa nchi hiyo kiongezwe.

  • Uchaguzi wa Rais na Bunge Libya kufanyika kabla ya Februari 2018

    Uchaguzi wa Rais na Bunge Libya kufanyika kabla ya Februari 2018

    Feb 15, 2017 04:29

    Uchaguzi wa Rais na Bunge wa Libya umepangwa kufanyika kufikia mwezi Februari mwaka kesho.

  • Spika wa Bunge la Kuwait ataka Israel ifukuzwe kwenye Umoja wa Mabunge

    Spika wa Bunge la Kuwait ataka Israel ifukuzwe kwenye Umoja wa Mabunge

    Feb 13, 2017 00:50

    Kuwait imelaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kutoa wito wa kutaka utawala huo ufukuzwe katika Umoja wa Kimataifa wa Mabunge.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS