Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Mieleka yashuhudiwa tena bungeni nchini Afrika Kusini

    Mieleka yashuhudiwa tena bungeni nchini Afrika Kusini

    Feb 10, 2017 08:02

    Kwa mara nyingine tena Bunge la Afrika Kusini jana Alkhamisi lililegeuzwa na kuwa ukumbi wa masumbwi, mieleka na malumbano kufuatia hatua ya wabunge wa upinzani kuzusha fujo kwa lengo la kuzuia hotuba ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo kwa taifa.

  • Morocco yaazimia kurejea katika Umoja wa Afrika

    Morocco yaazimia kurejea katika Umoja wa Afrika

    Jan 19, 2017 14:08

    Bunge la Morocco limepiga hatua moja mbele ikiwa ni juhudi za nchi hiyo kutaka kurejea katika Umoja wa Afrika baada ya kujiondoa kwa zaidi ya miongo mitatu iliyopita.

  • Bunge la Gambia lamuongezea Jammeh miezi 3, Nigeria yatuma manowari

    Bunge la Gambia lamuongezea Jammeh miezi 3, Nigeria yatuma manowari

    Jan 18, 2017 16:40

    Bunge la Taifa la Gambia limepasisha azimio la kumruhusu Rais Yahya Jammeh wa nchi hiyo asalie madarakani kwa miezi mitatu zaidi katika hali ambayo muda wake wa kuhudumu unaelekea kumalizika.

  • Waziri Mkuu wa Ivory Coast ajiuzulu na kuvuja serikali, Rais kuhutubia Bunge

    Waziri Mkuu wa Ivory Coast ajiuzulu na kuvuja serikali, Rais kuhutubia Bunge

    Jan 10, 2017 08:10

    Waziri Mkuu wa Ivory Coast, Daniel Kablan Duncan amejiuzulu na kutangaza kuvunja serikali yake katika hatua ambayo ilitarajiwa kufuatia kuidhinishwa kwa Katiba mpya ya nchi na uchaguzi wa Bunge uliofanyika mwezi uliopita wa Disemba 2016.

  • Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia waapishwa mjini Mogadishu

    Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia waapishwa mjini Mogadishu

    Dec 28, 2016 08:09

    Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia wameapishwa katika hafla iliyofanyika mjini Mogadishu chini ya hatua kali za kiusalama.

  • Bunge la Yemen laidhinisha Serikali ya Wokovu wa Kitaifa

    Bunge la Yemen laidhinisha Serikali ya Wokovu wa Kitaifa

    Dec 11, 2016 14:53

    Bunge la Yemen limeidhinisha Serikali ya Wokovu wa Kitaifa, hatua ambayo imehusisha matumaini ya kupatiwa ufumbuzi wa kudumu mgogoro wa kisiasa nchini humo.

  • Bunge la Israel lautupa muswada wa kupiga marufuku Adhana

    Bunge la Israel lautupa muswada wa kupiga marufuku Adhana

    Dec 07, 2016 15:45

    Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel Knesset leo Jumatano limeutupilia mbali muswada wa kupiga marufuku adhana katika mji mtakatifu wa Quds na maeneo mengine ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Wananchi wa Ghana wapiga  kura kumchagua Rais na Wabunge

    Wananchi wa Ghana wapiga kura kumchagua Rais na Wabunge

    Dec 07, 2016 14:18

    Wananchi wa Ghana leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kumchagua Rais Mpya na wawakilishi wa bunge.

  • Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon waakhirishwa

    Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon waakhirishwa

    Dec 04, 2016 03:16

    Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon uliokuwa umepangwa kufanyika mwezi huu wa Desemba umeakhirishwa kutokana na kutokuweko bajeti ya kutosha ya kuendesha zoezi la uchaguzi huo.

  • Watetezi wa haki za binadamu wana wasiwasi kuhusu mpango mpya wa bunge la Misri

    Watetezi wa haki za binadamu wana wasiwasi kuhusu mpango mpya wa bunge la Misri

    Nov 16, 2016 14:12

    Bunge la Misri limepasisha mswada kwa ajili ya kubana shughuli za taasisi zisizo za kiserikali nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS