-
Kongamano la mabunge ya Kiarabu na mustakbali wa Palestina
Feb 12, 2017 08:37Katibu Mkuu wa Jumuiya ya nchi za Kiarabu ameelezea kuwepo migongano ya serikali mpya ya Marekani kuhusu masuala ya ulimwengu wa Kiarabu.
-
Mieleka yashuhudiwa tena bungeni nchini Afrika Kusini
Feb 10, 2017 04:32Kwa mara nyingine tena Bunge la Afrika Kusini jana Alkhamisi lililegeuzwa na kuwa ukumbi wa masumbwi, mieleka na malumbano kufuatia hatua ya wabunge wa upinzani kuzusha fujo kwa lengo la kuzuia hotuba ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo kwa taifa.
-
Morocco yaazimia kurejea katika Umoja wa Afrika
Jan 19, 2017 10:38Bunge la Morocco limepiga hatua moja mbele ikiwa ni juhudi za nchi hiyo kutaka kurejea katika Umoja wa Afrika baada ya kujiondoa kwa zaidi ya miongo mitatu iliyopita.
-
Bunge la Gambia lamuongezea Jammeh miezi 3, Nigeria yatuma manowari
Jan 18, 2017 13:10Bunge la Taifa la Gambia limepasisha azimio la kumruhusu Rais Yahya Jammeh wa nchi hiyo asalie madarakani kwa miezi mitatu zaidi katika hali ambayo muda wake wa kuhudumu unaelekea kumalizika.
-
Waziri Mkuu wa Ivory Coast ajiuzulu na kuvuja serikali, Rais kuhutubia Bunge
Jan 10, 2017 04:40Waziri Mkuu wa Ivory Coast, Daniel Kablan Duncan amejiuzulu na kutangaza kuvunja serikali yake katika hatua ambayo ilitarajiwa kufuatia kuidhinishwa kwa Katiba mpya ya nchi na uchaguzi wa Bunge uliofanyika mwezi uliopita wa Disemba 2016.
-
Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia waapishwa mjini Mogadishu
Dec 28, 2016 04:39Wabunge wapya wa Bunge la taifa la Somalia wameapishwa katika hafla iliyofanyika mjini Mogadishu chini ya hatua kali za kiusalama.
-
Bunge la Yemen laidhinisha Serikali ya Wokovu wa Kitaifa
Dec 11, 2016 11:23Bunge la Yemen limeidhinisha Serikali ya Wokovu wa Kitaifa, hatua ambayo imehusisha matumaini ya kupatiwa ufumbuzi wa kudumu mgogoro wa kisiasa nchini humo.
-
Bunge la Israel lautupa muswada wa kupiga marufuku Adhana
Dec 07, 2016 12:15Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel Knesset leo Jumatano limeutupilia mbali muswada wa kupiga marufuku adhana katika mji mtakatifu wa Quds na maeneo mengine ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.
-
Wananchi wa Ghana wapiga kura kumchagua Rais na Wabunge
Dec 07, 2016 10:48Wananchi wa Ghana leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kumchagua Rais Mpya na wawakilishi wa bunge.
-
Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon waakhirishwa
Dec 03, 2016 23:46Uchaguzi wa Bunge nchini Gabon uliokuwa umepangwa kufanyika mwezi huu wa Desemba umeakhirishwa kutokana na kutokuweko bajeti ya kutosha ya kuendesha zoezi la uchaguzi huo.